Siku ya jana zaidi ya watu 2000 wanekufaPropaganda!Mara death toll sijui elfu kumi na nane!
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku ya jana zaidi ya watu 2000 wanekufaPropaganda!Mara death toll sijui elfu kumi na nane!
Acha dharau wewe. Usimfananishe SOKOMOKO na vitu vya ajabuajabuSijui una umri gani. Zamani kulikuwa na gazeti linaitwa SANI. Kuna jamaa alikuwa anaitwa SOKOMOKO. Naona kama Ukoo mmoja na wewe
Pamoja na majanga hayo yote, bado ni jasiri. Huyu ndiye kiongozi.Kwa saa 24 zilizopita wamekufa 2000 yani wamepiku hadi rekodi ya Italy na Spain.
Sent using Jamii Forums mobile app
HhhhhhhhhSijui una umri gani. Zamani kulikuwa na gazeti linaitwa SANI. Kuna jamaa alikuwa anaitwa SOKOMOKO. Naona kama Ukoo mmoja na wewe
Aamue nini cha zaidi. Kumbuka Corona haikuletwa na Trump UsaWewe uliendaka huu uzi ni kibaraka wa MAREKANI. Hata aibu Huna. Unamnukuu mtu ambae hata kipofu anaona kwamba kashindwa kufanya maamuzi sahihi thidi ya janga hili.
Kama wewe ni mtanzania hata uzalendo wako nautia mashakani sasa.
Kama unakuja hapa kueneza propaganda za MAREKANI basi hata nchi yako unaweza kuisaliti.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hii ni app gani tafadhali?Amechanganyikiwa sio mida ataongoza kwa idadi kubwa ya vifo maana anampumulia Italy taarifa mpaka saa tatu na dk 45 ya Leo. View attachment 1415981
Sent using Jamii Forums mobile app