Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Hao monusco walikuwepo wakati wa Lumumba siku anakamatwa na kwenda kuuliwa wao walikuwa wamejaa KinshasaMarekani ni Wanafiki!
JWTZ na Munusco wamekwama wapi mpaka M23 wanateka Mji wa Goma na kuanza kujigamba?
Na ndicho kilichofanyika... Tension imejengeka..Pk kamsikiliza mkubwa si AU ,EAC Wala SADC ..Ajabu unaweza kukuta alietoa tamko ndie mfadhiri
Ilitakiwa ujumbe ufike na ufanyiwe kazi Kisha iwe kama hvTamko limechelewa sana, tatzio ninini?
HahahahaMarekani ni Wanafiki!
JWTZ na Munusco wamekwama wapi mpaka M23 wanateka Mji wa Goma na kuanza kujigamba?
Hivyo alinunua dalali rostam azizi, sasa sabirini atakavyo waletea lugumi😁😁😁
Uwaombee ili iweje?
Mama yako yupo huko Nanjilinji, wadandia mama yake Abdul eti ni mama yako.kuna chama kinataka kutugawa hapa nchini kwa kuingozaingiza maneno kwa wananchi wajifunze vita si nzuri amani ilindwe kwa gharama yoyote,nampongeza mweshimiwa mama yetu kipenzi kwa kuisimamia amani ya taifa letu..maendeleo yanaletwa pakiwa na amani
Hahaaaa ni michezo inachezwa huko goma kesho waasi wanaiachia gomaUkishasikia Un wamesema.."Rwanda na Drc wanapaswa kurudi kwenye meza ya maridhiano"... tambua hakuna kitu hapo!
Hawa mbu wanaoneza malaria hawajawahi kuwa na roho nzuri. Mtu unakuwa kama mbu unawezaje kuwa na roho nzuri?Kajamaa ni kembamba ila kana roho mbaya sana.
Wahuni sana hawa jamaaAjabu unaweza kukuta alietoa tamko ndie mfadhiri
We una akili kubwa sana umeona mbali na ndio ilivyo.Ajabu unaweza kukuta alietoa tamko ndie mfadhiri
Kwa gharama ya nani?Undumilakuwili huu. Kwanini wasivamie military bases za Rwanda kwa Airstrikes?
Swali ni kwanini wasisurubiwe hao watawala wasiopenda kuendesha nchi zao kwa demokrasia badala yake ni wizi mtupu kuanzia rasilimali mpaka kura, yawezekana waliamua kushika bunduki wanayo hoja ya msingi, Na wewe kama ni mtawala ukatawala kihuni huni jua kuwa wapo wenye uchungu na nchi yao na ipo siku itakutokea puani.Ukiona hivyo ujue DRC Govt washakubaliana na masharti ya bwana mkubwa US .. mfano kuwapa exclusivity kampuni za US kwenye machimbo ya Colbat.. nimesema mfano sina uhakika .. maana
yaani rwanda aanambiwa haya rudi nyumban naye anasema sawa mkuu
Hivi inawezekanaje umoja wa Afrika tushindwe kulimaliza hili kwa kumwekea vikwazo rwanda had US aje atoe amri
Zipo taarifa kwamba Wanajeshi wote wa kulinda amani kutoka kwa nchi za SADC pia wametekwa na Waasi wa M23.
Mungu awe na jeshi letu wafanikishe lengo la wao kuwa DRC na warudi salama nyumbani
Watavamia vipi wakati wao wenyewe wako Military base milimani hapo ndani Gisenyi huko au Murambi.Undumilakuwili huu. Kwanini wasivamie military bases za Rwanda kwa Airstrikes?
Si rahisi kihivyoUndumilakuwili huu. Kwanini wasivamie military bases za Rwanda kwa Airstrikes?