Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
Kwan ni maadui š¤£Chalamila kaaibika. Halafu jeshi halikumjibu chochote wamemuacha na ujinga wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwan ni maadui š¤£Chalamila kaaibika. Halafu jeshi halikumjibu chochote wamemuacha na ujinga wake
Chalamila ni mwehu!Mikunyo imefagiliwa kweli
Hilo pekee limeshamlamba 3 bilaWakuu,
Tar 13 januari 2024 Mkuu wa Mkoa Dr, Albert Chalamila alitangaza zoezi la usafi kufanyika tar 24 na 24 likitajwa kuhusisha Wanajeshi zaidi ya 5000, Polisi zaidi ya 3000, FFU na Vyombo vingine vya dola. Tangazo lililokuja mara tu baada ya CHADEMA kutangaza kufanya maadamano tar 24.
Swali ni kwamba, leo siku ya kwanza ya usafi huko mtaani kwenu vikosi vimeonekana vikifanya usafi?
Nyuki wa mama tupate picha jinsi zoezi lilivyofanyika leo.
Kwan ni maadui š¤£
"Hata wale wa jiji naona wanamng'ong'a "in mwijakuzi VoiceHata Jeshi la Mgambo limemdharauš
Kanisani?
Jeshi wamemkwepa. Hii imetoa ujumbe mzito kwao kwamba hawana uwezo wa kulitumia wanavyotaka.....ndio maana hata leo tunaandamana freshi tuKuna watu wanaenda kanisani, tayari wakiwa wamezitwika pombe barabara. Bila shaka RC ni miongoni.
Alitaka kuliaibisha jeshi, ameaibika yeye.