Pre GE2025 Usafi aliotangaza Chalamila kufanywa na Majeshi ya Ulinzi tar 23 na 24 Januari leo siku ya kwanza umefanyika mtaani kwako?

Pre GE2025 Usafi aliotangaza Chalamila kufanywa na Majeshi ya Ulinzi tar 23 na 24 Januari leo siku ya kwanza umefanyika mtaani kwako?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wakuu,

Tar 13 januari 2024 Mkuu wa Mkoa Dr, Albert Chalamila alitangaza zoezi la usafi kufanyika tar 24 na 24 likitajwa kuhusisha Wanajeshi zaidi ya 5000, Polisi zaidi ya 3000, FFU na Vyombo vingine vya dola. Tangazo lililokuja mara tu baada ya CHADEMA kutangaza kufanya maadamano tar 24.

Swali ni kwamba, leo siku ya kwanza ya usafi huko mtaani kwenu vikosi vimeonekana vikifanya usafi?

Nyuki wa mama tupate picha jinsi zoezi lilivyofanyika leo.

View attachment 2880906
Wameonekana leo mtaani kwako?
Hilo pekee limeshamlamba 3 bila

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimejifungia ndani huku nawakumbuka wakati ule wa vuguvugu la dini sina hamu nao.

Baada ya siku hizo mbili niambieni ili nitoke humu.
 
Tunawasubiri waje kufanya usafi maana mazingira machafu kweli
 
Inawezekana taarifa kutoka Ubarozi wa US imefanya zoezi hilo kustishwa!
Nawaza lakini!
 
Kuna watu wanaenda kanisani, tayari wakiwa wamezitwika pombe barabara. Bila shaka RC ni miongoni.

Alitaka kuliaibisha jeshi, ameaibika yeye.
Jeshi wamemkwepa. Hii imetoa ujumbe mzito kwao kwamba hawana uwezo wa kulitumia wanavyotaka.....ndio maana hata leo tunaandamana freshi tu
 
Back
Top Bottom