BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
mhh ulivyomtetea haya tufanye si mzushi ila wazushi wengine ndo wamezua,hapo utakuwa umefanya la maana maana mie siogopi kudaiwa atii...leo angalau maji yatapita nna uhakika wa nywele japo si zangu...ntajishauaje!
LOL! Msema kweli Shosti siku zote ni mpenzi wa Mungu.....hapo kwenye bold mhhhhhhh! 🙂🙂....ukishamaliza deni zinakuwa zako bana huwezi kulalamika tena kwamba nywele zinanyonyoka 🙂🙂