Usafi katika nyeti!


ndio mana nikakuuliza maji uliyokuwa una2mia ni salama?.....nadhani hizo fungus ziliababishwa na maji hata mie nilipokuwa dar nilipata fungus coz ya maji nilijitibu na kuanza ku2mia maji salama huko na tatizo likaisha mpaka leo, hiyo red Ikunda jamani jamani jamani....speechless kwa kweli...yaani hapana aisee, kama usafi nao ni utandawazi tena bac kasheshe 2pu......
 
Ikunda

Kwani ulianza usafi wa aina ile kisa utandawazi?

hahahah Gaijin sijasema utandawazi ndio ulinifanya nianze usafi ule, mambo mengi tunaiga tu wanawake kule vijijini wanaosha kule??

au ambao hatuoshi ni wachafu??
 

Nanukuu maneno ya Dr, panachafuka na nini uoshe?? kule panajisafisha penyewe, hahahahaha

Nyamayao kwa maana nyingine unataka kuniambia wamama/wadada wa Dar wanaosafisha kule wanatumia maji yenye TBS??, yaliyochemshwa yakachemka hadi wadudu wakafa?? lol
 

hapa 2naongelea mie na wewe, kwa tatizo 2lilopitia(fungus), kwangu ilikuwa ni maji na wewe nahic pia ulizipata kupitia maji, kama unavyoyajua maji ya dar, mara ya kununua na hujui wameyatolea wapi, Ikunda waache hao wa vjjn coz huna hakika kama wanafanya huo usafi au hawafanyi, mbona wewe upo mjini na haufanyi?..wengine 2melelewa vjjn but hao hao wamama ze2 w vjj ndio wali2fundisha kujiweka safi 2lipovunja ungo 2, 2nakalishwa na kupewa risala ya kijiweka safi kama binti.....hapo red Ikunda....eg mp?....
 

MP haichafui bana ni njia yake ya kupita, lol
 
mmhh..naona kama mambo ya wakubwa haya., by the way ni bonge la free education, ingekuwa kwa ndodi ameshakutoa wekundu kadhaaa, thnx buddies
 
We Aspirin una mambo haki. hahahaha. Kweli nilisema sijui vya wanaume ila sio kiasi hiki jamani. hahahahaha
 
We Aspirin una mambo haki. hahahaha. Kweli nilisema sijui vya wanaume ila sio kiasi hiki jamani. hahahahaha
Inakuwaje unacheka bila kutoa kiingilio? Afu baadaye ntaomba utoe somo la jinsi ya kuswafi tundu la haja kubwa.
 
Inakuwaje unacheka bila kutoa kiingilio? Afu baadaye ntaomba utoe somo la jinsi ya kuswafi tundu la haja kubwa.
Kwa the way nilivo cheka kweli kabisa nitalipa, tena kwa cheque mkuu. lol usafi wa huko naomba utufafanulie wewe please. na wewe si unalo?
 
Kwa the way nilivo cheka kweli kabisa nitalipa, tena kwa cheque mkuu. lol usafi wa huko naomba utufafanulie wewe please. na wewe si unalo?
Ngoja nisepe kabla huu msredi haujahamishiwa jukwaa la wakubwa........ khaa!
 
Khaaa kutoa harufu? Ukiona unatoa harufu jua unaugonjwa mama, kawaida hakupaswi kunuka kwanza kunalambwaga kule, majimaji yanayotoka hayanuki wala kuwasha ndio maana kuosha marakwamara sio ishu kwanza unawezapata fungus au bacteria hata unapotoka kukojoa sio kila mara uwe unajipiga mimaji wakati mwingine kausha na tishu tuu ile chumvi ya mkojo ni dawa pia, ukipenda kutumia maji sana unaweza pata uti na fungus kama maji sio masafi ila kila umalizapoku du osha kwa maji na sabuni, wanake wengi wanamaambukizi ya zinaa bila wao kujua harufu inayopaswa kutoka sio kali wala mbaya ukiona unatoa harufu mbaya kimbia kwa daktari.
 
sorry....typo error!.....jamani jamani Ikunda, hv unantania au?

Nyamayao

Hakutanii. Ukitaka kufuata ushauri wa kutaalamu, habari ndio hiyo.
Hakuhitaji kusafishwa maana hakujachafuka na badala yake kusafisha kuna pose risk

Ukitaka ushauri wa mila na tamaduni za Bongo (kwa baadhi ya makabila), safisha maana kule kunajichafua. Na mwanamke ni usafi

Ukienda na Statistics duniani wanaosafisha ni wachache ya wasiosafisha (nchi nyingi za Magharibi, Asia ya mbali, Mashariki ya kati hawana utaratibu huo)

Sasa hapo "changanya na zako"
 
Mke mwe, ina maana wakati wa mp shurti ufanye kukomba daily? Mweh! I'm glad leo mie mzungu!

mke mwenzangu....mie kuoga bila kukomba huko ntahic kama vile cjatoka bafuni, shughuli yangu ya kwanza ndio huwa hiyo zingine zinafatia, cjawahi kupata tatizo la huko kwa namna moja au nyingine labda nilivyokuwa dar ndio maji yaliniletea fungus kdgo baada ya hapo haijatokeaga kabisa....
 


hahaha....T.G.I.F.........nshachanganya na zangu G.................
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…