Usafi kipindi cha hedhi yepi mnayokutana nayo

Usafi kipindi cha hedhi yepi mnayokutana nayo

Am still counting 5....4.... Akichelewa namwambia mpwa geoff ampe pamanenti bani! Shwaini!

....................3..................2......................!😀
huyu leo tunae
 
Uchafu ni hulka ya mtu,ni suala la kumkumbusha maana hakufundwa vyema na wazazi wake uyo juu ya usafi has wa izo debris.
Pole ila ndo mambo ya ndoa ayo hakuna perfection uwe unamkumbusha
 
Ukishaona mtu amediriki kumtusi mkewe hadharani usitegemee akawa anawathamini hata wanawake wengine. Anasahau kuwa hata mama yake ni mwanamke!. Mimi watu wa aina hii kwa kweli huconclude kuwa hawako sawa upstairs. Samahani ngomanzito kama nitakuwa nimekukwaza but that is my mtazamo. Pole
 
hajawasomaga huyu inaelekea!!!

Watu wengine bana. Wanajidamkia wanaamua kuanzisha thread za kutukana watu! Ndio madhara ya kuoa machangu ya kambi ya fisi! Usafi ni ziro!
 
kijana amepotea kwenye ramani!
SAIKOLOJIKO ATTACK hiyo!

namsubiri engo thita
 
Kipindi cha hedhi wakina mama wengi hutumia njia mbalimbali kujisafi wengine hutumia pedi wengine vipande vya kanga na wengine maji tu yatosha.
Lakini baada ya kutumia vifaa hivyo namna ya kuvitunza kwa ajili ya kwenda kuvitupa mara nyingi utakuta pedi zimezagaa kila mahali.
Mie jambo hili linanikera mno wife utakuta wakati mwingine pedi alizotumia kaziweka kwenye fuko zaidi ya wiki mbili baada ya period.
Wakina mama kuweni wasafi mnatisha
Je wewe ushakumbani na hii adha??

Muheshimiwa daaa! umechemsha ile mbaya
ina maana mkeo habadili yake tabiya?
ulimwonya mara ngapi b4 ku'leza haya?
Mzee kwenye hili I dont feel ya.

Samahani lakini avatar yako nilijua we she.
ha ha ha ha kumbe wewe ni he?
 
Watu wengine bana. Wanajidamkia wanaamua kuanzisha thread za kutukana watu! Ndio madhara ya kuoa machangu ya kambi ya fisi! Usafi ni ziro!
he he he!
HUYU LEO AMENUSURIKA!ningempa za chembe!watu tumechoka na pombe za bure za meneja wa titaniki mtu analeta matuci hapa?!EBOO!
 
Watu wengine bana. Wanajidamkia wanaamua kuanzisha thread za kutukana watu! Ndio madhara ya kuoa machangu ya kambi ya fisi! Usafi ni ziro!

tena huyu ngoma nzito mwenyewe atakuwa mchafumchafu, maana ndege wafananao huruka pamoja......usafi si ni criteria muhimu sana unapochagua mwenza wa maisha!!!

tena uchafu wa mkewe utakuwa si kwenye pedi tu, nahisi huko kwingine ni balaa...

ngomanzito ushalishwa uchafu mwingi wewe
 
Muheshimiwa daaa! umechemsha ile mbaya
ina maana mkeo habadili yake tabiya?
ulimwonya mara ngapi b4 ku'leza haya?
Mzee kwenye hili I dont feel ya.

Samahani lakini avatar yako nilijua we she.
ha ha ha ha kumbe wewe ni he?

hii njemba imeenda kubip polisi wakati ina bangi mfukoni. dah! imenimaliza pale ilipotoa mfano wa mke wake! kama mke wake anasoma hapa nazani leo hii njemba italazwa sebuleni! khattar kubwa !
 
ngomazito mke wake atakuwa mhindi
 
Dah! huyu jamaa hajatulia hata kidogo. yani badala ya kukaa na kudiscuss na mkewe jinsi ya kuwa msafi anaishia kutuambia mkewe anatunza pedi wiki mbili. btw ni chumbani au, hakunuki kama mochwari?au akama anashidwa namuomba anitafute nimpe kitchen party mkwewe ebo! lakini habari za kutudhalilisha hapa wanawake wote nasema marufuku!
 
Dah! huyu jamaa hajatulia hata kidogo. yani badala ya kukaa na kudiscuss na mkewe jinsi ya kuwa msafi anaishia kutuambia mkewe anatunza pedi wiki mbili. btw ni chumbani au, hakunuki kama mochwari?au akama anashidwa namuomba anitafute nimpe kitchen party mkwewe ebo! lakini habari za kutudhalilisha hapa wanawake wote nasema marufuku!
you have said it WELL!........
 
he he he!
HUYU LEO AMENUSURIKA!ningempa za chembe!watu tumechoka na pombe za bure za meneja wa titaniki mtu analeta matuci hapa?!EBOO!

Hebu imajini hata kina Eliza nao kawajumuisha! LOL!
 
ISHU ZA HUYU MKE WA NGOMA NZITO HUWA NI NZITO KWELI! Aliwahi kuleta ishu kuwa mkewe anamegwa na njemba mbili hivyo anaomba ushauri! Kumbe huyu mmama ana mambo!
Pole sana..inaelekea ulichagua sana mke na ukatoka na koroma. Huyu mama ni mchafu na inaelekea ni wale wanaopenda starehe tu na kujipodoa bila kunyanyua kidole kuwajibika kwa lolote!

Cha kufanya Ngomanzito itabidi uweke Kalenda ya mzunguko wa mkeo, umsimamie kama mtoto mdogo, umbadilishe na kumsafisha na kutupa uchafu kama tufanyavyo kwa pampers za watoto.Inashauriwa uzichome moto mara moja na usizitupe ****** wala kwenye pipa la taka kama uko bongo.Kama uko majuu basi weka kwenye mifuko maalum utanunua super market na kuitupa kwenye garbage disposal.

Ukiona vinakuzidia, mpeleke kwa wazazi wake akapate re-training.
 
Dah! huyu jamaa hajatulia hata kidogo. yani badala ya kukaa na kudiscuss na mkewe jinsi ya kuwa msafi anaishia kutuambia mkewe anatunza pedi wiki mbili. btw ni chumbani au, hakunuki kama mochwari?au akama anashidwa namuomba anitafute nimpe kitchen party mkwewe ebo! lakini habari za kutudhalilisha hapa wanawake wote nasema marufuku!

Hiyo kicheni pati unapaswa kuwapa wote wawili. Hi dume linahitaji kufundwa!
 
Hebu imajini hata kina Eliza nao kawajumuisha! LOL!
ZISI IIIZ VERE SADI!elizabeth hawezi kuwa kama mke wa huyu muhuni!lol.....adhawaisi nigeshahama baa mpwa!(NA HUDUMA NINGESITISHA!ha ha ha)
 
Back
Top Bottom