ISHU ZA HUYU MKE WA NGOMA NZITO HUWA NI NZITO KWELI! Aliwahi kuleta ishu kuwa mkewe anamegwa na njemba mbili hivyo anaomba ushauri! Kumbe huyu mmama ana mambo!
Pole sana..inaelekea ulichagua sana mke na ukatoka na koroma. Huyu mama ni mchafu na inaelekea ni wale wanaopenda starehe tu na kujipodoa bila kunyanyua kidole kuwajibika kwa lolote!
Cha kufanya Ngomanzito itabidi uweke Kalenda ya mzunguko wa mkeo, umsimamie kama mtoto mdogo, umbadilishe na kumsafisha na kutupa uchafu kama tufanyavyo kwa pampers za watoto.Inashauriwa uzichome moto mara moja na usizitupe ****** wala kwenye pipa la taka kama uko bongo.Kama uko majuu basi weka kwenye mifuko maalum utanunua super market na kuitupa kwenye garbage disposal.
Ukiona vinakuzidia, mpeleke kwa wazazi wake akapate re-training.