Usafi Wa Mavazi

Usafi Wa Mavazi

Nauza mitumba natembea sio chini ya kilometa 20 kwa siku...

Kwahiyo kutembea ndio kunakufanya usivae? bado hujanishawishi..... kwahiyo endapo suruali itaanguka?
 
kuna mtu atakuja kukwambia humu faida ya kutovaa chupi, tena ni maarufu kwenye jukwaa hili. ila hata mimi sioni faida ya pichu
Usivae chupi wewe mjamzito? useme unamimba ya mienz tisa muda wowote utazaa! mbona mnamambo ya ajabu
 
Kabisa we ni kama mimi Nina boxer nyingi lakin sina hata inerest za kuzivaa! Huwa napenda kuvaa pensi tu au bukta naziacha bom zinapigwa upepo!

Sasa ulizinunua za nini?
 
Kwahiyo kutembea ndio kunakufanya usivae? bado hujanishawishi..... kwahiyo endapo suruali itaanguka?

Hiyo inakuwa ajali kazini...ww muda wote unavaa c.h.u.p.i?
 
Ila nguo ya ndani ni ya kujali sana iwe nzuri na nafhifu ndo vizuri.....
 
Jamani nguo za ndani ni muhimu sana. Kwa mdada unapaswa kuwa safi muda wote usifikiri kwamba hakuna atakaye kuja kuona ndani umevaa nini, ya dunia mengi ipo siku usiyojua unaweza ukaumwa ghafla ukasaidiwa na watu wengine ndipo utaona aibu.

Shame on you mnaovaa pichu hadi zinachanika lakini bado tu unaivaa, skin tight hadi inachakaa bado tu unayo, blazia hadi unaishona shona bado tu unayo.

Kwa Wakaka, unavaa Vest siku nne had wiki, yani vest chafu, boxer ndo usiseme. Jamani tujipende ya Mungu mengi huwez kujua lini utaanguka. Leso ni kitambaa kidogo sana lakini ni muhimu mno, tujifunze kutembea na kutumia Leso jamani.

Aibu, mdada umevaa vizuri huna leso, jasho wajifuta kwa mkono.

hizi mada za nguo za ndani nishazisoma humu zaidi ya mara kumi!!! nafikiri walengwa washapata somo. yatosha.
 
Back
Top Bottom