Usafiri wa Anga Tanzania chini ya ATCL ni ghali kuliko hata usafiri kutoka Bara moja kwenda lingine kwa mataifa mengine

Usafiri wa Anga Tanzania chini ya ATCL ni ghali kuliko hata usafiri kutoka Bara moja kwenda lingine kwa mataifa mengine

Usafiri wa anga nchini Tanzania ni usafiri ghali na wa gharama ya juu hadi kufikirisha ukilinganisha na mataifa mengine yakihusisha na safari kutoka bara moja hadi bara jingine.

Usafiri wa anga chini ya Air Tanzania kwa kiasi kikubwa ukisaidiana na Precision Air unaonekana kama umewalenga wanasiasa na wafanyabishara wakubwa.

Safari ya ndege ya moja kwa moja kutoka Caracas, Venezuela hadi Madrid, Uhispania ni takriban $290 sawa na TZS 864,311 - hiyo ni nchi hadi nchi kwenye mabara mawili tofauti.

Safari ya ndege ya moja kwa moja kutoka Bukoba, Tanzania hadi Dar es Salaam, Tanzania ni takriban TZS 631,000 sawa na €212 - hiyo ni mji hadi mji ndani ya nchi.

Safari ya ndege ya moja kwa moja kutoka Fort Lauderdale, USA hadi Cartagena au Barranquilla, Colombia ni takriban $69 sawa na TZS 189,000 - hiyo ni nchi hadi nchi.

Safari ya ndege ya unganisho kutoka Mbeya, Tanzania hadi Mwanza, Tanzania ni takriban 1,100,000 sawa na $403 - hiyo ni jiji hadi jiji ndani ya nchi.

Hii ni mifano midogo sana maana kuna safari za kutoka Seoul, Korea Kusini hadi Barcelona kwa TZS 1,023,000.

Swali langu ni kwanini ATCL na washirika wake ndani ya nchi wana gharama kubwa katika usafirishaji! Je wanatumia teknolojia na mifumo tofauti na ghali ukilinganisha na mataifa mengine?

Ni sababu zipi za msingi zinazofanya flights za ndani ya nchi kuwa ghali maradufu kiuhalisia na hata ukilinganisha na mataifa mengine?

Ni maelekezo kutoka juu kuendelea kuwafinya watanzania wazidi kuishi kijamaa?

JamiiForums naomba msaada wa kuwatafuta ATCL, Mamlaka ya Anga na Wizara ya Uchukuzi watupatie ufafanuzi na statistics zinazohalalisha gharama za usafiri wa anga.

Yaani kutoka mbeya hadi mwanza ni sawa na Return ya Dar-Kigali
 
Usafiri wa anga nchini Tanzania ni usafiri ghali na wa gharama ya juu hadi kufikirisha ukilinganisha na mataifa mengine yakihusisha na safari kutoka bara moja hadi bara jingine.

Usafiri wa anga chini ya Air Tanzania kwa kiasi kikubwa ukisaidiana na Precision Air unaonekana kama umewalenga wanasiasa na wafanyabishara wakubwa.

Safari ya ndege ya moja kwa moja kutoka Caracas, Venezuela hadi Madrid, Uhispania ni takriban $290 sawa na TZS 864,311 - hiyo ni nchi hadi nchi kwenye mabara mawili tofauti.

Safari ya ndege ya moja kwa moja kutoka Bukoba, Tanzania hadi Dar es Salaam, Tanzania ni takriban TZS 631,000 sawa na €212 - hiyo ni mji hadi mji ndani ya nchi.

Safari ya ndege ya moja kwa moja kutoka Fort Lauderdale, USA hadi Cartagena au Barranquilla, Colombia ni takriban $69 sawa na TZS 189,000 - hiyo ni nchi hadi nchi.

Safari ya ndege ya unganisho kutoka Mbeya, Tanzania hadi Mwanza, Tanzania ni takriban 1,100,000 sawa na $403 - hiyo ni jiji hadi jiji ndani ya nchi.

Hii ni mifano midogo sana maana kuna safari za kutoka Seoul, Korea Kusini hadi Barcelona kwa TZS 1,023,000.

Swali langu ni kwanini ATCL na washirika wake ndani ya nchi wana gharama kubwa katika usafirishaji! Je wanatumia teknolojia na mifumo tofauti na ghali ukilinganisha na mataifa mengine?

Ni sababu zipi za msingi zinazofanya flights za ndani ya nchi kuwa ghali maradufu kiuhalisia na hata ukilinganisha na mataifa mengine?

Ni maelekezo kutoka juu kuendelea kuwafinya watanzania wazidi kuishi kijamaa?

JamiiForums naomba msaada wa kuwatafuta ATCL, Mamlaka ya Anga na Wizara ya Uchukuzi watupatie ufafanuzi na statistics zinazohalalisha gharama za usafiri wa anga.
Kumbe ndiyo maana nashindwa kupanda ndege gharama zao zipo juu kweli. Fikiria kutoka Tanzania hadi India ni dola 450 tu
 
Nadhani moja ya sababu ni " ECONOMIES OF SCALE. Mifano uliotoa wanatumia ndege zinazobeba watu zaidi ya 250 and almost full booked. But still, Atcl na wenzake, nauli zipo unfairly high.
We nani alikwambia fly Dubai inabeba abiria 250?
Zipo ndege ndogo na kubwa lakini gharama zinakaribiana kabisa.
 
Bado tunaamini usafiri wa anga ni anasa. Ndiyo maana hadi leo mtu akisafiri kwa ndege anajiona kama ametoboa.

Serikali ilisaidie hili shirika lakini pia iruhusu ama kuvutia uwekezaji katika sekta ya anga. Kama alivyo jaribu fastjet huyu precision nae yupo yupo.

Kwa ubora wa miundombinu ya viwanja kwa sasa kutokea kusini, kaskazin, magharibi. Kanda ya ziwa, kanda ya kati ni fursa adhimu kuwekeza.

Shida naona ukiritimba umejaa kwa kuwalinda ATCL ambao nao ni wachovu tu.
Tuyakaribishe mashirika mengine kwa usafiri wa ndani.

Kafulila utakaporudi hapa njoo na muwekezaji kwa njia yako ya PPP.
 
Bado tunaamini usafiri wa anga ni anasa. Ndiyo maana hadi leo mtu akisafiri kwa ndege anajiona kama ametoboa.

Serikali ilisaidie hili shirika lakini pia iruhusu ama kuvutia uwekezaji katika sekta ya anga. Kama alivyo jaribu fastjet huyu precision nae yupo yupo.

Kwa ubora wa miundombinu ya viwanja kwa sasa kutokea kusini, kaskazin, magharibi. Kanda ya ziwa, kanda ya kati ni fursa adhimu kuwekeza.

Shida naona ukiritimba umejaa kwa kuwalinda ATCL ambao nao ni wachovu tu.
Tuyakaribishe mashirika mengine kwa usafiri wa ndani.

Kafulila utakaporudi hapa njoo na muwekezaji kwa njia yako ya PPP.
ATCL ofisini kwao utakuta kuna wazee toka enzi ya nyerere mpaka leo ni wafanyakazi, sasa watu wa namna hii wanawezaje kufanya changes za sasa wakali wao ni wana conservative?
 
Pascal Mayalla naamini wewe umeshapanda ndege, hivyo basi kama ndege umekwisha ipanda tunaomba japo kwa uchache maelezo au maoni ya kwanini gharama ni kubwa kwa upande wa usafiri wa ndege wa ndani...
Mtanisamehe mimi ni mzalendo naitetea ATCL, it operates kwa hasara kutokana na kununua midege mikubwa ya long haul na kuzioparates domestically, zinachosha engine, wear and tear ni kubwa, take off na landing within short distance ina burns tons of fuel, hivyo ni sisi abiria tunafidia the losses.

P
 
Hii ni route ndefu sana kutoka South Amerika hadi West Europe.
Safari ya ndege ya moja kwa moja kutoka Caracas, Venezuela hadi Madrid, Uhispania ni takriban $290 sawa na TZS 864,311 - hiyo ni nchi hadi nchi kwenye mabara mawili tofauti.

Safari ya ndege ya moja kwa moja kutoka Bukoba, Tanzania hadi Dar es Salaam, Tanzania ni takriban TZS 631,000 sawa na €212 - hiyo ni mji hadi mji ndani ya nchi.
wanataka wapande wenyewe tu. Walamba asali.

Hii hata Lucas hapandi
 
Kuna kipindi ulipoteza chaneli,

 
Usafiri wa anga nchini Tanzania ni usafiri ghali na wa gharama ya juu hadi kufikirisha ukilinganisha na mataifa mengine yakihusisha na safari kutoka bara moja hadi bara jingine.

Usafiri wa anga chini ya Air Tanzania kwa kiasi kikubwa ukisaidiana na Precision Air unaonekana kama umewalenga wanasiasa na wafanyabishara wakubwa.

Safari ya ndege ya moja kwa moja kutoka Caracas, Venezuela hadi Madrid, Uhispania ni takriban $290 sawa na TZS 864,311 - hiyo ni nchi hadi nchi kwenye mabara mawili tofauti.

Safari ya ndege ya moja kwa moja kutoka Bukoba, Tanzania hadi Dar es Salaam, Tanzania ni takriban TZS 631,000 sawa na €212 - hiyo ni mji hadi mji ndani ya nchi.

Safari ya ndege ya moja kwa moja kutoka Fort Lauderdale, USA hadi Cartagena au Barranquilla, Colombia ni takriban $69 sawa na TZS 189,000 - hiyo ni nchi hadi nchi.

Safari ya ndege ya unganisho kutoka Mbeya, Tanzania hadi Mwanza, Tanzania ni takriban 1,100,000 sawa na $403 - hiyo ni jiji hadi jiji ndani ya nchi.

Hii ni mifano midogo sana maana kuna safari za kutoka Seoul, Korea Kusini hadi Barcelona kwa TZS 1,023,000.

Swali langu ni kwanini ATCL na washirika wake ndani ya nchi wana gharama kubwa katika usafirishaji! Je wanatumia teknolojia na mifumo tofauti na ghali ukilinganisha na mataifa mengine?

Ni sababu zipi za msingi zinazofanya flights za ndani ya nchi kuwa ghali maradufu kiuhalisia na hata ukilinganisha na mataifa mengine?

Ni maelekezo kutoka juu kuendelea kuwafinya watanzania wazidi kuishi kijamaa?

JamiiForums naomba msaada wa kuwatafuta ATCL, Mamlaka ya Anga na Wizara ya Uchukuzi watupatie ufafanuzi na statistics zinazohalalisha gharama za usafiri wa anga.
You raised good and nice concerns.

Umefanyia kazi uzi wako...au ni Barafu umerudi kivingine?
 
Shida ni bongo za tuliowapa mamlaka, ni washamba, wanachukulia vitu vingi kama ANASA. Hatuwezi kutoboa, kuagiza ka IST tu kodi mlima, gari linaonekana ANASA.
Wajue umuhimu wa muda ulimwengu huu, kwenye kila kitu anasa hazikosekani, ila zinaenda kwa madaraja.

Mtu kuoanda ndege isionekana anasa, ila anasa iwepo ndani ya mdege kwa madaraja.
 
Back
Top Bottom