Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli kabisa,Nimepiga simu kuconfirm,wamesema wanategemea kuanza either wiki ya mwisho ya November au early December!!
Hiyo cost inawezekana kabisa,kazi kwa zile airline zingine na small operators!!!
hiyo tax na other charges ni sh ngapi usikute ukiijumlisha hyo unafikia nauli ya kawaida hebu ulizia utujuze wakuambie tax na other charges utalipa sh ngapi
Huduma za ndege duniani kote huwa ni cheap sana, tulibakia Tanzania na kuonekani ni usafiri wa anasa!
hakuna cha ajabu hapo mbona johhanesburg mpaka port elizabeth (zaidi ya km 1000) ni kama $40 pamoja na VAT.
duuu mi sijaelewa hiyo $ 20 ni kwa route ipi?
Nani anapenda kupoteza pesa yake kupiga simu kuuliza jibu wakati swali analo? Anyways, kwa vile Tanzania ni Bongolalaland huenda kuna mtakaowapata. Tell it to the birds sir.