Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Apande Golden deer au sauli, golden deer nauli 40,000 na sauli 45,000! Naishi TundumaHabarini za asubuhi Wanajamvi,
Kwa wale wa dar poleni na mvua ya asubuhi asubuhi.
Naomba kuulizia usafiri wa bus safi na huduma bora toka Dar hadi Tunduma.
Nina wageni wangu kutoka nje wanataka kusafiri kwenda Tundumba kwa bus.
Muda sio mrefu stendi inahamia MpembaSauli itafaa nauli 45k
Hivi kile ki stand uchwara cha tunduma serikali hawakioni?
Aliekuambia hayo ni wazi haujui mwendo wa roho mkononi......na wewe umekubali kuhadaika,toka lini 80kph na 50kph zikawa spidi za roho mkononi!!!!?Asante,
niliulizia watu nikaambiwa Sauli ni zuri ila mwendo kasi balaa, roho mkononi.
Asante,
niliulizia watu nikaambiwa Sauli ni zuri ila mwendo kasi balaa, roho mkononi.
Speed ni za kawaida tu,ila kwenye kubajeti muda ndo gape huanzia hapo,Aliekuambia hayo ni wazi haujui mwendo wa roho mkononi......na wewe umekubali kuhadaika,toka lini 80kph na 50kph zikawa spidi za roho mkononi!!!!?
Luxury bus linasiti zaidi ya 50, hv watu mnajua maana ya luxury bus au kwa sababu tupo tzpanda sauli ni luxury bus
So kwa nn Sauli bei zao za nauli zipo juu kuliko New force?Hahahaha! Sauli hamna kitu pale, golden deer ndo vinara,haijawahi kufika ya kwanza ,mara zote inakuwa ya tatu huko kuendelea