maramojatu
JF-Expert Member
- Mar 16, 2012
- 1,749
- 2,319
Ndugu wanajamiiforum! Habari za weekend?
Nategemea kwenda Moshi Alhamisi jioni kwa ajili ya shughuli za kifamilia ijumaa...
Naomba ushauri wetu ni aina gani ya usafiri nitapata kutokea Dar kuanzia saa 12 jioni.
Natanguliza shukrani
Nategemea kwenda Moshi Alhamisi jioni kwa ajili ya shughuli za kifamilia ijumaa...
Naomba ushauri wetu ni aina gani ya usafiri nitapata kutokea Dar kuanzia saa 12 jioni.
Natanguliza shukrani