maramojatu
JF-Expert Member
- Mar 16, 2012
- 1,749
- 2,319
- Thread starter
- #21
Thanks kaka... Nashukuru Kwa usafiri. Nilifika Moshi salamanimekucheki dm
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thanks kaka... Nashukuru Kwa usafiri. Nilifika Moshi salamanimekucheki dm
Hakuna kitu kama hiki, walitarajia kuwa na ruti hizi lakini wamenyimwa vibali na serikaliKilimanjaro express wana safari za kutoka Dar kwenda Arusha za usiku, basi linatoka saa mbili na nusu usiku. Wacheki chap ukate tiketi fasta, maana huwa tiketi zinaisha mapema sana.
Ni very comfortable.
Hii ya kilimanjaro si kweli, walishanyimwa vibali1. Precision Air ndege ya 18:30HRS,
2. Kilimanjaro Express 19:00 HRS,
3. Magari ya magazeti, Ubungo Kibo, 23:00 HRS
Hiyo safari walishaichaga kitambo...mamlaka ziliwakataliaKilimanjaro express wana safari za kutoka Dar kwenda Arusha za usiku, basi linatoka saa mbili na nusu usiku. Wacheki chap ukate tiketi fasta, maana huwa tiketi zinaisha mapema sana.
Ni very comfortable.
Naona sasa hivi mamlaka zimepiga pini hizi safari za usiku. KLM express walipiga hii safari nafikiri kama mara mbili tatu tuu, wakapigwa pini. Naona pia sasa hivi gari za Mbeya zilizokua zinapiga ruti za mchana zimepigwa pini pia.Hiyo safari walishaichaga kitambo...mamlaka ziliwakatalia
Walianza kabisa mkuu, walipiga ruti mbili tatu kabla ya kupigwa pini.Hakuna kitu kama hiki, walitarajia kuwa na ruti hizi lakini wamenyimwa vibali na serikali
WamesimamishwaWalianza kabisa mkuu, walipiga ruti mbili tatu kabla ya kupigwa pini.
Yeah, wamepigwa pini ndo nimejua juzi pia. Ila ni nzuri sana aisee, mamlaka waruhusu tuu!Wamesimamishwa
Nakumbuka Kilimanjaro walileta tangazo lao humu sijui hawakulipia? Ilikuwa ni ThreadNdugu wanajamiiforum! Habari za weekend?
Nategemea kwenda Moshi Alhamisi jioni kwa ajili ya shughuli za kifamilia ijumaa...
Naomba ushauri wetu ni aina gani ya usafiri nitapata kutokea Dar kuanzia saa 12 jioni.
Natanguliza shukrani
Wamesimamishwa kwa sababu gani maana wazee wa hakula kulala Tunduma-dar-tunduma tunaenjoy huduma hizo za usikuWamesimamishwa
Hii ruti ya Dar Tunduma ya usiku New force pia wamesimamishwa, ilikua ruti yangu sana hiyo, ila juzi kati nikawacheki wanipe tiketi wakaniambia wamesimamisha safari za mchana..!!Wamesimamishwa kwa sababu gani maana wazee wa hakula kulala Tunduma-dar-tunduma tunaenjoy huduma hizo za usiku