Usafiri wa Dar - Mtwara umenikosha roho

Usafiri wa Dar - Mtwara umenikosha roho

kweli umenena ila we angalia wachaga wanavyoshika kasi kina kweka,massawe ht shule kule chache kweli yaani private hazifiki kumi SIJUI TANO ZILE
KUNA MIDECE,OCEAN,CALL AND VISION (HAINA MIAKA MINGI)NMTWARA SISTERS,AQUINAS,MTWARA ISLAMIC(YA HIVI KARIBUNI)NA KING DAVID

Huyo Massawe ni mkongwe sana na hafulii aisee Lyimo alikuja kwa kasi sijui kama bado yupo. Ila massawe enzi zake watoto wake akina Ruth,Renald walikuwa wanatesa sana enzi hizo ukienda shule na baskeli we ndo wakishuaa Hapo Masawe na Watoto wa Lipwelele ndio walikuwa maarufu pale Ligula haha
 
bado sana muamko enzi zetu private ilikuwa ocean tu tena walienda kusoma waliofeli ukienda private enzi zetu ulikuwa unaonekana kilaza we didnt care about st. Kunani yaani ukifaulu serikalini wewe ni kichwa balaa tena hasa shule za vipaji maalum basi nadhan wawekezaji wajitahidi kuwekeza kwenye hiyo sekta. Umesahau na sabodo pia ni private

sabodo wamechukua serikali sasa hv ada km gvt
 
huyo massawe ni mkongwe sana na hafulii aisee lyimo alikuja kwa kasi sijui kama bado yupo. Ila massawe enzi zake watoto wake akina ruth,renald walikuwa wanatesa sana enzi hizo ukienda shule na baskeli we ndo wakishuaa hapo masawe na watoto wa lipwelele ndio walikuwa maarufu pale ligula haha

yaani hao ndo ma
don wa huko
unamjua mzungu wa naliendele?
 
Nashindwa kuelewa tatizo ni nini? Kama ni kweli aliyesimamia haya mafanikio ni X au Y, unataka tufanye nini? La msingi ni kujikita kwenye mada iliyopo badala ya kuihamishia katika kusifia watu. Badala yake ianzishwe mada nyingine kujadili nani kaleta maendeleo haya yaliyopo kwa sasa Mtwara. Michango yetu ni vema ikajikita katika kichwa cha habari badala ya kutuhamisha kwenye mada yetu ya kijamii na kutupeleka kwenye mambo ya Ubungo Plaza.

Umesoma vizuri post #1 ? "mkoa ule ambao miaka ya nyuma inasemekana ni mkoa uliosahaulika".

Unajuwa maana yake hiyo?

Ndiyo maana nikasema Kikwete akumbukwe kwani inaonesha dhahiri shahiri Kikwete ndiye aliyeikumbuka mikoa "iliyosahaulika"
 
Hivi kampuni ya Ng' itu imekufa kabisa? Mbona kimya? Hata zile coaster za Mtwara- Masasi hakuna, au bado zipo? Mulioko Mtwara mutujuze!

Kampuni ya Sollo imekufa kabisa? Mbona kimyaaa?

Vipi Al hamduli llah nae kimya hana basi kabisa? Mutujuze!
Ng'itu tangu yule mzee(Mbunge) afariki naona wadogo za wameshindwa kabisa kuiendeleza ile kampuni, Wenzake wananunua Yutong ye bado anaendelea na Mikweche yake, biashara imemshinda,coz nobody akipanda gari zake labda uwe umechelewa na huna option nyingine...
Baadae nikasikia biashara zake ni za NGENDE so imekufa kifo cha mende
 
Ok kaka! Ni Msambaa wa Lushoto-Tanga huko, kwenye safu za Milima ya Usambaa!

Hivi pale verani bado pako vilevile? Pamoja na kina kirefu tulikuwa tunaoga pale. Nilikuja Mtwara mwaka huu mwezi April, nilikuta Zambia road iko paved kwa lami, pale Magomeni mnadani( sijui siku hizi wako wapi) niliambiwa itawekwa lami hadi VETA huko sasa sijui ilishawekwa? Sizinga utuarifu kama lami tayari Magomen-Veta, Tandika Road, MATC( Inaitwa COTC) lami tayari!?
Hahaaaa, haya tuanze sasa...hii ni Magoemeni pale juction-VETA, inapitia Mangoela, Chuno, Ocean to Veta
CHAZA, Madame B, geniveros, qn of sheba, chingas, Chinga One, VOICE OF MTWARA, mmhE, hmtk, Mrembo by Nature, Asante, FaizaFoxy
Update'

10zbrc0.jpg
 
Last edited by a moderator:
Barabara ya pale sokoni kupitia Nabwada hadi Bandarini full LAMI...inaitwa KUNAMBI ROAD...soko kubwa lote limezungukwa na lami
 
CoCO Beach...hahaaa Hiki ni kijiwe cha Bodaboda!! Almaarufu sana kwa kulianzisha(vuguvugu la gesi lilianzia hapa)

nilivyofika mtwara mara ya kwanza mwenyeji wangu akaniambia ngoja nikakuonyeshe coco beach!!! dah kumbe ni stand ya bodaboda!!! nilipapenda sana Msemo Beach na Makonde kabla hawajajenga ile club
Hahaaa kweli mtu asiyejua coco neach mtwara anaweza dhani ni pwani haha


2h6gex5.jpg
 
Afu unajua mie nimesoma Ligula primary?
Wapi mwl Mayele, Chimpepo, Haule, Mandanda,Nachi alikuwa na mkono uliolemaa....mdogomdogo, nitakujua tu
Hii ndo LIGULA PRIMARY SCHOOL...vichwa vingi vya Mtwara ndo chimbuko lake, tumepigishwa sana KWATA hapa na akina MAYELE(RIP) na akina Nachiputa...hahahaaaa..usimsahau Mwl Munga..akina DODI, Manento...Mwl Masali alikuwa na style yake ya kung'ata pua ni "RINGS"...hahaaa majambazi yote akina RAZARO, ANORD waliisoma namba


fkmnhf.jpg



Unaiona "ngunja" hii hapa chini...hahaaa ni shida kwakweli. Hapo huezi kupata tuzo ya usafi mweee

1pfkh4.jpg
 
Kunamiji mingine nimeshangaa hawali kunazi wanaona matunda ya ajabu hahaha Zanzibar kuna sehemu panaitwa Mkunazini nashangaa kuna mtu alikuwa hajui kama yale matunda yanaliwa kapiga picha tu nikamwambia aonje ajionee utamu hahaha. Dodoma pia kuna kunazi nyingi ila wenyeji hawajui kama zinaliwa, me hata leo hii niikute kunazi mji wowote hata siachii najikumbushia enzi.

Kunaz ni tunda la Uarabuni na pwani kwa ujumla. Pale Dodoma ilipandwa makusudi na Waarab ila wenyeji hawajui.Mikunaz imetajwa vema kwenye Quran tukufu kama moja ya chakula chenye ladha. Pamoja na umri wangu nilio nao kwa sasa, mkoa wowote na mji wowote nikikuta mkunaz umedondosha tunda zake nitaokota tu.

Aise jana nilipita pale Mbagala, nikakuta ming' oko inauzwa live. Pia nikakuta akinamama wanauza magos( ngozi za ng'ombe zilizochemshwa sawa tu na kongoro) nikakumbuka mbali sana mambo ya Kilabu cha Tandika, Kwa Nondo na pale Skoya- Lang'ata enzi hizo!
 
Mbona nilisikia vuguvugu lile lilianzia Nkana Red kule Magomeni?
Nkana ledi lazima wawajulishe vijana wa coco beach...kama utakumbuka vizuri hapa ndo kilikuwa kituo cha IVECO zile za jeshi...mwanzo mwisho, hapa na huko Nkanaledi migomigo ila uasi ndo ulianzia kule
 
Aisee asante mleta uzi, nimekumbuka Chikandanga, Ming'oko, kunazi, mapwiru, embe, ng'onda, korosho, chamaki nchanga n.k.

....Maana watu tumetoka mbali, unalala Rufijiiiiiii.....usiku tunaishia kupapaswa na makonda, asubuhi ndo mnaanza safari, hapo hamjaiona Kilwa, basi lishaharibika si chini ya mara 8.
Skonga umevuta, gari njiani linaharibika, ...ukifika skonga unachezea mbata za teacher Ngwadakulima....mamaeeee....we mwalimu nyoko zako uliko huko.
Siku tukikutana jifiche mwenyewe...maana nitakufanyia kitu nbaya
One of the best comment kwenye huu mjadala...hahahaaa wwe dada ni shida sana!! Mwenyewe ukionaaa rahaaaa kuchezewa na makondakta...lol
 
CoCO Beach...hahaaa Hiki ni kijiwe cha Bodaboda!! Almaarufu sana kwa kulianzisha(vuguvugu la gesi lilianzia hapa)





2h6gex5.jpg

boss nikija tena mtwara nitakutafuta.....nilikuja mara ya mwisho mwezi wa sita maisha club ilikuwa imefungwa ile njia yote ilikuwa imemwagwa vifusi..washaweka lami??
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom