qn of sheba
JF-Expert Member
- Sep 13, 2011
- 3,230
- 1,380
kweli umenena ila we angalia wachaga wanavyoshika kasi kina kweka,massawe ht shule kule chache kweli yaani private hazifiki kumi SIJUI TANO ZILE
KUNA MIDECE,OCEAN,CALL AND VISION (HAINA MIAKA MINGI)NMTWARA SISTERS,AQUINAS,MTWARA ISLAMIC(YA HIVI KARIBUNI)NA KING DAVID
bado sana muamko enzi zetu private ilikuwa ocean tu tena walienda kusoma waliofeli ukienda private enzi zetu ulikuwa unaonekana kilaza we didnt care about st. Kunani yaani ukifaulu serikalini wewe ni kichwa balaa tena hasa shule za vipaji maalum basi nadhan wawekezaji wajitahidi kuwekeza kwenye hiyo sekta. Umesahau na sabodo pia ni private
huyo massawe ni mkongwe sana na hafulii aisee lyimo alikuja kwa kasi sijui kama bado yupo. Ila massawe enzi zake watoto wake akina ruth,renald walikuwa wanatesa sana enzi hizo ukienda shule na baskeli we ndo wakishuaa hapo masawe na watoto wa lipwelele ndio walikuwa maarufu pale ligula haha
yaani hao ndo ma
don wa huko
unamjua mzungu wa naliendele?
Nashindwa kuelewa tatizo ni nini? Kama ni kweli aliyesimamia haya mafanikio ni X au Y, unataka tufanye nini? La msingi ni kujikita kwenye mada iliyopo badala ya kuihamishia katika kusifia watu. Badala yake ianzishwe mada nyingine kujadili nani kaleta maendeleo haya yaliyopo kwa sasa Mtwara. Michango yetu ni vema ikajikita katika kichwa cha habari badala ya kutuhamisha kwenye mada yetu ya kijamii na kutupeleka kwenye mambo ya Ubungo Plaza.
mzungu wa naliendele simfahamu huyo
Ng'itu tangu yule mzee(Mbunge) afariki naona wadogo za wameshindwa kabisa kuiendeleza ile kampuni, Wenzake wananunua Yutong ye bado anaendelea na Mikweche yake, biashara imemshinda,coz nobody akipanda gari zake labda uwe umechelewa na huna option nyingine...Hivi kampuni ya Ng' itu imekufa kabisa? Mbona kimya? Hata zile coaster za Mtwara- Masasi hakuna, au bado zipo? Mulioko Mtwara mutujuze!
Kampuni ya Sollo imekufa kabisa? Mbona kimyaaa?
Vipi Al hamduli llah nae kimya hana basi kabisa? Mutujuze!
Hahaaaa, haya tuanze sasa...hii ni Magoemeni pale juction-VETA, inapitia Mangoela, Chuno, Ocean to VetaOk kaka! Ni Msambaa wa Lushoto-Tanga huko, kwenye safu za Milima ya Usambaa!
Hivi pale verani bado pako vilevile? Pamoja na kina kirefu tulikuwa tunaoga pale. Nilikuja Mtwara mwaka huu mwezi April, nilikuta Zambia road iko paved kwa lami, pale Magomeni mnadani( sijui siku hizi wako wapi) niliambiwa itawekwa lami hadi VETA huko sasa sijui ilishawekwa? Sizinga utuarifu kama lami tayari Magomen-Veta, Tandika Road, MATC( Inaitwa COTC) lami tayari!?
nilivyofika mtwara mara ya kwanza mwenyeji wangu akaniambia ngoja nikakuonyeshe coco beach!!! dah kumbe ni stand ya bodaboda!!! nilipapenda sana Msemo Beach na Makonde kabla hawajajenga ile club
Hahaaa kweli mtu asiyejua coco neach mtwara anaweza dhani ni pwani haha
Hii ndo LIGULA PRIMARY SCHOOL...vichwa vingi vya Mtwara ndo chimbuko lake, tumepigishwa sana KWATA hapa na akina MAYELE(RIP) na akina Nachiputa...hahahaaaa..usimsahau Mwl Munga..akina DODI, Manento...Mwl Masali alikuwa na style yake ya kung'ata pua ni "RINGS"...hahaaa majambazi yote akina RAZARO, ANORD waliisoma nambaAfu unajua mie nimesoma Ligula primary?
Wapi mwl Mayele, Chimpepo, Haule, Mandanda,Nachi alikuwa na mkono uliolemaa....mdogomdogo, nitakujua tu
Kunamiji mingine nimeshangaa hawali kunazi wanaona matunda ya ajabu hahaha Zanzibar kuna sehemu panaitwa Mkunazini nashangaa kuna mtu alikuwa hajui kama yale matunda yanaliwa kapiga picha tu nikamwambia aonje ajionee utamu hahaha. Dodoma pia kuna kunazi nyingi ila wenyeji hawajui kama zinaliwa, me hata leo hii niikute kunazi mji wowote hata siachii najikumbushia enzi.
CoCO Beach...hahaaa Hiki ni kijiwe cha Bodaboda!! Almaarufu sana kwa kulianzisha(vuguvugu la gesi lilianzia hapa)
Nkana ledi lazima wawajulishe vijana wa coco beach...kama utakumbuka vizuri hapa ndo kilikuwa kituo cha IVECO zile za jeshi...mwanzo mwisho, hapa na huko Nkanaledi migomigo ila uasi ndo ulianzia kuleMbona nilisikia vuguvugu lile lilianzia Nkana Red kule Magomeni?
One of the best comment kwenye huu mjadala...hahahaaa wwe dada ni shida sana!! Mwenyewe ukionaaa rahaaaa kuchezewa na makondakta...lolAisee asante mleta uzi, nimekumbuka Chikandanga, Ming'oko, kunazi, mapwiru, embe, ng'onda, korosho, chamaki nchanga n.k.
....Maana watu tumetoka mbali, unalala Rufijiiiiiii.....usiku tunaishia kupapaswa na makonda, asubuhi ndo mnaanza safari, hapo hamjaiona Kilwa, basi lishaharibika si chini ya mara 8.
Skonga umevuta, gari njiani linaharibika, ...ukifika skonga unachezea mbata za teacher Ngwadakulima....mamaeeee....we mwalimu nyoko zako uliko huko.
Siku tukikutana jifiche mwenyewe...maana nitakufanyia kitu nbaya
CoCO Beach...hahaaa Hiki ni kijiwe cha Bodaboda!! Almaarufu sana kwa kulianzisha(vuguvugu la gesi lilianzia hapa)
hahaaaa, haya tuanze sasa...hii ni magoemeni pale juction-veta, inapitia mangoela, chuno, ocean to veta
chaza, madame b, geniveros, qn of sheba, chingas, chinga one, voice of mtwara, mmhe, hmtk, mrembo by nature, asante, faizafoxy
update'