Labda Mzee Tenga.Hahaaa Chinga jamani umepita mulemule Napome wote nawajua hadi yule mdogo Kesi Napome, Ahmad Watanga bado yupo nadhani anafanya Safari Radio product ya Ligula hiyo mkali wa basketi Sabasaba japo alikuwa mfupi, Oscar Dubwe alikuwa mtani wangu mkubwa anakaa jirani na kwa mzee Kachepa mitaa ileile ya kwa Lungu,Vero Lungu na Desi wote nawapata.. Zaina Mtingita nimecheza nae sana kwao palikuwa ni jirani na kwa Mzee Kazimoto na kwakina Deo Msaki hahaaa ule mtaa sijui nimemsahau nani.
Wale jamaa ni weupe kwa rangi na ni wapole sana.Weweeeeeee.....mbona sikupati.
Unajua nataka kukufananisha.
nakumbuka nilianza mahusiano na Saidi Mbelenje, tulikutana ndani ya basi la Wifi enzi nasoma Ligula, ukoo mkubwa lakini watoto wao wa kiume woooote madomo zege.
Sheila, Mustapha, Jaida wote hao nilikuwa nawajua.
Duka la chini.ndio kwao kulikuwa na mzambarau pia.
yule mbwa alikufaga....mbwa wenzie walimla mande.kule bwawani kwenye mbuyu....alipora demu.
Kwetu ndio mlikuwa mnakusanyikaga kupopoa embe....hahahaha
Unakumbuka dukani kwa Hamisi?
Akiitwa Brother Wini sijui MawiniDuka pekee lilokuwa maarufu mtaani si tulikuwa tunaliita duka la chini.. Alikuwa na mtoto anaitwa Bahati Hamisi alikuwa rafiki yangu tulikuwa tunamtumaga akaibe mchele wa madangi hahaha alafu opposite palikuwa na mkaanga chipsi maarufu alikuwa na genge lake pale chini ya mbuyu,staki kuamini kama nmemsahau jina,basi tukitumwa dukani kwa Hamisi chenji ikibaki tunapitia chipsi then tunasepa.
Kumbe myth juu ya Mmarekani mweusi ni kweli, hilo jina lilikuwa kubwa sana pale mjini.Mmarekani yupo ila kafulia,anadili na biashara flani misheni town, siku moja kailaza gari ya dili pale Jagaju akaisahau...imekaa pale mwezi nzima haijulikani.
Haji Mwanga?.Zainabu mtingita bonge la mtu,pale nyuma kulikua na jamaa paulo sufiani,kule karibia kwa napome nyumba ya njano kuna jamaa flani anaitwa haji nani sijui blazameni flani hivi walihama lakini,halafu ukienda kule bondeni kulikua na mujengwa family,pale mkwajuni karibia na kwakina deo msaki kulikilua na jamaa sheha musa ha ha ha,na hamisi pale mbuyuni,kuna kota moja pale walikua wanakaa wakina hashimu kamchacho daah those days kwa kweli ilikua raha sana.
Nenda mbagala au temeke sudani,kuna gari nyingi za kusini,panda gari zinazokuja masasi.Nahitaji kusafiri kutoka Dar kwenda Ndanda.
Nisafirije? Basi gani?
Ratiba ya mabasi ikoje?
Dah!Wale jamaa ni weupe kwa rangi na ni wapole sana.
Kuna jina nikilipitia huko google, matokeo yake likaonekana limewahi kutajwa humu na ndipo nikavutiwa na hii thread.Dah!
Naona unafukua makaburi.
Nyuzi ya 2014?
😂😂😂
Jina lipi 🤔?Kuna jina nikilipitia huko google, matokeo yake likaonekana limewahi kutajwa humu na ndipo nikavutiwa na hii thread.
Jina naweka kapuni, maana nikiyemkusudia ni kijana wa huyo mtu ambaye alifanya mtihani wa kidato cha pili mwaka jana.Jina lipi 🤔?
Kwa kina Sara na MesseHahahahaha......sasa nyumba ya baba Hanifa hii
yetu ilikuwa ile ya nyuma yake, Baba Hanifa alikuwa na mwanae Saidi, mwembambaaaaaa, hahahaha maskini bikira yangu, Saidi mbaya weweeee....hahahhaha.
Nasikia pacha mmoja alifariki jamani aliumwa.
Unakumbuka tulipokuwa tunacheza rede ya vipande?...kuleeeeee kwenye mwembe karibu na kwa Mzee Mwakyoma
Jamani!!Jina naweka kapuni, maana nikiyemkusudia ni kijana wa huyo mtu ambaye alifanya mtihani wa kidato cha pili mwaka jana.
Yaani, nishakuwa mshangazi, hata sikumbuki tenaKwa kina Sara na Messe
Dooh, nikahisi wewe ndiye Messe mwenyewe, maana wengi waliotajwa humu ni wa kizazi cha kaka na dada zangu pale mtaani.Yaani, nishakuwa mshangazi, hata sikumbuki tena
Wale wahindi wakiishi pale jirani na kwa kina Messe unawakumbuka?, binti mmoja wapo akiitwa Shellah.Kwa kina Sara na Messe
Hapana, sio mimi mkuuDooh, nikahisi wewe ndiye Messe mwenyewe, maana wengi waliotajwa humu ni wa kizazi cha kaka na dada zangu pale mtaani.
Asante sana. Naomba kufahamu yafuatayo:Nenda mbagala au temeke sudani,kuna gari nyingi za kusini,panda gari zinazokuja masasi.
Kwa sasa magari mazuri yanapatikana muda wa jioni kuanzia sa 12 hadi sa3 usiku.
Gari nzuri ni Buti la zungu,Maning nive,warda,.
Kawasalimu kusini ndanda masasi.
Nenda mbagala au temeke sudani,kuna gari nyingi za kusini,panda gari zinazokuja masasi.
Kwa sasa magari mazuri yanapatikana muda wa jioni kuanzia sa 12 hadi sa3 usiku.
Gari nzuri ni Buti la zungu,Maning nive,warda,.
Kawasalimu kusini ndanda masasi.