Seawhale
JF-Expert Member
- Sep 25, 2016
- 1,477
- 1,668
Labda Mzee Tenga.Hahaaa Chinga jamani umepita mulemule Napome wote nawajua hadi yule mdogo Kesi Napome, Ahmad Watanga bado yupo nadhani anafanya Safari Radio product ya Ligula hiyo mkali wa basketi Sabasaba japo alikuwa mfupi, Oscar Dubwe alikuwa mtani wangu mkubwa anakaa jirani na kwa mzee Kachepa mitaa ileile ya kwa Lungu,Vero Lungu na Desi wote nawapata.. Zaina Mtingita nimecheza nae sana kwao palikuwa ni jirani na kwa Mzee Kazimoto na kwakina Deo Msaki hahaaa ule mtaa sijui nimemsahau nani.