Usafiri wa Dar - Mtwara umenikosha roho

Usafiri wa Dar - Mtwara umenikosha roho

Kweli Kusini sasa kumekucha nakumbuka miaka ile ya 1992/95, nasoma Ndanda Sec/ basi la ALHAMDULILAH tulikwama pale katika Kijiji cha Kilanjelanje tulikaa siku 11, nafika Shule sina hata sent tano nimekula mpaka Ada,
 
Ajali nyingi ziko kaskazini huku kusini ni shwari sana kulikoni?

Au wale wajanja wa kutafuta hela wanatoa makafara kwa wengine?
 
mmm Madame B, alikuwa mshana au mgana.... mwalimu lyuki, Aloyce na somebodey kaganda. na yule wa kifaransa aliyeshuka midomo alikuwa nani? Aloyce sasa yupo Morogoro.....

Itakuwa tumepishana miaka ya kusoma
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: awp
hahahaa!!we kumbe ulikua mtata sana enzi zako!!

Hahahaaaaaa, mie nilikuwa naendesha kundi la Kaole hapo skonga. Njuka akija kichwa kichwa atapoteza ada zote pamoja na vitamu vyote kwenye tranka lake.
 
Kweli Kusini sasa kumekucha nakumbuka miaka ile ya 1992/95, nasoma Ndanda Sec/ basi la ALHAMDULILAH tulikwama pale katika Kijiji cha Kilanjelanje tulikaa siku 11, nafika Shule sina hata sent tano nimekula mpaka Ada,

Hauko peke yako.....mie nakumbuka basi la Akida Zumbwi, tulilala Lindi siku 6, nilipoteza kuanzia ada mpaka mie mwenyewe nilipotea
 
Ajali nyingi ziko kaskazini huku kusini ni shwari sana kulikoni?

Au wale wajanja wa kutafuta hela wanatoa makafara kwa wengine?

acha kuzungumzia ajali kbsaa na ata usiombe, vilevile mabasi ya kaskazini yameshajisahau wachaga wale wakishapokea ela yako, hawamkumbuki tena mungu wao wako busy na kuakikisha kama tiketi zote zimelipiwa.
na hii ndio kitu kilifanya nipost topic hii kwa wana jamii kwa kuona condactor anamjali abiria wake na kuwata wamtangulize mungu wao ili awafikishe salama,
sasa bac kutokea kwenye usafiri usiokuwa na uwakika hadi kufikia usafiri bora hatua ya kujivunia jaman,
tuwatie moyo awa jamaa ili wazidishe maarifa
 
wamebeba wazungu vingii sana asa hv viko juu
mi nilikua mtwara kikazi nimehama ila naweza nikakuulizia maana hua naendaga

Mkuu Gen naomba tusaidie kufanya karisechi kama tunaweza kupata na bei zake zikoje
 
Mie nikishaiona Mikindani tu, moyo kunemenya kufurahi na ming'oko bila kusahau Chikandanga

Pande za Ligula, Shangani (kuna fukwe nzuri sana huku), Magomeni (hapa kuna klabu moja ya pombe chafu nilikuwa naenda sana kulewa)....maeneo ya Msangankuu....

Mtwara iko bomba sana.
 
hizo ni sera zao yeyote kati yao akifanya ni wao na chama chao, je? nyote mmekubaliana na kupongeza...
 
Pande za Ligula, Shangani (kuna fukwe nzuri sana huku), Magomeni (hapa kuna klabu moja ya pombe chafu nilikuwa naenda sana kulewa)....maeneo ya Msangankuu....

Mtwara iko bomba sana.

Usinikumbushe Nyani Ngabu, mie nilikuwa naishi Indian Quarters kwa washua.
Ukituchokoza, ugomvi wake wanakuja kusuluhisha wazazi wakirudi job
 
Last edited by a moderator:
Pande za Ligula, Shangani (kuna fukwe nzuri sana huku), Magomeni (hapa kuna klabu moja ya pombe chafu nilikuwa naenda sana kulewa)....maeneo ya Msangankuu....

Mtwara iko bomba sana.

Usinikumbushe Nyani Ngabu, mie nilikuwa naishi Indian Quarters kwa washua.
Ukituchokoza, ugomvi wake wanakuja kusuluhisha wazazi wakirudi job
 
Last edited by a moderator:
bus linaitwa Jm luxury coach nimesafiri nalo terehe 24-oct 2014 uzuri mungine ni kwamba bus hizo huwa zinaongozana mbili kutoka dar mpaka mnazi mmoja ndio zinaachana njia,moja inaenda masasi nyingine mtwara
Jamani bus gani zuri linakwenda Newala
 
kwi kwi kwi kwi, alikosa na nywele akaamrisha wanafunzi wanyoe

Yaani nikikumbuka vituko vyake.
Siku moja tulienda kwake saa 9 usiku tukiwa na mawe, tukapiga dirisha la chumbani kwake....vioo vyote chini, ile tunakimbia tu, mwenzetu mmoja akaangukia mtaroni akateguka mguu.
Ilibidi tumbebe juu juu huku tukisaidiana.
Tulimuuguza wenyewe mpaka alipona....hivi angeoza mguu sijui ingekuwaje.
 
Back
Top Bottom