Usafiri wa Dar - Mtwara umenikosha roho

Usafiri wa Dar - Mtwara umenikosha roho

Nijambo jema sana kiukweli nimetokea kupapenda sana Mtwara,,,! Unajua kile kipande cha Somanga kimechukua muda sababu pale ni Bonde nadhani ndilo eneo watu walipokuwa wanakaa zaidi ya wk kipindi cha Masika,,!

Unapapenda Mtwara au umeoa Mtwara?
 
Ni kwa mara kwanza kusafiri na basi ambalo ni luxury kutokea Dar kwenda mkoa ule ambao miaka ya nyuma inasemekana ni mkoa uliosahaulika na ni sehemu ya adhabu kwa wafanyakazi wa serikali hii ya bongo.

Kilichonikosha roho ni kuona basi hili likitoa huduma ambayo tulizoea kuziona kwenye njia za mikoa ile ya ukanda wa kaskazini, mwanzo kabisa wa safari wahudumu hujitambulisha kwa abiria wao, then kuwahabarisha utaratibu wa safari abiria wote kuhusu kufunga mkanda kwa usalama wetu, kutoa mifuko ya kuweka uchafu,utaratibu wa kuongea na muhudumu bila kubugudhi abiria mwezako, utaratibu wa kushuka kwenye gari,vinywaji baridi vya Azam. mwisho kumtanguliza Mungu kwenye safari.

Sasa kutokana hali hiyo nikakumbuka safari yangu ya 1995 kutoka huko Kusini kuja Dar ambao tulisafiri na lory kwa siku sita, usafiri mwingine ilikuwa meli siku mbili majini, duh Kusini tumetoka mbali.

Nakubaliana na wewe kwa ubora wa magari na huduma katika mabasi ya JM Luxury. Nilisafiri kwa basi lao toka MTR-DSM mwezi August. Wakati tunaanza safari utangulizi wao ni kama ulivyoeleza ila kwa safari yetu walitueleza tutasafiri kwa masaa 8 tutapata chakula Nangurukuru na Ikwiriri. Mtwara tulitoka saa 1:30 asubuhi, saa 9:30 tulifika Mbagala na saa 9:45 alasiri tulikuwa Temeke mwisho.
Kwa ujumla mleta mada uko sahihi kabisa, kwani usafiri ule na hali hii ya leo kuna tofauti kubwa sana. Hivi sasa unaweza kupata chai ya asubuhi Mtwara, chakula cha mchana DSM na cha usiku, saa 2 ukapata Tanga, Morogoro, Dodoma, hata Iringa.
Mwenye picha za magari ya enzi zile kama MKARAMO, TAWAQAL, AMWENYE, SUPER CONCORD/MWAMBAO, KAWAMBWA, SOLLO SR & JR, MAKUTI na hata picha za meli kama MV LINDI, KILINDONI, MAPINDUZI, MAENDELEO, MS MTWARA, NK. atuwekee tujikumbushe. Ila pia tuwashukuru wenye yale magari maana kwa njia ile mtu kupeleka gari yako, yataka moyo.
 
Unapapenda Mtwara au umeoa Mtwara?

Ha ha haaa,,,,,,,Rafiki mi cjaoa nTWARA banaa,,,,,! Ila naupenda ule mji na vitongoji vyoke cz watu wakule ni wakarimu sana hawana majivuno sema labda hapo baadae wageni wengi wakiwa kule huenda ikachangia kuwa na watu wa Hovyo ila natamani cku moja niwe na makazi yakudumu asee,,,,!
 
Nakubaliana na wewe kwa ubora wa magari na huduma katika mabasi ya JM Luxury. Nilisafiri kwa basi lao toka MTR-DSM mwezi August. Wakati tunaanza safari utangulizi wao ni kama ulivyoeleza ila kwa safari yetu walitueleza tutasafiri kwa masaa 8 tutapata chakula Nangurukuru na Ikwiriri. Mtwara tulitoka saa 1:30 asubuhi, saa 9:30 tulifika Mbagala na saa 9:45 alasiri tulikuwa Temeke mwisho.
Kwa ujumla mleta mada uko sahihi kabisa, kwani usafiri ule na hali hii ya leo kuna tofauti kubwa sana. Hivi sasa unaweza kupata chai ya asubuhi Mtwara, chakula cha mchana DSM na cha usiku, saa 2 ukapata Tanga, Morogoro, Dodoma, hata Iringa.
Mwenye picha za magari ya enzi zile kama MKARAMO, TAWAQAL, AMWENYE, SUPER CONCORD/MWAMBAO, KAWAMBWA, SOLLO SR & JR, MAKUTI na hata picha za meli kama MV LINDI, KILINDONI, MAPINDUZI, MAENDELEO, MS MTWARA, NK. atuwekee tujikumbushe. Ila pia tuwashukuru wenye yale magari maana kwa njia ile mtu kupeleka gari yako, yataka moyo.

WE JAMAA umetisha sana. inaonesha unaijua kusini vizuri sana
 
We vipi? hata barabara ingekua na basi milioni kama madereva wanafata sheria ajali inakua nadra sana kutokea,tatizo lenu wachaga mnalewa kama komba huku mnaendesha ndio maana mnaua ndugu zenu daily barabarani.

Laana unayoitafuta mtaipata tu... Kwa maneno hayo uliyotumia nakuhakikishia huu mwaka hautaisha bila kutokea ajali mbaya kwenye hiyo barabara, god forbid
 
Nikiwa bado nakula likizo yangu mkoani mtwara hii ni habari nyingine mzuri
Jana kulikuwa na shamra shamra za uzinduzi na mapokezi ya kivuko cha msangamkuu,hongereni sana wanaichi mjini mtwara na kule msanga mkuu ni wajibu wenu sasa kukitunza ili vizazi vyenu wakikute icho kivuko, nimekiona mwenyewe kw macho yangu n kivuko cha kisasa japokuwa kuna watu wanasema hii ni danganya toto ya kuwasahaulisha watu juu ya kipigo walichokipata wkt wa harkati za madai yao kuiomba serekali ya Jk isiisafarishe gas kwnda dar badala yake iwekezwe apa apa mkoani ili ku bust uchumi wa mkoa huu uliokuwa nyuma kbs kimaendeleo na kielimu pia
 
Ha ha haaa,,,,,,,Rafiki mi cjaoa nTWARA banaa,,,,,! Ila naupenda ule mji na vitongoji vyoke cz watu wakule ni wakarimu sana hawana majivuno sema labda hapo baadae wageni wengi wakiwa kule huenda ikachangia kuwa na watu wa Hovyo ila natamani cku moja niwe na makazi yakudumu asee,,,,!

Asente
 
1kvk.jpg


Kivuko kipya cha kwanza kwenda Msangamkuu kilizinduliwa rasmi jana tarehe 31/10/2014
 
proxy3.jpg



proxy4.jpg


Tatizo la usafiri kwenda mikoa ya Lindi na Mtwara, karibu litamalizika baada ya sehemu kubwa ya barabara kujengwa kwa kiwango cha lami.
 
Yote tisa, kumi Mr.Mkapa alipotuletea MV. SANTORINI
hahahaha, mpaka ikaitwa meli ya wanafunzi.
Maana yake likizo ikifika wanafunzi wooooote wa kusini haoooo melini, sema tu wale mabaharia wao walikuwa malaya sana, wanafunzi wametolewa sana bikira kule chini na hawa mabaharia wa Kigiriki.
Wanawavizia mkishuka ngazi, mnakuta wamejipanga huku wanakunywa bia, na walivyo wazuri basi wanafunzi wakiitwa tu, hao wanawafuata.
Wanaingizwa vyumbani mwao, wanakandamiziwa ukuni.
Aiseeee...tumetoka mbali saaaaaana.

Ila MV. SAFARI, sina hamu nayo!!!, umepanda meli kama umepanda mtumbwi unaoelekea MsangaMkuu!!
Hahaha madam umeanzaaaaaa
 
Sikuhizi unaenda na kugeuza kaka. Mambo ya shabadirika. Sasa watu wanataka watafute wawekezaje zije speed boat za Mtwara kama za zenji vile.
 
Back
Top Bottom