Usafiri wa Dar - Mtwara umenikosha roho

Usafiri wa Dar - Mtwara umenikosha roho

chingas

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2014
Posts
261
Reaction score
113
Ni kwa mara kwanza kusafiri na basi ambalo ni luxury kutokea Dar kwenda mkoa ule ambao miaka ya nyuma inasemekana ni mkoa uliosahaulika na ni sehemu ya adhabu kwa wafanyakazi wa serikali hii ya bongo.

Kilichonikosha roho ni kuona basi hili likitoa huduma ambayo tulizoea kuziona kwenye njia za mikoa ile ya ukanda wa kaskazini, mwanzo kabisa wa safari wahudumu hujitambulisha kwa abiria wao, then kuwahabarisha utaratibu wa safari abiria wote kuhusu kufunga mkanda kwa usalama wetu, kutoa mifuko ya kuweka uchafu,utaratibu wa kuongea na muhudumu bila kubugudhi abiria mwezako, utaratibu wa kushuka kwenye gari,vinywaji baridi vya Azam. mwisho kumtanguliza Mungu kwenye safari.

Sasa kutokana hali hiyo nikakumbuka safari yangu ya 1995 kutoka huko Kusini kuja Dar ambao tulisafiri na lory kwa siku sita, usafiri mwingine ilikuwa meli siku mbili majini, duh Kusini tumetoka mbali.
 
Kwa njia hiyo bila shaka unamaanisha JM Luxury Coach maana haya mengine mhhhhhhhh
 
bus linaitwa Jm luxury coach nimesafiri nalo terehe 24-oct 2014 uzuri mungine ni kwamba bus hizo huwa zinaongozana mbili kutoka dar mpaka mnazi mmoja ndio zinaachana njia,moja inaenda masasi nyingine mtwara
 
Nayakubali sana haya mabasi yako vizuri. JM LUXURY COACH mie nilikwenda nayo huko unyakyusani.
 
How nice to read something positive. Hope wataendelea kama hivyo hivyo ili waigwe na wengine. Na sie abiria tujutahidi, tulipe nauli kwa ticket na sio kuhonga nusu bei inayoingia kwa konda na dereva na sio kwa mwenye mali, tudumishe usafi, tutumie hiyo mifuko ya uchafu na kuacha kutema mate ovyo na makamasi kuyabangisha ktk seats etc...
 
Ni kwa mara kwanza kusafiri na basi ambalo ni luxury kutokea Dar kwenda mkoa ule ambao miaka ya nyuma inasemekana ni mkoa uliosahaulika na ni sehemu ya adhabu kwa wafanyakazi wa serikali hii ya bongo.

Kichonikosha roho ni kuona basi hili likitoa huduma ambayo tulizoea kuziona kwenye njia za mikoa ile ya ukanda wa kaskazini, mwanzo kabisa wa safari wahudumu hujitambulisha kwa abiria wao, then kuwahabarisha utaratibu wa safari abiria wote kuhusu kufunga mkanda kwa usalama wetu, kutoa mifuko ya kuweka uchafu,utaratibu wa kuongea na muhudumu bila kubugudhi abiria mwezako, utaratibu wa kushuka kwenye gari,vinywaji baridi vya Azam. mwisho kumtanguliza Mungu kwenye safari.

Sasa kutokana hali hiyo nikakumbuka safari yangu ya 1995 kutoka huko Kusini kuja Dar ambao tulisafiri na lory kwa siku sita, usafiri mwingine ilikuwa meli siku mbili majini, duh Kusini tumetoka mbali.

Inabidi tumkumbuke Kikwete.
 
Ni kwa mara kwanza kusafiri na basi ambalo ni luxury kutokea Dar kwenda mkoa ule ambao miaka ya nyuma inasemekana ni mkoa uliosahaulika na ni sehemu ya adhabu kwa wafanyakazi wa serikali hii ya bongo.

Kichonikosha roho ni kuona basi hili likitoa huduma ambayo tulizoea kuziona kwenye njia za mikoa ile ya ukanda wa kaskazini, mwanzo kabisa wa safari wahudumu hujitambulisha kwa abiria wao, then kuwahabarisha utaratibu wa safari abiria wote kuhusu kufunga mkanda kwa usalama wetu, kutoa mifuko ya kuweka uchafu,utaratibu wa kuongea na muhudumu bila kubugudhi abiria mwezako, utaratibu wa kushuka kwenye gari,vinywaji baridi vya Azam. mwisho kumtanguliza Mungu kwenye safari.

Sasa kutokana hali hiyo nikakumbuka safari yangu ya 1995 kutoka huko Kusini kuja Dar ambao tulisafiri na lory kwa siku sita, usafiri mwingine ilikuwa meli siku mbili majini, duh Kusini tumetoka mbali.

chingas hongera kwa kupanda luxury.....msimsahau aliefanya yote haya yakawezekana hata ntwara...
 
Last edited by a moderator:
Wameanza miaka miwili ago. Sisi wengine hatukuona kama ni habari kubwa hivi. Nyumbani Nachingwea lindi.

kwangu mimi ni habari kubwa sana kwa vile nikikumbuka tulivyokua tunaenda pale kisutu kupokea watu wa kusini' ndugu yako akiteremka kwenye bus unaweza kumkimbia au kumsahau jinsi alivyokuwa na vumbi hadi nguo ya ndani na begi lake limepasuka, mabasi ayo ayo yalikua ayamthamini abiria, siti inauzwa ata mara tatu, unakalia siti ngumu kama vile umekalia chuma, bus la abiria 80 munashindiliwa watu 160, sasa we ukisema ujaona km ni habari kubwa inaonyesha bado hujajitambua (tembea oune)
 
kwangu mimi ni habari kubwa sana kwa vile nikikumbuka tulivyokua tunaenda pale kisutu kupokea watu wa kusini' ndugu yako akiteremka kwenye bus unaweza kumkimbia au kumsahau jinsi alivyokuwa na vumbi hadi nguo ya ndani na begi lake limepasuka, mabasi ayo ayo yalikua ayamthamini abiria, siti inauzwa ata mara tatu, unakalia siti ngumu kama vile umekalia chuma, bus la abiria 80 munashindiliwa watu 160, sasa we ukisema ujaona km ni habari kubwa inaonyesha bado hujajitambua (tembea oune)

ni kweli kabisa mkuu,KUSINI KUCHELE
 
  • Thanks
Reactions: awp
Hingera jk na magufuri kwa kuwakumbuka watu wa kusini. Tukumbukeni na sisi wakiteto, safari ya kutoka dar mpaka kiteto kipande cha kuanzia runch ya nacompaka kiteto nasi tuwekewe rami.
 
Hingera jk na magufuri kwa kuwakumbuka watu wa kusini. Tukumbukeni na sisi wakiteto, safari ya kutoka dar mpaka kiteto kipande cha kuanzia runch ya nacompaka kiteto nasi tuwekewe rami.

Hivi huo ugonjwa Wa kusahau sahau mbona unakukabili kwa kasi namna hiyo? Hiyo ni kazi ya Mkapa na Magufuri (Rais mpendekezwa).
 
Back
Top Bottom