Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 31,155
- 35,683
Nimecheka sana sehem flan unasema ukiwa shule ungekuja kuwa Jambaz la kike kwa babe uliokuwa nao shule khaaa,,,,! Ujue kipindi cha makuzi Kijana anajiona anaweza kila kitu lkn umri unavyoongezeka kila kitu kinabadilika inabaki stori tu,,,,!
Yaani inabaki story kwa kweli.
Halafu unajua Mtwara sio kubwa kiviile enzi hizo, basi ukifanya jambo, unafahamika haraka