Usafiri wa Mabasi Dar/Arusha-Nairobi wasitishwa

Usafiri wa Mabasi Dar/Arusha-Nairobi wasitishwa

Ukienda na ndege ndio utaingia mjini Nairobi? Kama kuna machafuko, sio kwenda huko hadi hali itulie, KDF washaingia kazini, hali ya hatari imetangazwa jana, hivyo hali itatulia soon..!!
 
Ndege ni hatari zaidi, kuanzia JKNI, Kitengela na Adhi river kuna fujo.
Kutokea JKIA mpaka zilipo hotel za maana - upper hill, Westland na ofisi za wenyewe Gilgil (UN and the likes) Ulinzi umeimarishwa. Hakuna nyapu anakatiza
 
Back
Top Bottom