Usagaji ni hatari zaidi ya michepuko

Usagaji ni hatari zaidi ya michepuko

Mi huwa nashindwa kuelewa navyojua raha ya mwanamke ni kumpata mwanaume sasa huyu mwanamke anayejifanya Mwanaume anamfanyia nini mwenzake ? Aisee kweli haya ni mabadiliko ya tabia nchi

mkuu,kwa stori za wadau,uyo msichana hua ndo anaewasaga,naskia ana skills za kutosha,pata picha wanawake mbalimbali wanavyomgombania mkuu,yaani hua wanapigana kwa ajili yake,kwa ilo eneo wapo wengi mkuu,kuna mtoto mmoja wa chuo nae ni maarufu kwa iyo kaz,ni hatari sana
 
Mi huwa nashindwa kuelewa navyojua raha ya mwanamke ni kumpata mwanaume sasa huyu mwanamke anayejifanya Mwanaume anamfanyia nini mwenzake ? Aisee kweli haya ni mabadiliko ya tabia nchi
eti ya tabia nchi, sio ya tabia mwili kweli?
 
Nimewahi kushuhudia hiyo kesi ofisi ya s/mtaa ni balaa. Mke alimkimbia mume wake wa ndoa na mtoto akaenda kwa msagaji, ambaye ni katoto around 19 au 20yrs. Halafu huyo mama ana 28yrs. Mumewe akajua alipo bana we alienda akataka kukageuza kale kasagaji akapige 0712. Watu wakaingilia kati yule mama kuulizwa anasema mume haniridhishi kama huyu dada hahaha.

NI BORA MKEO ATEMBEE NA NJEMBA SIO MSAGAJI UTAMSAHAU.
 
Mi huwa nashindwa kuelewa navyojua raha ya mwanamke ni kumpata mwanaume sasa huyu mwanamke anayejifanya Mwanaume anamfanyia nini mwenzake ? Aisee kweli haya ni mabadiliko ya tabia nchi
Do you really want to know mkuu?
 
Yes we do.
Just picture yourself with a bar of soap doing m***tion, you know where to touch to get the stem, a woman knows exactly where her orgasms are and when she touches her partner, mkuu, it's hard to describe it.
 
Just picture yourself with a bar of soap doing m***tion, you know where to touch to get the stem, a woman knows exactly where her orgasms are and when she touches her partner, mkuu, it's hard to describe it.

So, it's just like an intense foreplay until the woman is satisfied?
 
So, it's just like an intense foreplay until the woman is satisfied?
mkuu it's more than that, have ever made a fire out of two sticks? That is how close I can get in my description.
 
Usagaji umekua fashion siku hizi. Tena watu hata hawaogopi kusema hadharana wanasagana. Kuna dada mmoja anasagana. Mwanzoni alikua akisema anasagana nilikua nabisha sababu huwa siamini haraka vitu ambavyo huwa nahisi sio vya ukweli. Kuna siku alituma chat kwenye group mwanamke mwenzie anamlilia kabisa. Anasema hakuna mwanaume anamridhisha kama akiwa na huyo dada. Anaomba warudiane. Na akasema akijua kama ana mwanamke mwingine atakachomfanya huyo mwanamke dunia itajua. Kuanzia pale nikaamini watu ni kweli wanasagana. Ni kama kastyle flani pia ka watu kuonekana wajanja hivi.
 
Usagaji umekua fashion siku hizi. Tena watu hata hawaogopi kusema hadharana wanasagana. Kuna dada mmoja anasagana. Mwanzoni alikua akisema anasagana nilikua nabisha sababu huwa siamini haraka vitu ambavyo huwa nahisi sio vya ukweli. Kuna siku alituma chat kwenye group mwanamke mwenzie anamlilia kabisa. Anasema hakuna mwanaume anamridhisha kama akiwa na huyo dada. Anaomba warudiane. Na akasema akijua kama ana mwanamke mwingine atakachomfanya huyo mwanamke dunia itajua. Kuanzia pale nikaamini watu ni kweli wanasagana. Ni kama kastyle flani pia ka watu kuonekana wajanja hivi.
Dunia imevaa pichu kichwani mkuu.
 
Nimewahi kushuhudia hiyo kesi ofisi ya s/mtaa ni balaa. Mke alimkimbia mume wake wa ndoa na mtoto akaenda kwa msagaji, ambaye ni katoto around 19 au 20yrs. Halafu huyo mama ana 28yrs. Mumewe akajua alipo bana we alienda akataka kukageuza kale kasagaji akapige 0712. Watu wakaingilia kati yule mama kuulizwa anasema mume haniridhishi kama huyu dada hahaha.

NI BORA MKEO ATEMBEE NA NJEMBA SIO MSAGAJI UTAMSAHAU.
Duh!noma sana
 
Back
Top Bottom