Usagaji ni hatari zaidi ya michepuko

Usagaji ni hatari zaidi ya michepuko

As long as we men, don't satisfy our women sexually they will find it somewhere else. Tunapenda sana kujisifia kuwa 'nilimnanii mpaka akashindwa kutembea'. Huo ni ubakaji! Learn the art of love making sio jinsi ya kupiga push-ups. Kwani partner wako ni gym? She's a person, with feelings and needs. Tuendelee tu na hizi push-ups zetu ila wakikutana wakaonja vile ambavyo hawajawahi kuonjeshwa basi tena. Explore your partner's body, ukaufahamu and know exactly what makes her tick! We endelea na push-ups tu
Word mkuu.
 
As long as we men, don't satisfy our women sexually they will find it somewhere else. Tunapenda sana kujisifia kuwa 'nilimnanii mpaka akashindwa kutembea'. Huo ni ubakaji! Learn the art of love making sio jinsi ya kupiga push-ups. Kwani partner wako ni gym? She's a person, with feelings and needs. Tuendelee tu na hizi push-ups zetu ila wakikutana wakaonja vile ambavyo hawajawahi kuonjeshwa basi tena. Explore your partner's body, ukaufahamu and know exactly what makes her tick! We endelea na push-ups tu
Very Well said,
 
Umenifungua macho mkuu kunasiku ilishawahi kunitokea club rickbottom mwanza sina hili wala lile niliingia club mapema kulikuwa hakuna watu wengi,nikatafuta pozi nikawa nimekaa mahala ila dizain watu kila walivoingia wakawa wanagwaya kuja kwenye meza yangu mida ya saa saba hivi wakaja wadada wawili mmoja akanichangamkia sana mwenzie hata hakunisalimu akajifanya kauzu alafu ndo alikuwa kama sponsor wa mwenzie!!wakaomba kukaa pale nikawaruhusu kama kawa nikajua meza yangu ishapata mlinzi hata kwenda dancing flow,washroom na smoking zone sikuwa nahofu,sasa muda ukafika yule dada alinisalimia kwa bashasha akawa anataka tupige mastory,kujuana na pia kucheza mziki pamoja nakumbuka tulifanya hivyo,so hata ngoma nilizokuwa naenda kucheza zilikuwa zile ambazo mojority huwa hawazifagilii kivile like hiphop na regge dada nae akawa amedata na vibe ghafla kunamuda tuna dance alikuja mwenzie alimvuta kama ugomvi akamchukua hadi walipo keti nikapigwa na butwaa kuuwa so nikaendeleazangu kudance sijui walichoongea!!nikarudi mezani nikauliza tatizo nilijibiwa jibu moja tu haya kuhusu nakale kadada kakorofi muda wote kakawa kananikata jicho baya!!but ikafika time wakasepa mimi nikaendelea na buzuki mpaka daybreak niakarudi maskani
 
Umenifungua macho mkuu kunasiku ilishawahi kunitokea club rickbottom mwanza sina hili wala lile niliingia club mapema kulikuwa hakuna watu wengi,nikatafuta pozi nikawa nimekaa mahala ila dizain watu kila walivoingia wakawa wanagwaya kuja kwenye meza yangu mida ya saa saba hivi wakaja wadada wawili mmoja akanichangamkia sana mwenzie hata hakunisalimu akajifanya kauzu alafu ndo alikuwa kama sponsor wa mwenzie!!wakaomba kukaa pale nikawaruhusu kama kawa nikajua meza yangu ishapata mlinzi hata kwenda dancing flow,washroom na smoking zone sikuwa nahofu,sasa muda ukafika yule dada alinisalimia kwa bashasha akawa anataka tupige mastory,kujuana na pia kucheza mziki pamoja nakumbuka tulifanya hivyo,so hata ngoma nilizokuwa naenda kucheza zilikuwa zile ambazo mojority huwa hawazifagilii kivile like hiphop na regge dada nae akawa amedata na vibe ghafla kunamuda tuna dance alikuja mwenzie alimvuta kama ugomvi akamchukua hadi walipo keti nikapigwa na butwaa kuuwa so nikaendeleazangu kudance sijui walichoongea!!nikarudi mezani nikauliza tatizo nilijibiwa jibu moja tu haya kuhusu nakale kadada kakorofi muda wote kakawa kananikata jicho baya!!but ikafika time wakasepa mimi nikaendelea na buzuki mpaka daybreak niakarudi maskani

alikuja mchukua mme wake mkuu,alijua unaweza ondoka nae,wana wivu sana
 
Kwakweli hii ni tabia mwili.wanawake wamekuaje?
wako vile vile hakuna mabadiliko hata, ila kwa vile umeona kuna mabadiliko sio mbaya ni tafiti za mwaka huu pia,

kkiikkikkikikikikkkkk
 
As long as we men, don't satisfy our women sexually they will find it somewhere else. Tunapenda sana kujisifia kuwa 'nilimnanii mpaka akashindwa kutembea'. Huo ni ubakaji! Learn the art of love making sio jinsi ya kupiga push-ups. Kwani partner wako ni gym? She's a person, with feelings and needs. Tuendelee tu na hizi push-ups zetu ila wakikutana wakaonja vile ambavyo hawajawahi kuonjeshwa basi tena. Explore your partner's body, ukaufahamu and know exactly what makes her tick! We endelea na push-ups tu
Inatakiwa usugue kuta za uke vizur nice and slow muandae vizur mwanake sio kumgegeda kama una ugomvi nae
 
Ukitaka kujua usagaji umekufuru ingia FB andika Msagaji afu Such utaona jinsi wadada wanavyochangia tamu tamu...wapo wengi sana. Akiongozwa na Irine Mushi, Aisha Msagaji
 
kwa niliyoyashuhudia weekend hii,nilisikitika sana

weekend niliingia Club moja,upande wetu kulikua na wadada wawili,mmoja anacheza (Msagaji),mwingine amekaa anakunywa REDS(msagwaji)

Kulikua na pedeshee mmoja pembeni mara akaungana na mdada akicheza nae,

Yule mdada aliekua kakaa alikuja akaisukuma ile njemba kwa jazba kali,mdada alizua ugonvi mkubwa mpaka baunsa ikabidi waingilie kati kuwatoa njee,mdada alitoa machozi mbele za watu alidiliki kusema"KWANI HUYO MBABA ATAKUPA SHI NGAPI MINIKULIPE SAIVI,kale kadada kengine kalicheka tu,: mpaka nikashangaa kunanini

Kumbe wale wadada ni maarufu kwa usagaji,ndo wenyeji wakasema hapo kuna mke na mume,mke hua anamlipa pesa uyo msagaji,lodge+vinywaji vyote hua juu yake,baada ya ugonvi kwisha walipanda text na kuondoka,wadau wakasema hapo wanaekekea lodge


wadau walienda mbali zaidi na kudai hako kadada hua kanagombaniwa na wanawake balaaa,kamesha wafanyia michezo iyo wanawake wengi sana,nikundi kubwa sana,

ukikangalia kadada ni kazuri karembo haswaaaa,

nilifikilia sana nikasema"dunia inamambo"

kumbe ndoa nyingi sikuizi hazieleweki wanaume wanajua wanachukuliwa na vidume wenzao kumbe kuna hawa ni hatari zaidi kuliko vidume,


kama kidume hua unamchunguza mkeo/mpenzi inabidi uongeze uchunguzi zaidi na hawa viumbe

ni hatari
Mkuu ulikosea sana hao unawapiga kilaji wote wawili especially huyo kidume af unawaomba mchezo wote..aisee hutakuja jilaumu...hebu nnipe angalau direction tu ya hiyo bar nikumbushie ujana wangu
 
Mkuu ulikosea sana hao unawapiga kilaji wote wawili especially huyo kidume af unawaomba mchezo wote..aisee hutakuja jilaumu...hebu nnipe angalau direction tu ya hiyo bar nikumbushie ujana wangu

Hahaaa, mkuu unataka kupiga three some?
 
Ukitaka kujua usagaji umekufuru ingia FB andika Msagaji afu Such utaona jinsi wadada wanavyochangia tamu tamu...wapo wengi sana. Akiongozwa na Irine Mushi, Aisha Msagaji

kwaiyo nini kifanyike ili kutoa hii kitu?
 
wanaume mmekua wabinafsi mno. akitoka yuko na wanaume wenzie. ni kitu cha kawaida siku hizi kukuta wanaume wanatoka wenyewe na wanawake peke yao. Enzi zetu sisi haikua hivi, lazima week umtafute mtu wako ujue ratiba ya weekend ikoje. kitandani pia wachoyo, hata kile kinachotolewa bure kinahitaji nguvu yako tu, pia unakitoa kibahili. na bado watazidi sana hawa wadada. mtaandika sana huku msipojiongeza na kujishusha.
 
In short hakuna utaalamu sana Ni didlo fingers sucking n.licking hata ukiona mvz za lesbians kwa porn movies utaona grinding etc tatizo Ni kuwa Ni wanawake kwa wanawake...this means wanaijua miili yao vizuri wapi ashikwe wapi akunwe so akimkamata demu wako anajua wapi amkune tofauti na Mimi/wewe mwanaume u have to guess kuwa labda HAPA labda kule. Ndio maana wanasema hakuna anayeweza BJ kama gay guy coz anajua kifaa chake kinatakiwa kifanywaje so the same to hawa viumbe wanajua viungo vyao A-Z so kwa mwanaume huwezi kuwashinda
 
Back
Top Bottom