USAHIHI: Aliyekuwa Msemaji Mkuu wa Serikali amepangiwa Majukumu mengine na siyo kutumbuliwa. Anaweza kuwa na Majukumu makubwa kuliko ya Awali

Kutegemea kupiga fix JF bila shaka utakua ama huijui JF au huna Ubongo
Jibu hoja. Hivi Kwanini CHADEMA hajuwi kujibu hoja na badala yake mnakuwa mnarukaruka tu? Unaulizwa hiki halafu wewe unajibu kile.hivi huko CHADEMA huwa mnafundishwa ujinga?nani mwalimu wenu?
 
Bakuli 😂😂
 
Kwanza sisi hatuna shida na Matinya hatuhuusu, tunacholalamika ni hizi teuzi, tengua hamisha za hovyo na gharama kubwa kwa walipa kodi
 
Kwanza sisi hatuna shida na Matinya hatuhuusu, tunacholalamika ni hizi teuzi, tengua hamisha za hovyo na gharama kubwa kwa walipa kodi
Kaa kwa kutulia maana huna unachoelewa na hata ukieleweshwa huwezi elewa maana bado hajakomaa vizuri dogo.
 
Hivi we kilaza kuna kazi inaitwa NYINGINE?
Hakuna ubishi kuondolewa kule alikokuwa na kupangiwa kazi ambayo haijulikani ni kutumbuliwa until kazi atakayopangiwa itakapojulikana.
 
Hivi we kilaza kuna kazi inaitwa NYINGINE?
Hakuna ubishi kuondolewa kule alikokuwa na kupangiwa kazi ambayo haijulikani ni kutumbuliwa until kazi atakayopangiwa itakapojulikana.
Yeye ni PS hivyo huwa anapost chochote atakachoambiwa na boss wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…