Usahihi kwenye matumizi ya 'hand brake' kwenye magari 'automatic'

Usahihi kwenye matumizi ya 'hand brake' kwenye magari 'automatic'

Katika maelezo yako hapo haujahusisha matumizi ya break ambayo kwangu naona ikiwa umeikanyaga mpangilio wowote wa hizo nyingine utakuwa sahihi
 
Kisa cha mwaka 2013,Handbreak kuna siku imeniokoa sana aiseh, labda ni share hapa itawasaidia na wengine, wakati nimeagiza gari mpaka limefika kuna vitu nilifanyia services ila betri sikubadilisha na sijui ilikuaje nilisahau, sasa katika endesha endesha kuna siku ikaniletea kisanga, asubuhi nawasha gari ikagoma kuwaka kutokana na mkoa niliopo kuna baridi sana na kawadia huwa betri ambazo hazina nguvu kukiwa na baridi huwa inasumbua sana kuwaka, ikawa haina nguvu sasa hiyo asubuhi ndiyo iliniletea shida, basi nika boost ikawaka poa kabisa na kuacha kama dakika 10 ijichji wakati gari inanguluma, sasa nimetoka home nipo njiani betri ikakata moto vio havishuki, no break, yani gari ikakata mawasiliano sio honi sio break wala vioo havishuki na ngoma inatelemka mbaya sijui akili iliweza kuwazaje ya kusema nivute handbrake ebwana ehhh nikavuta handbrake gari ilizunguka na kusimama nashukuru Mungu nyuma yangu kulikua hakuna gari wala pembeni yangu ilikua bonge la ajali mbele itokee maana kulikua na magari mengi mbele yangu, namshukuru Mungu sana kwa kuwa niliweza kuwaza handbrake na hapo hapo nimenunua gari bado nilikua sina uzoefu sana sijui akili ya kuvuta handbrake ilitoka wapi.
 
Kisa cha mwaka 2013,Handbreak kuna siku imeniokoa sana aiseh, labda ni share hapa itawasaidia na wengine, wakati nimeagiza gari mpaka limefika kuna vitu nilifanyia services ila betri sikubadilisha na sijui ilikuaje nilisahau, sasa katika endesha endesha kuna siku ikaniletea kisanga, asubuhi nawasha gari ikagoma kuwaka kutokana na mkoa niliopo kuna baridi sana na kawadia huwa betri ambazo hazina nguvu kukiwa na baridi huwa inasumbua sana kuwaka, ikawa haina nguvu sasa hiyo asubuhi ndiyo iliniletea shida, basi nika boost ikawaka poa kabisa na kuacha kama dakika 10 ijichji wakati gari inanguluma, sasa nimetoka home nipo njiani betri ikakata moto vio havishuki, no break, yani gari ikakata mawasiliano sio honi sio break wala vioo havishuki na ngoma inatelemka mbaya sijui akili iliweza kuwazaje ya kusema nivute handbrake ebwana ehhh nikavuta handbrake gari ilizunguka na kusimama nashukuru Mungu nyuma yangu kulikua hakuna gari wala pembeni yangu ilikua bonge la ajali mbele itokee maana kulikua na magari mengi mbele yangu, namshukuru Mungu sana kwa kuwa niliweza kuwaza handbrake na hapo hapo nimenunua gari bado nilikua sina uzoefu sana sijui akili ya kuvuta handbrake ilitoka wapi.

huu ni uongo ten ule mkuu......
 
kwenye kuondoka inafaa kutoa handbrake mwishoni, ili kuwa safe kama kuna hitilafu ya brake. ila wakati unapaki inafaa uweke kwanza gear to neutral(N), vuta handbrake kisha achia brake taratibu. kama gari itasogea vuta tena handbrake hadi itulie, ndipo unaweka park(P) na kuachia brake.

kwenye gearbox kuna pawl inayogota kati ya gears na kushikilia gari wakati ikiwa kwenye park(P). pawl ni kipini kidogo, ukikiona unaweza usijiamini tena kuacha gari ikiwa kwenye Park tu, hivyo ni vizuri kuachia mzigo handbrake.
 
Kuna namna tofauti za matumiz ya HandBreak kwa madereva tofauti haswa kwenye Automatic Cars, swali langu ipi njia sahihi ya matumizi ya HandBreak kati ya hizi hapa:-
i) Wakati wa kupark-Kuweka Gear katika Parking(P) kisha ukavuta HandBreak au kuvuata HandBreak kisha ndio ushift Gear kwenda Parking (P) , Lipi ni sahihi hapa?
ii)Wakati wa kuondoka, kushusha Handbreak kwanza kisha uhamishe Gear toka (P) kwenda Drive(D) au Reverse(R) ?Au unatakiwa kuhamisha Gear toka Drive(D) au Reverse(R) toka ilipokuwa kwenye Parking(P) kisha ndio ushushe HandBreak ? Lipi ni sahihi?
Kwa ujumla ni kipi kianze kat ya Gear na HandBreak wakat wa kupark na pia kipi kianze kati ya Gear na HandBreak wakati wa kuondoka .?
NB::- Sijahusisha matumizi ya Break hapo sababu inaeleweka ni lazima upress Break kwanza ili hayo yote yaenda kwa usahihi yaani Break ni OBLIGATORY .

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa upande sasa wa matumizi ya handbrake, handbrake kabla ya kupaki ni lazima uanze na gear kurudisha kwe P then uvute handbrake, halikadhalika ukiwa unatoa gari ni lazima utoe handbrake kwanza then gear kwenye R or D, mfano kwa tukio langu baada ya tukio handbrake ilikua lose ikabidi fundi aje kuikaza kwasababu ilitumika wakati gari ipo kwenye mwendo, au hujawahi ona umeingia kwenye gari ukaondoa gari bila kushusha handbreak huoni gari inakua tofauti sana kwanza nzito na hata mlio wake unakua tofauti na pia unakua unaua handbreak pia mkuu
 
Sio lazima uamini waulize wenzako gari za auto betri ikakata moto kama hata break zinashika
gari zote zinasimama km betri ikikata moto km uliitoa kwenye D na kuweka N ndio haitasimaa na lazima upepo uliokuweko kwenye booster uishe
siku nyingine hakikisha gari yoyote ikizima ghafla usiitoe gear hiyo ndio break yako
 
gari zote zinasimama km betri ikikata moto km uliitoa kwenye D na kuweka N ndio haitasimaa na lazima upepo uliokuweko kwenye booster uishe
siku nyingine hakikisha gari yoyote ikizima ghafla usiitoe gear hiyo ndio break yako
Mkuu mimi ishanitokea gari ilikuwa D haikusimama na hata handbrake iligoma nashukuru sana tena sana Mungu mbele palikuwa na shimo ndipo gari ikagotea hapo na uzuri mwingine haikuwa barabara kubwa wala mbele yangu hakukuwa na vyombo vya moto/visivyo vya moto ambavyo vilikuwa vinakuja hata watu hawakuwepo!!
 
gari zote zinasimama km betri ikikata moto km uliitoa kwenye D na kuweka N ndio haitasimaa na lazima upepo uliokuweko kwenye booster uishe
siku nyingine hakikisha gari yoyote ikizima ghafla usiitoe gear hiyo ndio break yako
Mkuu hivi mnakataa na kubisha nini wakati tukio limenitokea mimi gari ipo kwenye D haikusimama mzee nilitumia handbrake tu ndiyo kusimama kwa gari, hebu jaribu halafu lete mrejesho
 
Mkuu mimi ishanitokea gari ilikuwa D haikusimama na hata handbrake iligoma nashukuru sana tena sana Mungu mbele palikuwa na shimo ndipo gari ikagotea hapo na uzuri mwingine haikuwa barabara kubwa wala mbele yangu hakukuwa na vyombo vya moto/visivyo vya moto ambavyo vilikuwa vinakuja hata watu hawakuwepo!!
Mkuu mimi nakuelewa maana the same tukio ndiyo lilotoke yani gari inakata mawasiliano kabisa, hizi ni gar za AUTO ni shida watu wanafananisha na gari za MANUAL, gari za AUTO ni balaaa
 
Kisa cha mwaka 2013,Handbreak kuna siku imeniokoa sana aiseh, labda ni share hapa itawasaidia na wengine, wakati nimeagiza gari mpaka limefika kuna vitu nilifanyia services ila betri sikubadilisha na sijui ilikuaje nilisahau, sasa katika endesha endesha kuna siku ikaniletea kisanga, asubuhi nawasha gari ikagoma kuwaka kutokana na mkoa niliopo kuna baridi sana na kawadia huwa betri ambazo hazina nguvu kukiwa na baridi huwa inasumbua sana kuwaka, ikawa haina nguvu sasa hiyo asubuhi ndiyo iliniletea shida, basi nika boost ikawaka poa kabisa na kuacha kama dakika 10 ijichji wakati gari inanguluma, sasa nimetoka home nipo njiani betri ikakata moto vio havishuki, no break, yani gari ikakata mawasiliano sio honi sio break wala vioo havishuki na ngoma inatelemka mbaya sijui akili iliweza kuwazaje ya kusema nivute handbrake ebwana ehhh nikavuta handbrake gari ilizunguka na kusimama nashukuru Mungu nyuma yangu kulikua hakuna gari wala pembeni yangu ilikua bonge la ajali mbele itokee maana kulikua na magari mengi mbele yangu, namshukuru Mungu sana kwa kuwa niliweza kuwaza handbrake na hapo hapo nimenunua gari bado nilikua sina uzoefu sana sijui akili ya kuvuta handbrake ilitoka wapi.
Ni gari gani unayotumia
huu ni uongo ten ule mkuu......
Kwa nini mkuu hebu muumbue tuone
 
Mkuu mimi nakuelewa maana the same tukio ndiyo lilotoke yani gari inakata mawasiliano kabisa, hizi ni gar za AUTO ni shida watu wanafananisha na gari za MANUAL, gari za AUTO ni balaaa
Yap brake inakuwa ngumu kama jiwe,kwa sababu pump ya hydraulic inakuwa haifanyi kazi wakati huo
 
Siku zote hand break inakuwa ya mwisho. Baada ya kupaki au wakati unataka kuondoka una engage gear then ndo unatoa hand break.
Hand brake huwa ya kwanza halafu ndo una engage gear
Unafanya hivi ili kuhakiki kama chombo kimesimama hakika, gear inatumika kama secondary chock

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yap brake inakuwa ngumu kama jiwe,kwa sababu pump ya hydraulic inakuwa haifanyi kazi wakati huo
Mkuu mimi nakuelewa maana the same tukio ndiyo lilotoke yani gari inakata mawasiliano kabisa, hizi ni gar za AUTO ni shida watu wanafananisha na gari za MANUAL, gari za AUTO ni balaaa
mnajua kuendesha ni tofauti na Mechanical
kuweka gear D (Driving) maana yake umeingiza gia kwenye meno na lazima gari isimame km itazimika kwa kukosa mawasiliano na betri iliyozima, HAKUNA GARI INAYOSOGEA KM GIA IMEINGIZWA NA INJINI IMEZIMWA labda km ni mteremko
INJINI ikizimwa hata breki hupati kwani upepo unaosukuma hydraulic unakosekana hivyo breki hupati
kwa gari ndogo usimamaji wake kutumia hand breki ni tofauti na magari makubwa yanayotumia upepo ndio maana gari ndogo ITASIMAMA TU

Jibu la Mada hii ni kuwa utakaposimama zima gari vuta wire au vuta chuma cha kuzuia gari isiondoke baada ya kuhakikisha lmesimama, vivyo hivyo kuanza kuondoka washagari kabisa to hand breki ingiza gea ONDOKA
 
gari zote zinasimama km betri ikikata moto km uliitoa kwenye D na kuweka N ndio haitasimaa na lazima upepo uliokuweko kwenye booster uishe
siku nyingine hakikisha gari yoyote ikizima ghafla usiitoe gear hiyo ndio break yako
unaongelea gari ya aina gani ?? booster zipi za upepo unasemea? ...mtu asitoe gear kivp afu iwe brake ?. Yan unashauri mtu kama alikuwa no 5 asiweke 4,3,2,1 brake ikifeli abaki na 5??
 
kwa ufahamu wangu mimi,hand brake ndio njia kuu ya usalama,kwa hiyo;unapotaka kupark gari (tumia kwanza brake ya kawaida ya gari,ili lisimame)the HAND BRAKE then rudisha kwenye P(parking),unapotaka kuondoka kwanza weka kwenye D or R Kutegemea nini unataka kufanya,then ondoa HAND BRAKE(INAKUWA YA MWISHO).
 
Back
Top Bottom