Chacho Haulage
JF-Expert Member
- Aug 25, 2017
- 267
- 308
Hahahaha daaaa.. scania ipi sasa R au S maana zote zina 730! Halafu mkuu umemuuliza kwa kujiamini sana kwani wewe umeijulia wapi maana hata wazungu wenyewe bado wanapiga nayo selfieacha
ushamba nimekwambia zungumzia Mada
unaijua Scania 730 hp (acha Scania 124 hp) ndio booster zake ukitaka tuzungumzie achana na hivi vigari vya sokoni vinavyotumia P na D
Sent using Jamii Forums mobile app