Magufuli hata awe amekopa kuliko wote maana aliyofanya yanawazidi watangulizi wake wote,wao walitawala miaka 10,yeye miaka 5 tu.
Hangaya amekopa za nini tena?
Si mnadai anakusanya Kodi kuzidi Jiwe?
Tozo kila Kona zinafanya Nini?
RIP Jabali la Afrika.
Acha kufuru. Unamjua mtu anayeitwa Julius Kambarage Nyerere? 😡Magufuli hata awe amekopa kuliko wote maana aliyofanya yanawazidi watangulizi wake wote,wao walitawala miaka 10,yeye miaka 5 tu.
Hangaya amekopa za nini tena?
Si mnadai anakusanya Kodi kuzidi Jiwe?
Tozo kila Kona zinafanya Nini?
RIP Jabali la Afrika.
Magufuli hata awe amekopa kuliko wote maana aliyofanya yanawazidi watangulizi wake wote,wao walitawala miaka 10,yeye miaka 5 tu.
Hangaya amekopa za nini tena?
Si mnadai anakusanya Kodi kuzidi Jiwe?
Tozo kila Kona zinafanya Nini?
RIP Jabali la Afrika.
awamu hii waliokua wanavaa majezi ya CCM walikua wanajificha sanaHakuna awamu bora na iliyokua nafuu kwa watanzania wengi kama awamu ya 4. Siko kubishana
Hapo ni takwimu ya ukweli na mwenendo wa madeni ulivyo.GAVANA wa BOT kasema tukope tu bado tupo 42% ua UHIMILIVU wa kukopesheka
Japana inaongoza na kwa Afrika ni Angola
usikalie uchumi wako kopa na fanyia kazi
mwendazake alitudanganya Interchange ya Kijazi (Ubungo) ni pesa ya ndani kumbe Mkopo na pesa ni Japan
GAVANA wa BOT kasema tukope tu bado tupo 42% ua UHIMILIVU wa kukopesheka
Japana inaongoza na kwa Afrika ni Angola
usikalie uchumi wako kopa na fanyia kazi
mwendazake alitudanganya Interchange ya Kijazi (Ubungo) ni pesa ya ndani kumbe Mkopo na pesa ni Japan
Ilikuwa nafuu kweli kwa kuiba ESCROW, RICHMOND, DOWANS,Mishahara hewa hata marehemu walipokea Mishahara.Hakuna awamu bora na iliyokua nafuu kwa watanzania wengi kama awamu ya 4. Siko kubishana
Namufahamu huenda Labda simjui Kama unavyomjua wewe,ila ninachojua alifanya kazi kubwa ya kuweka misingi namuna gani taifa lingekuja kuwa,na alifanikiwa Sana.Acha kufuru. Unamjua mtu anayeitwa Julius Kambarage Nyerere? 😡
Uwezo wako wa kujenga hoja ni mdogo Sana,ndo maana unakimbilia matusi.Yapi kafanya kuwazidi wenzake mjinga wewe? Yataje hapa
Jinga wewe! Yatajwe ili iwe nini kwako cheti feki wewe?Yapi kafanya kuwazidi wenzake mjinga wewe? Yataje hapa
Ilikuwa nafuu kweli kwa kuiba ESCROW, RICHMOND, DOWANS,Mishahara hewa hata marehemu walipokea Mishahara.
Nadhani Salender bridge (Tanzanite) ni South Korea, Ubungo, mwendokasi na barabara zoote zilizojengwa mijini na kule Buza/Yombo (WB), Tazara ndiyo Japan.Ubungo interchange ni pesa ya world bank , salender bridge ndio pesa ya japan husichanganye
Umempiga kichwani na kitu kizito chenye ncha kali, sidhani kama atanyanyuka tena…Uwezo wako wa kujenga hoja ni mdogo Sana,ndo maana unakimbilia matusi.
Watu werevu hutumia werevu wao kuelimisha,wenyewe akili ndogo,kichaka Chao ni matusi.
Tafuta saizi yako Mimi ni kitu kingine.
Kwa kila mtanzania.Umesahau na maisha bora