Atabwatuka tu sababu amezoea kijiweni.Umempiga na kitu kizito kichwani, sidhani kama atayanyuka tena…
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atabwatuka tu sababu amezoea kijiweni.Umempiga na kitu kizito kichwani, sidhani kama atayanyuka tena…
Watu wanapotosha sana kuhusu mikopo hasa kwenye awamu ya 5 u sahihi wake ktk source ya uhakika uko hivi.
Magufuli aliacha deni la $24.652M
Alilikuta deni ..... $15.261M
Samia amelikuta deni .. $24.652M
Kwa miezi hii kalifikisha..$28.054
View attachment 2061778
View attachment 2061790
View attachment 2061780
View attachment 2061791
Yapi kafanya kuwazidi wenzake mjinga wewe? Yataje hapa
awamu hii waliokua wanavaa majezi ya CCM walikua wanajificha sana
Kwa keki ya taiga kugawanwa ju kwa ju?Hakuna awamu bora na iliyokua nafuu kwa watanzania wengi kama awamu ya 4. Siko kubishana
Mzee wa Glasgow, Nyerere's ego overshadowed his intelligence. Magufuli's ego was his intelligence.Acha kufuru. Unamjua mtu anayeitwa Julius Kambarage Nyerere? 😡
Mengi aliyofanya pamoja na kuwapoteza watu, kesi za kubambika, Kufubfa biashara za watu, kubomoa hotel na kufuta shamba la mkulima Risasi lukuki mwilini mwa shujaa.! Viroba baharini, kuhamisha easilimali kuimarisha Chato nk, nk , nk!!Uwezo wako wa kujenga hoja ni mdogo Sana,ndo maana unakimbilia matusi.
Watu werevu hutumia werevu wao kuelimisha,wenyewe akili ndogo,kichaka Chao ni matusi.
Tafuta saizi yako Mimi ni kitu kingine.
Wacha kutoa data nusunusu, kama umeamua kufanya ulinganifu tupe data za kuanzia serikali ya awamu ya kwanza mpaka hii ya sasa. Vinginevyo lengo lako liko dhahiri kwamba unataka kusafisha mtu na kuchafua mtu.
Watu wanapotosha sana kuhusu mikopo hasa kwenye awamu ya 5 u sahihi wake ktk source ya uhakika uko hivi.
Magufuli aliacha deni la $24.652M
Alilikuta deni ..... $15.261M
Samia amelikuta deni .. $24.652M
Kwa miezi hii kalifikisha..$28.054
View attachment 2061778
View attachment 2061790
View attachment 2061780
View attachment 2061791
Sasa kwani miradi alimalizika? au mnataka mama asiimalizie aachie alipoiacha magu? Mama kopa tulianza kukopa tanguenzi za mwalimu, tumeguswa kidogo kwenye tozo tunalia bila mikopo simtapiga mayowe! Wabongo bado sana kujitegemea tuache unafiki.Magufuli hata awe amekopa kuliko wote maana aliyofanya yanawazidi watangulizi wake wote,wao walitawala miaka 10,yeye miaka 5 tu.
Hangaya amekopa za nini tena?
Si mnadai anakusanya Kodi kuzidi Jiwe?
Tozo kila Kona zinafanya Nini?
RIP Jabali la Afrika.
Sasa kwani miradi alimalizika? au mnataka mama asiimalizie aachie alipoiacha magu? Mama kopa tulianza kukopa tanguenzi za mwalimu, tumeguswa kidogo kwenye tozo tunalia bila mikopo simtapiga mayowe! Wabongo bado sana kujitegemea tuache unafiki.
Alisema tutamkumbuka.Hakuna awamu bora na iliyokua nafuu kwa watanzania wengi kama awamu ya 4. Siko kubishana
Kusepa na mother aak au sio?Yapi kafanya kuwazidi wenzake mjinga wewe? Yataje hapa
Wewe ndo unapotosha..mbona haujaweka internal debt umechukua data za external debt pekeeWatu wanapotosha sana kuhusu mikopo hasa kwenye awamu ya 5 u sahihi wake ktk source ya uhakika uko hivi.
Magufuli aliacha deni la $24.652M
Alilikuta deni ..... $15.261M
Samia amelikuta deni .. $24.652M
Kwa miezi hii kalifikisha..$28.054
View attachment 2061778
View attachment 2061790
View attachment 2061780
View attachment 2061791
Wanakaa vikao na kufanya home work ya masaa mengi kumchafua uncle Magu, Wanasahau hata kutengeneza sera zao! Sera waliyonayo ni kumchafua Magu, alafu wanafikiri watawavutia watu kwa huo ujingaWatu wanapotosha sana kuhusu mikopo hasa kwenye awamu ya 5 u sahihi wake ktk source ya uhakika uko hivi.
Magufuli aliacha deni la $24.652M
Alilikuta deni ..... $15.261M
Samia amelikuta deni .. $24.652M
Kwa miezi hii kalifikisha..$28.054
View attachment 2061778
View attachment 2061790
View attachment 2061780
View attachment 2061791
Wewe ndo unapotosha..mbona haujaweka internal debt umechukua data za external debt pekee
Yapi kafanya kuwazidi wenzake mjinga wewe? Yataje hapa
Kwa kukusaidia tu outlookWewe ndo unapotosha..mbona haujaweka internal debt umechukua data za external debt pekee
Jabali la Africa amehiacha nchi ktk matatizo makubwa ya kiuchumi, amekopakopa ovyo na amekwangua na pesa zote za ndani na hakuna hata mladi mmoja alioumaliza. Jiwe limetuachia majanga makubwa sana. Acha mungu aitwe munguMagufuli hata awe amekopa kuliko wote maana aliyofanya yanawazidi watangulizi wake wote,wao walitawala miaka 10,yeye miaka 5 tu.
Hangaya amekopa za nini tena?
Si mnadai anakusanya Kodi kuzidi Jiwe?
Tozo kila Kona zinafanya Nini?
RIP Jabali la Afrika.
Mjinga ni wew mwenye cheti fekiYapi kafanya kuwazidi wenzake mjinga wewe? Yataje hapa