Usahihi wa Takwimu za Mikopo Awamu ya 4, 5 na 6

Usahihi wa Takwimu za Mikopo Awamu ya 4, 5 na 6

Wacha kutoa data nusunusu, kama umeamua kufanya ulinganifu tupe data za kuanzia serikali ya awamu ya kwanza mpaka hii ya sasa. Vinginevyo lengo lako liko dhahiri kwamba unataka kusafisha mtu na kuchafua mtu.
Watu wanapotosha sana kuhusu mikopo hasa kwenye awamu ya 5 u sahihi wake ktk source ya uhakika uko hivi.

Magufuli aliacha deni la $24.652M
Alilikuta deni ..... $15.261M

Samia amelikuta deni .. $24.652M
Kwa miezi hii kalifikisha..$28.054
View attachment 2061778
View attachment 2061790

View attachment 2061780

View attachment 2061791
 
Uwezo wako wa kujenga hoja ni mdogo Sana,ndo maana unakimbilia matusi.
Watu werevu hutumia werevu wao kuelimisha,wenyewe akili ndogo,kichaka Chao ni matusi.

Tafuta saizi yako Mimi ni kitu kingine.
Mengi aliyofanya pamoja na kuwapoteza watu, kesi za kubambika, Kufubfa biashara za watu, kubomoa hotel na kufuta shamba la mkulima Risasi lukuki mwilini mwa shujaa.! Viroba baharini, kuhamisha easilimali kuimarisha Chato nk, nk , nk!!
 
Wacha kutoa data nusunusu, kama umeamua kufanya ulinganifu tupe data za kuanzia serikali ya awamu ya kwanza mpaka hii ya sasa. Vinginevyo lengo lako liko dhahiri kwamba unataka kusafisha mtu na kuchafua mtu.

Nimekupa link ya data zote hapo chini ukitaka kufuata nusunusu wapi?
Awamu ya nne ilitoa deni kutoka $4M mpaka $15.6M
 
Magufuli hata awe amekopa kuliko wote maana aliyofanya yanawazidi watangulizi wake wote,wao walitawala miaka 10,yeye miaka 5 tu.

Hangaya amekopa za nini tena?
Si mnadai anakusanya Kodi kuzidi Jiwe?
Tozo kila Kona zinafanya Nini?
RIP Jabali la Afrika.
Sasa kwani miradi alimalizika? au mnataka mama asiimalizie aachie alipoiacha magu? Mama kopa tulianza kukopa tanguenzi za mwalimu, tumeguswa kidogo kwenye tozo tunalia bila mikopo simtapiga mayowe! Wabongo bado sana kujitegemea tuache unafiki.
 
Sasa kwani miradi alimalizika? au mnataka mama asiimalizie aachie alipoiacha magu? Mama kopa tulianza kukopa tanguenzi za mwalimu, tumeguswa kidogo kwenye tozo tunalia bila mikopo simtapiga mayowe! Wabongo bado sana kujitegemea tuache unafiki.

Tunaongelea jinsi mkopo wa nchi ulivyo na msimamo wake mpaka sasa.
 
Watu wanapotosha sana kuhusu mikopo hasa kwenye awamu ya 5 u sahihi wake ktk source ya uhakika uko hivi.

Magufuli aliacha deni la $24.652M
Alilikuta deni ..... $15.261M

Samia amelikuta deni .. $24.652M
Kwa miezi hii kalifikisha..$28.054
View attachment 2061778
View attachment 2061790

View attachment 2061780

View attachment 2061791
Wewe ndo unapotosha..mbona haujaweka internal debt umechukua data za external debt pekee
 
Watu wanapotosha sana kuhusu mikopo hasa kwenye awamu ya 5 u sahihi wake ktk source ya uhakika uko hivi.

Magufuli aliacha deni la $24.652M
Alilikuta deni ..... $15.261M

Samia amelikuta deni .. $24.652M
Kwa miezi hii kalifikisha..$28.054
View attachment 2061778
View attachment 2061790

View attachment 2061780

View attachment 2061791
Wanakaa vikao na kufanya home work ya masaa mengi kumchafua uncle Magu, Wanasahau hata kutengeneza sera zao! Sera waliyonayo ni kumchafua Magu, alafu wanafikiri watawavutia watu kwa huo ujinga
 
Wewe ndo unapotosha..mbona haujaweka internal debt umechukua data za external debt pekee

Internal debt nimekuwekea kwenye link nawe fanya kuchakatua tu kwenye link humo, nimekuwekea hadi link nini unashindwa kuchota tu mkuu?
 
Wewe ndo unapotosha..mbona haujaweka internal debt umechukua data za external debt pekee
Kwa kukusaidia tu outlook

1640797807512.png
 
Magufuli hata awe amekopa kuliko wote maana aliyofanya yanawazidi watangulizi wake wote,wao walitawala miaka 10,yeye miaka 5 tu.

Hangaya amekopa za nini tena?
Si mnadai anakusanya Kodi kuzidi Jiwe?
Tozo kila Kona zinafanya Nini?
RIP Jabali la Afrika.
Jabali la Africa amehiacha nchi ktk matatizo makubwa ya kiuchumi, amekopakopa ovyo na amekwangua na pesa zote za ndani na hakuna hata mladi mmoja alioumaliza. Jiwe limetuachia majanga makubwa sana. Acha mungu aitwe mungu
 
Back
Top Bottom