Usahihi wa Takwimu za Mikopo Awamu ya 4, 5 na 6

Usahihi wa Takwimu za Mikopo Awamu ya 4, 5 na 6

Magufuli hata awe amekopa kuliko wote maana aliyofanya yanawazidi watangulizi wake wote,wao walitawala miaka 10,yeye miaka 5 tu.

Hangaya amekopa za nini tena?
Si mnadai anakusanya Kodi kuzidi Jiwe?
Tozo kila Kona zinafanya Nini?
RIP Jabali la Afrika

Ni lazima afanye zaidi maana kakopa zaidi, angekuwa mwehu Kama angekopa Sana halafu akafanya kidogo. Halafu pia uje na data za kuonesha Magufuri alifanya makubwa kuliko wengine. Njoo na data sio kukurupuka kwa mihemko.
 
Hakuna awamu bora na iliyokua nafuu kwa watanzania wengi kama awamu ya 4. Siko kubishana
Ilikuta hazina kuna pesa kiasi gani za ndani?
Ilipoondoka iliacha hazina kuna pesa kiasi gani za ndani?
Ilikuta deni la taifa ni kiasi gani?
Ilipoondoka deni lilikuwa kiasi gani?
Pesa ilizokopa ilifanyia nini?
 
Namufahamu huenda Labda simjui Kama unavyomjua wewe,ila ninachojua alifanya kazi kubwa ya kuweka misingi namuna gani taifa lingekuja kuwa,na alifanikiwa Sana.
Kwa habari za miundo mbinu Kama una data mwaga tu.
Hapa ndipo mnapokosea kumlinganisha Mwl Nyerere na Magufuri. Magufuri amekuta wenzake wameshaweka misingi ila Nyerere ndio alijenga misingi ndio maana leo kuna amani na Wala hakuna ukabila.
 
Mzee wa Glasgow, Nyerere's ego overshadowed his intelligence. Magufuli's ego was his intelligence.
Magufuri had no intelligence but was full of himself. He wanted to be praised and worshiped. Making everybody an hypocrite. Nyerere had intelligence and wisdom. Merging two states was not a joke and dissolving tribalism.
 
Namufahamu huenda Labda simjui Kama unavyomjua wewe,ila ninachojua alifanya kazi kubwa ya kuweka misingi namuna gani taifa lingekuja kuwa,na alifanikiwa Sana.
Kwa habari za miundo mbinu Kama una data mwaga tu.
Unajisahaulisha wakati Nyerere kajenga vyuo kibao nchini na hakuna kelele, Magu kajenga hostel za bilion 5 tu expansion joints ikawa kelele dunia mzima! Sasa angejenga ile UDOM sijui hali ingekuwaje manake si ajabu mngetuambia "chukua vyuo vyote vilijengwa tangu kupata uhuru lakini "thamani" ya hivyo vyote haifikii thamani ya UDOM!! In short, mna-overate sana yaliyofanywa na Magu to the point kama anakuja mgeni asiyeijua TZ hata kidogo halafu awasikie wafuasi wa Magu, basi anaweza kudhani yote yanayoonekana nchi hii yamefanywa na Magu!!!
 
👎👎👎👎
Ila pia zilikuwa enzi za kuwekwa kizuizini, namukumbuka yule alikuwa rais wa Zanzibar nilisikia mpaka anakufa alikuwa kizuizini Kigamboni.
Umeshasema nilisikia, maana yake huna uthibitisho.
 
Magufuli hata awe amekopa kuliko wote maana aliyofanya yanawazidi watangulizi wake wote,wao walitawala miaka 10,yeye miaka 5 tu.

Hangaya amekopa za nini tena?
Si mnadai anakusanya Kodi kuzidi Jiwe?
Tozo kila Kona zinafanya Nini?
RIP Jabali la Afrika.
Pesa alizokopa kwa kipindi kifupi hivyo ni hatari na bado anatangaza kukopa zaidi
Tozo za miamala na luku ati zijenge mashule na vituo vya afya na kapata mikopo ya kigezo cha corona pia huko Mtwara vijijini wanasomea chini ya miti,,, Brother JPM aliwajua masikini asingeweka tozo za miamala na luku
Hivi Samia anatafuta nini??? kuondoa mawziri wachapa kazi na kuleta wachoraji wa michongo na upigaji kama January,,,,itabidi tubadilishe katiba ya CCM kumuondoa huyu,,, Tanesco kama kampuni tayari January kaleta uwekezaji wa mamilioni ya shilingi na Mtz hawezi kuiba bila Patel kuwa dereva wao,,, kumbukeni wizi wote mkubwa uliowahi kutokea TZ Patel hakukosekana kwa mifano tuuu ununuzi wa ndege ya raisi,ununuzi wa rada, escrow na uwekezaji wote uliopitia Tanesco ulihusisha Patel na ubinafsishaji wa TCR kiupigaji ni mengi lkn kwa vipindi tofauti
 
[emoji445]Yabiso Candidat Mobutu sese, yabiso candidat Mobutu sese, Mobutu bandoki basilitee![emoji445]
 
Magufuli hakutaka kuumiza wananchi kwa tozo. Samia kaongeza tozo na Kodi anakopa hela za Nini Tena?
Ndugai ana point.
Acha kuongea kama huna kichwa bwana!!tozo za bundle za simu sheria ilitungwa na nani?!!chanzo cha mafuta ya kula hadi leo yako juu, ni tozo za ajabu alizoweka, hivyo hivyo kwenye sukari, makosa ya barabarani nayo kuwa ni chanzo cha mapato, tozo lukuki zilizo kuwa kwenye mafuta, ya petrol na diesel ambazo licha ya kuambiwa zimefutwa lakini hakuna unafuu!!!
Zile nazo zilikuwa ni akili au, unakopa halafu unajisifu eti miradi yote ni pesa za ndani!!!trilioni 22 ndani ya miaka 5!!!?MUNGU FUNDI
 
Magufuri had no intelligence but was full of himself. He wanted to be praised and worshiped. Making everybody an hypocrite. Nyerere had intelligence and wisdom. Merging two states was not a joke and dissolving tribalism.
Magufuli wanted to be worshipped and he did things at the same time. Nyerere wanted to be worshipped and did nothing.
I don't understand why we didn't occupy mines in Uganda after defeating Amin or at least get a deal on their oil, we only ended up polishing Nyerere's ego with no significant advantage.
 
Magufuli hata awe amekopa kuliko wote maana aliyofanya yanawazidi watangulizi wake wote,wao walitawala miaka 10,yeye miaka 5 tu.

Hangaya amekopa za nini tena?
Si mnadai anakusanya Kodi kuzidi Jiwe?
Tozo kila Kona zinafanya Nini?
RIP Jabali la Afrika.
Kafanya lipi jiwe? Kukopa Kununua mindege ambayo kwa sasa inatutia hasara??
 
Mengi aliyofanya pamoja na kuwapoteza watu, kesi za kubambika, Kufubfa biashara za watu, kubomoa hotel na kufuta shamba la mkulima Risasi lukuki mwilini mwa shujaa.! Viroba baharini, kuhamisha easilimali kuimarisha Chato nk, nk , nk!!
Jamaa alikuwa mubaya sana

Hawa wanaomtetea humu ndio waliokiwa wanabambika kesi watu. Kipindi chake watu waliuliwa eti kwa kumtukana jiwe. Sasa huyu mbona hatukanwi?

Mungu ni mwema sana angeendelea kuwepo tungekuwa na hali mbaya sana.

Sabaya na Makonda wangemaliza watu.
 
Ubungo interchange ni pesa ya world bank , salender bridge ndio pesa ya japan husichanganye
GAVANA wa BOT kasema tukope tu bado tupo 42% ua UHIMILIVU wa kukopesheka
Japana inaongoza na kwa Afrika ni Angola
usikalie uchumi wako kopa na fanyia kazi
mwendazake alitudanganya Interchange ya Kijazi (Ubungo) ni pesa ya ndani kumbe Mkopo na pesa ni Japan

Kila nikifika Dar naitafuta sana Kijazi (Ubungo) Interchange sijawahi kuiona. Hivi ipo kwa wapi??
 
Magufuli hata awe amekopa kuliko wote maana aliyofanya yanawazidi watangulizi wake wote,wao walitawala miaka 10,yeye miaka 5 tu.

Hangaya amekopa za nini tena?
Si mnadai anakusanya Kodi kuzidi Jiwe?
Tozo kila Kona zinafanya Nini?
RIP Jabali la Afrika.
Sukumagang utawajua tu. Wapo nyuma ya Jabali lao kuendeleza uongo!
Nakumbuka Jabali alijisifu kutumia fedha za ndani kutekeleza miradi mikubwa baada ya kukataa mikopo ya kibeberu.
 
Back
Top Bottom