Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Jiwe aliwazidi wenzake kuua watuAcha kufuru. Unamjua mtu anayeitwa Julius Kambarage Nyerere? 😡
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jiwe aliwazidi wenzake kuua watuAcha kufuru. Unamjua mtu anayeitwa Julius Kambarage Nyerere? 😡
Mungu wako fundi kakusaidia nini sasa?Acha kuongea kama huna kichwa bwana!!tozo za bundle za simu sheria ilitungwa na nani?!!chanzo cha mafuta ya kula hadi leo yako juu, ni tozo za ajabu alizoweka, hivyo hivyo kwenye sukari, makosa ya barabarani nayo kuwa ni chanzo cha mapato, tozo lukuki zilizo kuwa kwenye mafuta, ya petrol na diesel ambazo licha ya kuambiwa zimefutwa lakini hakuna unafuu!!!
Zile nazo zilikuwa ni akili au, unakopa halafu unajisifu eti miradi yote ni pesa za ndani!!!trilioni 22 ndani ya miaka 5!!!?MUNGU FUNDI
Alikufanyia ubaya gani?Jamaa alikuwa mubaya sana
Hawa wanaomtetea humu ndio waliokiwa wanabambika kesi watu. Kipindi chake watu waliuliwa eti kwa kumtukana jiwe. Sasa huyu mbona hatukanwi?
Mungu ni mwema sana angeendelea kuwepo tungekuwa na hali mbaya sana.
Sabaya na Makonda wangemaliza watu.
Hangaya kavaa viatu sio size yake by Suprise. Hana maono yoyote na hii nchi.Magufuli hata awe amekopa kuliko wote maana aliyofanya yanawazidi watangulizi wake wote,wao walitawala miaka 10,yeye miaka 5 tu.
Hangaya amekopa za nini tena?
Si mnadai anakusanya Kodi kuzidi Jiwe?
Tozo kila Kona zinafanya Nini?
RIP Jabali la Afrika.
Na deni kipindi cha JPM kukua si kwa kukopa, hakutaka ujinga wa kulipa madeni wakati yuko na mambo mingi za kufanya kwa wananchi.Magufuli hata awe amekopa kuliko wote maana aliyofanya yanawazidi watangulizi wake wote,wao walitawala miaka 10,yeye miaka 5 tu.
Hangaya amekopa za nini tena?
Si mnadai anakusanya Kodi kuzidi Jiwe?
Tozo kila Kona zinafanya Nini?
RIP Jabali la Afrika.
Kuvaa sare ya ccm ni dhambi?Kwani huna nguo za kuvaa hadi uvae sare za ccm
Kuwadhibiti nyie wapumliwa visogoni kwa mfano..Yapi kafanya kuwazidi wenzake mjinga wewe? Yataje hapa
Alijenga hospital ngapi na JPM akapiga ngapi? tunampenda na tunamheshimu Baba yetu, takwimu hazidanganyi, ndani ya kipindi chake JPM kajenga hospitals, zahanati na vituo vya afya zaidi ya nusu ya vilivyokuepo kabla hajaingia madarakani.Acha kufuru. Unamjua mtu anayeitwa Julius Kambarage Nyerere? [emoji35]
Niza doyi na Lord denning embu mbishane kwa hoja nimekapenda ka mdahalo kenuUwezo wako wa kujenga hoja ni mdogo Sana,ndo maana unakimbilia matusi.
Watu werevu hutumia werevu wao kuelimisha,wenyewe akili ndogo,kichaka Chao ni matusi.
Tafuta saizi yako Mimi ni kitu kingine.
Mkuu kwahiyo mama Samia aachane na miradi kama SGR, na Madaraja? Magufuli aliwahi kupandisha mishahara au hata kupandisha madaraja watumishi? Alitoa ajira mpya kwa wananchi wake? Vp kuhusu kodi kwa wafanyakazi? Wawekezaji walitoa fursa za ajira kwa wananchi?? Mikopo ilifanya kazi gani ikiwa tuliambiwa tunajenga kwa fedha za ndani? Kwa mtizamo wako wewe maisha ya sasa hivi na yale ya 2020 yapi yana unafuu au hali himilivu?? Vp kuhusu kuhusu kudaiwa kodi kwa nguvu ulipenda ile staili??Magufuli hata awe amekopa kuliko wote maana aliyofanya yanawazidi watangulizi wake wote,wao walitawala miaka 10,yeye miaka 5 tu.
Hangaya amekopa za nini tena?
Si mnadai anakusanya Kodi kuzidi Jiwe?
Tozo kila Kona zinafanya Nini?
RIP Jabali la Afrika.
Umeniwahi nilitaka kuweka uzi huu. Watu wamekua wanafanya upuuzi awamu hii alafu kujifanya wanalinganisha na awamu ya tano. Kitu kimoja niko na uhakika nacho mama kwenye kusimamia bado hayuko vizuri na ndio wenzake wanapozichota, atakopa sana na tutaibiwa kweli kweli. RIP babaWatu wanapotosha sana kuhusu mikopo hasa kwenye awamu ya 5 u sahihi wake ktk source ya uhakika uko hivi.
Magufuli aliacha deni la $24,652M
Alilikuta deni ..... $15,261M
Samia amelikuta deni .. $24,652M
Kwa miezi hii kalifikisha..$28,054
View attachment 2061778
View attachment 2061790
View attachment 2061780
View attachment 2061791
Wew ni pumbafu kweli una enjoy matokeo ya kazi zake halafu unauliza ujinga hapaYapi kafanya kuwazidi wenzake mjinga wewe? Yataje hapa
Alichokikopa JPM ndicho watanzania iwanakitaka kwa sababu alifanyia kazi mkopo huo kwa kuusimamia kwa nidhamu na matokeo yanaonekana kwenye jicho la Mtanzania awe mtoto, mtu mzima na mzee sio ukopaji wa sasa , misaada na tozo lukuki zisizooonekana popote.Watu wanapotosha sana kuhusu mikopo hasa kwenye awamu ya 5 u sahihi wake ktk source ya uhakika uko hivi.
Magufuli aliacha deni la $24,652M
Alilikuta deni ..... $15,261M
Samia amelikuta deni .. $24,652M
Kwa miezi hii kalifikisha..$28,054
View attachment 2061778
View attachment 2061790
View attachment 2061780
View attachment 2061791
Salend bridge ni Mkorea,Mfugale Flyovers ni Mjapan,Ubungo interchange ni World BankUbungo interchange ni pesa ya world bank , salender bridge ndio pesa ya japan husichanganye
Interchange ni world bank na wala hakuwahi kusema hivo.GAVANA wa BOT kasema tukope tu bado tupo 42% ua UHIMILIVU wa kukopesheka
Japana inaongoza na kwa Afrika ni Angola
usikalie uchumi wako kopa na fanyia kazi
mwendazake alitudanganya Interchange ya Kijazi (Ubungo) ni pesa ya ndani kumbe Mkopo na pesa ni Japan
[emoji23][emoji23][emoji23]Jinga wewe! Yatajwe ili iwe nini kwako cheti feki wewe?
Matajiri hawependi kulipa Kodi halisi, unafikiri wanapenda hata kutumia EFD machine?Mkuu kwahiyo mama Samia aachane na miradi kama SGR, na Madaraja? Magufuli aliwahi kupandisha mishahara au hata kupandisha madaraja watumishi? Alitoa ajira mpya kwa wananchi wake? Vp kuhusu kodi kwa wafanyakazi? Wawekezaji walitoa fursa za ajira kwa wananchi?? Mikopo ilifanya kazi gani ikiwa tuliambiwa tunajenga kwa fedha za ndani? Kwa mtizamo wako wewe maisha ya sasa hivi na yale ya 2020 yapi yana unafuu au hali himilivu?? Vp kuhusu kuhusu kudaiwa kodi kwa nguvu ulipenda ile staili??
Kama Rais Samia hatokopa basi ile miradi haitokamilika.
Mtanzania yupi?Kwa kila mtanzania.
Uwezo wako wa kujenga hoja ni mdogo Sana,ndo maana unakimbilia matusi.
Watu werevu hutumia werevu wao kuelimisha,wenyewe akili ndogo,kichaka Chao ni matusi.
Tafuta saizi yako Mimi ni kitu kingine.
Pundamilia nyie..Alijenga hospital ngapi na JPM akapiga ngapi? tunampenda na tunamheshimu Baba yetu, takwimu hazidanganyi, ndani ya kipindi chake JPM kajenga hospitals, zahanati na vituo vya afya zaidi ya nusu ya vilivyokuepo kabla hajaingia madarakani.