Nikhil
JF-Expert Member
- Apr 16, 2013
- 361
- 120
Wana jf habar zenu! natumai wote mko good.
Wakuu nimetupia thread hii kutokana na utata uliotokea sekta hii ya elimu.
Hii imekuwa booring kwa kuwa proces mbali mbali hasa ukiangalia suala la kujisajili kwenye shule za A level za private kuingia matatani kutojua wapange vpi muda sahihi wa ukamilishaji wa process hizo.
Wakuu msaada ni kuwa baraza watakamilisha lini program hii ya mapitio ya uhakiki wa mitihani hii?
Wakuu nimetupia thread hii kutokana na utata uliotokea sekta hii ya elimu.
Hii imekuwa booring kwa kuwa proces mbali mbali hasa ukiangalia suala la kujisajili kwenye shule za A level za private kuingia matatani kutojua wapange vpi muda sahihi wa ukamilishaji wa process hizo.
Wakuu msaada ni kuwa baraza watakamilisha lini program hii ya mapitio ya uhakiki wa mitihani hii?