USAID Boresha Afya Southern Zone, mtalipa lini madai ya community testers?

USAID Boresha Afya Southern Zone, mtalipa lini madai ya community testers?

Status
Not open for further replies.
Ni kweli kusema tatizo sio USAID wenyewe huenda tatizo tukawa sisi wabongo tuliopewa nyazifa mbalimbali pale boresha afya, lakini bado Boresha afya wenyewe wanayohaki ya kulaumiwa juu ya uzembe huu. Mfano kwa mkoa wa Ruvuma yapo Mashirika ambayo yanafanya kazi na boresha afya kama NICE na ROA lakini tangu watu wamalize mikataba yao hawajalipwa pesa za nauli na posho mbalimbali wakiwemo Biomedical providers na CBHSP's, labda uzembe huu au upigaji huu umetokea kwenye mashirika haya ya NICE na ROA ila ikumbukwe USAID anafanya kazi na DELOITTE kama consultant wake. Point yangu ni hii, wa kulaumiwa wa kwanza ni USAID BORESHA AFYA SOUTHERN ZONE na partner wake DELOITTE, lakini pia haya mashirika yaliyofanya kazi na USAID pia wakulaumiwa na wanapaswa kuwajibishwa juu ya hili. Tendeni haki lipeni watu stahiki zao, mnawafanyakazi wenye mkataba na wasio na mkataba na wote wana haki ya kulipwa kwasababu walifanya kazi zenu vile mlivyowatuma.
USAID unamlaumu kwenye nini sasa?..
 
Shida itakuwa kwa hao watekelezaji wa mradi.
Ninavyojua mimi Taasisi kama USAID au UKAID hawafanyi fanyi kazi yoyote bila kuwa na enough fund.
Ukiona mradi umetekelezeka jua fungu lake ndilo lilianza kutengwa.

Kinachotokea unakuta shirika linalotekeleza mradi husika ndio wanashindwa kuweka utaratibu wa malipo.

Cash unakuta ipo ila pengine kuna mafyongo fyongo mengine yanayoweza kuchelewesha malipo, wengine mpaka wafanue tathmini au Uhakiki wakikuta safi ndio wanaizinisha malipo.

Nakubaliana na wadau wengine hapo juu kuna mashirika yana udhaifu sana kwenye kutoa pesa waliokwisha kupewa.

Kuna mradi mmoja UKAID ndio waliokuwa wana u fund kupitia Save the Children kama implementer. Duh jamaa walizingua sana!
Point
 
Ni kweli kusema tatizo sio USAID wenyewe huenda tatizo tukawa sisi wabongo tuliopewa nyazifa mbalimbali pale boresha afya, lakini bado Boresha afya wenyewe wanayohaki ya kulaumiwa juu ya uzembe huu. Mfano kwa mkoa wa Ruvuma yapo Mashirika ambayo yanafanya kazi na boresha afya kama NICE na ROA lakini tangu watu wamalize mikataba yao hawajalipwa pesa za nauli na posho mbalimbali wakiwemo Biomedical providers na CBHSP's, labda uzembe huu au upigaji huu umetokea kwenye mashirika haya ya NICE na ROA ila ikumbukwe USAID anafanya kazi na DELOITTE kama consultant wake. Point yangu ni hii, wa kulaumiwa wa kwanza ni USAID BORESHA AFYA SOUTHERN ZONE na partner wake DELOITTE, lakini pia haya mashirika yaliyofanya kazi na USAID pia wakulaumiwa na wanapaswa kuwajibishwa juu ya hili. Tendeni haki lipeni watu stahiki zao, mnawafanyakazi wenye mkataba na wasio na mkataba na wote wana haki ya kulipwa kwasababu walifanya kazi zenu vile mlivyowatuma.
Point
 
USAID unamlaumu kwenye nini sasa?..
Nafikiri alikuwa na concept kama niliyokuwa nayo mimi pale mwanzo baadae nikaelewa vizuri kwamba USAID ni donor tu na program ni Boresha Afya hapo kati kuna shirika lina linaimplement na technical partners wengine ndiyo hao Deloitte nk
 
Ni kweli kusema tatizo sio USAID wenyewe huenda tatizo tukawa sisi wabongo tuliopewa nyazifa mbalimbali pale boresha afya, lakini bado Boresha afya wenyewe wanayohaki ya kulaumiwa juu ya uzembe huu. Mfano kwa mkoa wa Ruvuma yapo Mashirika ambayo yanafanya kazi na boresha afya kama NICE na ROA lakini tangu watu wamalize mikataba yao hawajalipwa pesa za nauli na posho mbalimbali wakiwemo Biomedical providers na CBHSP's, labda uzembe huu au upigaji huu umetokea kwenye mashirika haya ya NICE na ROA ila ikumbukwe USAID anafanya kazi na DELOITTE kama consultant wake. Point yangu ni hii, wa kulaumiwa wa kwanza ni USAID BORESHA AFYA SOUTHERN ZONE na partner wake DELOITTE, lakini pia haya mashirika yaliyofanya kazi na USAID pia wakulaumiwa na wanapaswa kuwajibishwa juu ya hili. Tendeni haki lipeni watu stahiki zao, mnawafanyakazi wenye mkataba na wasio na mkataba na wote wana haki ya kulipwa kwasababu walifanya kazi zenu vile mlivyowatuma.
USAID BORESHA AFYA (UBA) wanalipa pesa wao wenyewe direct kwa community volunteers ( CBHSPs, M2M na expert client) kupitia simu zao za mkononi. Hivyo NICE na ROA hawahusiki kwa lolote kuhusu kutolipwa kwa hawa community volunteers.
 
Nafikiri alikuwa na concept kama niliyokuwa nayo mimi pale mwanzo baadae nikaelewa vizuri kwamba USAID ni donor tu na program ni Boresha Afya hapo kati kuna shirika lina linaimplement na technical partners wengine ndiyo hao Deloitte nk
Gazeti la Mwanachi limetoa hiyo habari na USAID walitatoa Mpunga wote.

By Mwandishi Wetu
More by this Author

Dodoma. Mwezi mmoja baada ya mradi wa USAID Boresha Afya kumaliza muda wake, Serikali ya Marekani imesema imetenga Dola milioni 198 (sawa na Sh456.3 bilioni) kwa ajili ya miradi miwili kwa miaka mitano ukiwemo mpango wa Afya Bora kwa Wanufaika (C3HP).

Mradi wa Boresha Afya uliofadhiliwa na Serikali ya Marekani kwa Dola milioni 222 sawa na Sh450 bilioni mwaka 2016 hadi Septemba 2021, ulitekelezwa katika mikoa 12 ukiboresha huduma za afya ikiwemo vvu/ukimwi, kifua kikuu na uzazi wa mpango.

Akizungumza kwenye hafla ya kufunga mradi huo leo Alhamisi Novemba 11, 2021 jijini hapa, Mkurugenzi Mkaazi wa USAID Kate Somvongsiri alisema Serikali ya Marekani ipo katika hatua za mwisho za kuzindua miradi ambayo itaweza kuendeleza mafanikio ya Boresha Afya.
“Mpango huo mpya wa Afya Bora kwa Wanufaika (C3HP) utatekeleza vvu/ukimwi, kifua kikuu, uzazi wa mpango, afya ya mama na mtoto mchanga na mtoto na shughuli za mabadiliko ya tabia zako jamii itahusisha kanda ya ziwa, Kaskazini na Kati na nyanda za juu kusini,” amesema Kate.

Kate amesema uwekezaji wa mapema katika afya na ustawi wa Watanzania tangu wakiwa na umri mdogo una faida ambazo huchangia katika maisha yao yote na kufanya jamii kwa ilukumla kustawi zaidi.

“Ni kipaumbele kwa Serikali zote mbili za Tanzania na Marekani, hii inaonekana katika mkakati wa ushirikiano wa maendeleo wa nchi wa USAID wa miaka mitano,” amesema Kate.
Kwa upande wake Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Tamisemi), Ummy Mwalimu aliyefunga mradi huo, ameishukuru Serikali ya Marekani kuweka fungu jingine kwa ajili ya miradi hiyo ya afya na kuahidi kuwa Serikali ya awamu ya sita itaweka mazingira mazuri kuwezesha wadau na wafadhili kwa lengo la kuimarisha utoaji huduma za afya kwa Watanzania.

“Niwasihi watu wa Serikali mnaohusika kupitisha miradi hii kuhakikisha mnaidhinisha nyaraka ili pale ulipoishia mradi wa USAID Boresha Afya muendelee na miradi mipya ili kuendeleza mlipoishia,” alisema Ummy Mwalimu.

Mkurugenzi mkazi wa EGPAF Tanzania, Sajida Kimambo amesema wanatarajia kuwekeza zaidi katika huduma ya vvu hasa kwa watoto.
“Tumefurahi uwepo wa mradi mpya endelevu kwa mikoa 12 tunaamini utajenga yale mazuri na utawezesha kuendelea pale tulipoishia, mradi wa USAID Boresha Afya umesaidia Watanzania wengi na ulitumia njia madhubuti na ubunifu wa hali ya juu kushughulikia changamoto zilizokuwepo.

Malengo makuu ilikuwa ni kuongeza upatikanaji na kuboresha huduma bora za afya katika ngazi ya jamii, ili kufikia kufikia malengo yake miradi ilijumuisha huduma za vvu/ukimwi, afya ya uzazi, kifua kikuu na uzazi wa mpango,” alisema Kimambo.

Naye Mkurugenzi wa Mradi wa USAID Boresha Afya, Dk Marina Njelekela alisema mradi huo wa miaka mitano umeweza kusaidia zaidi ya Watanzania milioni 8.3 walipata huduma za kupima VVU ambapo karibu watu 340,000 waligundulika kuwa navirusi na wote walianzishiwa matibabu.
 
Ni kweli kusema tatizo sio USAID wenyewe huenda tatizo tukawa sisi wabongo tuliopewa nyazifa mbalimbali pale boresha afya, lakini bado Boresha afya wenyewe wanayohaki ya kulaumiwa juu ya uzembe huu. Mfano kwa mkoa wa Ruvuma yapo Mashirika ambayo yanafanya kazi na boresha afya kama NICE na ROA lakini tangu watu wamalize mikataba yao hawajalipwa pesa za nauli na posho mbalimbali wakiwemo Biomedical providers na CBHSP's, labda uzembe huu au upigaji huu umetokea kwenye mashirika haya ya NICE na ROA ila ikumbukwe USAID anafanya kazi na DELOITTE kama consultant wake. Point yangu ni hii, wa kulaumiwa wa kwanza ni USAID BORESHA AFYA SOUTHERN ZONE na partner wake DELOITTE, lakini pia haya mashirika yaliyofanya kazi na USAID pia wakulaumiwa na wanapaswa kuwajibishwa juu ya hili. Tendeni haki lipeni watu stahiki zao, mnawafanyakazi wenye mkataba na wasio na mkataba na wote wana haki ya kulipwa kwasababu walifanya kazi zenu vile mlivyowatuma.
Hiyo ni laana mkuu..mnatunyima hiyo michongo sisi ni wenzenu mnajua tumepiga chuo tuko kitaa na leseni ziko active..mkipata michongo mnafanya pekeenu mtaendelea kuwa mnadhurumiwa hivyohivyo.....toeni michongo ili mpate baraka...unapata mchongo unamuunganisha demu..demu mwenyewe ni poor qualification kisa tu unataka sifa......SISI NDIO TUTAKAO CHIMBA MAKABURI YENU KUWAHIFADHI ENDAPO MTAKATA MOTO..HAO MADEMU WATAKUWA MBALI KABISA SIDHANI KAMA NA MAKABURINI SIKU HIYO WATAFIKA...
 
USAID BORESHA AFYA (UBA) wanalipa pesa wao wenyewe direct kwa community volunteers ( CBHSPs, M2M na expert client) kupitia simu zao za mkononi. Hivyo NICE na ROA hawahusiki kwa lolote kuhusu kutolipwa kwa hawa community volunteers.

Gazeti la Mwanachi limetoa hiyo habari na USAID walitatoa Mpunga wote.

By Mwandishi Wetu
More by this Author

Dodoma. Mwezi mmoja baada ya mradi wa USAID Boresha Afya kumaliza muda wake, Serikali ya Marekani imesema imetenga Dola milioni 198 (sawa na Sh456.3 bilioni) kwa ajili ya miradi miwili kwa miaka mitano ukiwemo mpango wa Afya Bora kwa Wanufaika (C3HP).

Mradi wa Boresha Afya uliofadhiliwa na Serikali ya Marekani kwa Dola milioni 222 sawa na Sh450 bilioni mwaka 2016 hadi Septemba 2021, ulitekelezwa katika mikoa 12 ukiboresha huduma za afya ikiwemo vvu/ukimwi, kifua kikuu na uzazi wa mpango.

Akizungumza kwenye hafla ya kufunga mradi huo leo Alhamisi Novemba 11, 2021 jijini hapa, Mkurugenzi Mkaazi wa USAID Kate Somvongsiri alisema Serikali ya Marekani ipo katika hatua za mwisho za kuzindua miradi ambayo itaweza kuendeleza mafanikio ya Boresha Afya.
“Mpango huo mpya wa Afya Bora kwa Wanufaika (C3HP) utatekeleza vvu/ukimwi, kifua kikuu, uzazi wa mpango, afya ya mama na mtoto mchanga na mtoto na shughuli za mabadiliko ya tabia zako jamii itahusisha kanda ya ziwa, Kaskazini na Kati na nyanda za juu kusini,” amesema Kate.

Kate amesema uwekezaji wa mapema katika afya na ustawi wa Watanzania tangu wakiwa na umri mdogo una faida ambazo huchangia katika maisha yao yote na kufanya jamii kwa ilukumla kustawi zaidi.

“Ni kipaumbele kwa Serikali zote mbili za Tanzania na Marekani, hii inaonekana katika mkakati wa ushirikiano wa maendeleo wa nchi wa USAID wa miaka mitano,” amesema Kate.
Kwa upande wake Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Tamisemi), Ummy Mwalimu aliyefunga mradi huo, ameishukuru Serikali ya Marekani kuweka fungu jingine kwa ajili ya miradi hiyo ya afya na kuahidi kuwa Serikali ya awamu ya sita itaweka mazingira mazuri kuwezesha wadau na wafadhili kwa lengo la kuimarisha utoaji huduma za afya kwa Watanzania.

“Niwasihi watu wa Serikali mnaohusika kupitisha miradi hii kuhakikisha mnaidhinisha nyaraka ili pale ulipoishia mradi wa USAID Boresha Afya muendelee na miradi mipya ili kuendeleza mlipoishia,” alisema Ummy Mwalimu.

Mkurugenzi mkazi wa EGPAF Tanzania, Sajida Kimambo amesema wanatarajia kuwekeza zaidi katika huduma ya vvu hasa kwa watoto.
“Tumefurahi uwepo wa mradi mpya endelevu kwa mikoa 12 tunaamini utajenga yale mazuri na utawezesha kuendelea pale tulipoishia, mradi wa USAID Boresha Afya umesaidia Watanzania wengi na ulitumia njia madhubuti na ubunifu wa hali ya juu kushughulikia changamoto zilizokuwepo.

Malengo makuu ilikuwa ni kuongeza upatikanaji na kuboresha huduma bora za afya katika ngazi ya jamii, ili kufikia kufikia malengo yake miradi ilijumuisha huduma za vvu/ukimwi, afya ya uzazi, kifua kikuu na uzazi wa mpango,” alisema Kimambo.

Naye Mkurugenzi wa Mradi wa USAID Boresha Afya, Dk Marina Njelekela alisema mradi huo wa miaka mitano umeweza kusaidia zaidi ya Watanzania milioni 8.3 walipata huduma za kupima VVU ambapo karibu watu 340,000 waligundulika kuwa navirusi na wote walianzishiwa matibabu.
Ahsante kwa taarifa
 
Hiyo ni laana mkuu..mnatunyima hiyo michongo sisi ni wenzenu mnajua tumepiga chuo tuko kitaa na leseni ziko active..mkipata michongo mnafanya pekeenu mtaendelea kuwa mnadhurumiwa hivyohivyo.....toeni michongo ili mpate baraka...unapata mchongo unamuunganisha demu..demu mwenyewe ni poor qualification kisa tu unataka sifa......SISI NDIO TUTAKAO CHIMBA MAKABURI YENU KUWAHIFADHI ENDAPO MTAKATA MOTO..HAO MADEMU WATAKUWA MBALI KABISA SIDHANI KAMA NA MAKABURINI SIKU HIYO WATAFIKA...
Acha hizo mkuu, maneno yote ya nini? Maneno mengi yanafanya uwe pointless
 
Hiyo ni laana mkuu..mnatunyima hiyo michongo sisi ni wenzenu mnajua tumepiga chuo tuko kitaa na leseni ziko active..mkipata michongo mnafanya pekeenu mtaendelea kuwa mnadhurumiwa hivyohivyo.....toeni michongo ili mpate baraka...unapata mchongo unamuunganisha demu..demu mwenyewe ni poor qualification kisa tu unataka sifa......SISI NDIO TUTAKAO CHIMBA MAKABURI YENU KUWAHIFADHI ENDAPO MTAKATA MOTO..HAO MADEMU WATAKUWA MBALI KABISA SIDHANI KAMA NA MAKABURINI SIKU HIYO WATAFIKA...
🤣🤣🤣🤣🤣
Mwamba umeongea Kwa uchungu sana.....
 
Hiyo ni laana mkuu..mnatunyima hiyo michongo sisi ni wenzenu mnajua tumepiga chuo tuko kitaa na leseni ziko active..mkipata michongo mnafanya pekeenu mtaendelea kuwa mnadhurumiwa hivyohivyo.....toeni michongo ili mpate baraka...unapata mchongo unamuunganisha demu..demu mwenyewe ni poor qualification kisa tu unataka sifa......SISI NDIO TUTAKAO CHIMBA MAKABURI YENU KUWAHIFADHI ENDAPO MTAKATA MOTO..HAO MADEMU WATAKUWA MBALI KABISA SIDHANI KAMA NA MAKABURINI SIKU HIYO WATAFIKA...
Mimi Nilipohitimu chuo nilitafuta namna ya kupata taarifa mbalimbali za ajira, jambo la kwanza niliitumia vizuri Tekno yangu, kwanza nilijiunga na mitandao muhimu ya kijamii mfano Telegram na WhatsApp, huko nilihakikisha najiunga makundi yatakayonipa taarifa za ajira ili nisiwalaumu wenzangu kuwa wameninyima mchongo. Pili nilijipendekeza sehemu mbalimbali ili nipate exposure. So ndugu hapa hakuna alie laaniwa kisa hawakukupa dili wewe kwasababu ajira zote zinatangazwa public Ili kila mwenye sifa aombe. Kama hujafanya hivyo ni uzembe wako hakuna mchoyo na kazi zenyewe hz ni za mUda mfupi tu
 
USAID BORESHA AFYA (UBA) wanalipa pesa wao wenyewe direct kwa community volunteers ( CBHSPs, M2M na expert client) kupitia simu zao za mkononi. Hivyo NICE na ROA hawahusiki kwa lolote kuhusu kutolipwa kwa hawa community volunteers.
Ila wanawajibika moja kwa moja maana wao ndio wanaingia mkataba na mtumishi. Asipolipwa mwajiriwa wao nani wa kwanza kubeba msalaba huO?
 
Kaz kweli kweli ila sijui kwa nini wizara ya afya haichunguzi hii miradi kwa umakini hasa njisi inavyofanya kazi na stahiki za watumishi wao ila ninachoamini kwenye haya mashirika kuna michongo ya watu maana watu hawezi kufanya kazi mwezi mmoja, miwili hadi mitatu halafu mshahara magumashi tu hata Amref na MDH nao ulipaji wao kwa watumishi wao ni hovyo tu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom