heartbeats
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 6,736
- 10,669
Trump kawashika watu pabaya asee miez 3 ya shurba na majuto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?Kwa akili yako nyembamba unadhani Republicans wote watapiga kura kama CCM inavyopiga kura kwenye bunge la Tulia Ackson?
Hawana akili za ki CCM hao! Kwenye maslahi mapana ya nchi huwa yanaungana!Lakini Republicans wako wengi kwenye Congress na Sanete, wakienda huko pia watashinda na USAID itafutwa.
Hapa tumejua kwanini thread zimeongezeka za kupinga uamuzi wa mwamba Elon Musk
Lakin ndo ilikuwa inapanu ukibwa wa usa .. na kutawala dunia kupiti hiyo dollar yake sasa abaki tu na pesa zake tuoneChina hawana hela za kuchezea kama za Marekani. China awape hela tu mle na mnunue v8 bure bure tu bila sababu, hakuna kitu kama hicho.
Utelezi wa USAID ukikata lazima tunyooke.
Zaidi ya hapo.Ok fine.
Mjinga kapewa nchi kubwa aongoze.
Haya wewe mwerevu wa huko kijijini kwenu Madongo kuinama umeshawahi hata kupewa uongozi uwe mwenyekiti wa mtaa?
Sasa kaa kwa kutulia mjinga awanyooshe ninyi werevu ambao mmeshindwa kuutumia huo werevu wenu hadi mnalilia misaada ya nchi za watu kama vile ni haki yenu.Zaidi ya hapo.
Na hiyo haiondoi ukweli kuwa Trump ni mjinga.
Of course ni haki yetu maana Amerika wameibia babu zetu na kuwatumikisha kwa karne.Sasa kaa kwa kutulia mjinga awanyooshe ninyi werevu ambao mmeshindwa kuutumia huo werevu wenu hadi mnalilia misaada ya nchi za watu kama vile ni haki yenu.
Mbona zinatafutwa kwa tochi, hiyo ilikua kwenye karne gani.Pa
Pale Iringa kuna chuo cha ualimu cha Kleruu. Niliwahi kuambiwa kuwa baadhi ya majengo yalijengwa kwa msaada wa Russia kwa njia ya off-site.
Hao babu zetu walikuwa wajinga na wapumbavu ndio maana wakaweza kuibiwa na kutumikishwa.Of course ni haki yetu maana Amerika wameibia babu zetu na kuwatumikisha kwa karne.
Hiyo misaada ni njia ya kutulipa fidia tunayostahili kwa maovu yao.
Kwetu na kwa babu zetu.
Kwani wao hiyo misaada inawahusu nini? Sisi hatuitaki sasa.., hawa jamaa vipi?Hili ni kinyume cha sheria. Si Donald Trump wala Elon Musk anayo mamlaka ya kufuta USAID; ni Bunge (Congress) pekee linaloweza kufanya hivyo kwa kupitisha sheria.
Kesi za kisheria zinaendelea, ili kujaribu kuzuia hili.
JFK alitoa amri ya kiutendaji kuunda USAID, kisha baadaye Bunge lilipitisha sheria iliyoifanya USAID kuwa taasisi huru. Hivyo, kufuta USAID kungehitaji sheria ya Bunge (si amri ya kiutendaji).
Umeona muAfrika hata mmoja hapo kwenye maandamano?Waafrica tujitegemee acheni kulialia
Hao Russia ni matapeli tu hawana msaada wowote wanaotoa tofauti na kuuza silaha.Hiyo pesa ya bilion $20 ilikuwa msaada au mkopo?
Msaada ilikuwa kwenye afya, elimu nn? Pesa za Marekani hutangazwa kabisa ila sijawahi ona msaada wa China wala Russia.
Mkopo wa nini?
Acha kupiga watu changa la macho
Watu wanakopeshwa silaha na mrussia
USAID Wana support ushoga duniani ni chombo kinacho Tumika kufund NGOs mbali mbali zinazo husika na mambo ya ushoga transgender bisexuals etc LGBTQ , moja ya Sera za trump ni kuhakikisha Ushoga unatoweka hivyo basi anajua wazi kwamba ili aweze kushinda Hiyo vita ni lazima ahakikishe kwamba USAIDs inatoweka