Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Unadhani Musk alikuwa mjinga alipoiita USAID ni criminal organisation?
Hawa ndiyo unaowataka waendelee kuwepo?
View attachment 3225769
View attachment 3225770
View: https://x.com/howertonjosh/status/1886765177435041808/photo/1
Kama USAID ni criminal organization kwa kutaka haki za LGBQT+ Inclusive Development policy zizingatiwe au zipewe kipaumbele basi serikali nzima ya Marekani ni criminal organization kwa sababu hiyo ilikuwa ni sera ya serikali yote ya Biden kwa taasisi zilizo ndani na nje ya Marekani. Hata serikali ya Trump ni criminal organization kwa sababu Trump amemteua waziri wa fedha, Scott Bessent ambaye ni shoga. Rais wako jana ametoka kupokea tuzo ya Gates Foundation ambao wanasapoti haki za LGBQT.