USAID haiwezi kufutwa kwa Executive Orders; watetezi kwenda Mahakamani kuzuia uamuzi wa Donald Trump

Unadhani Musk alikuwa mjinga alipoiita USAID ni criminal organisation?
Hawa ndiyo unaowataka waendelee kuwepo?
View attachment 3225769

View attachment 3225770


View: https://x.com/howertonjosh/status/1886765177435041808/photo/1
Kama USAID ni criminal organization kwa kutaka haki za LGBQT+ Inclusive Development policy zizingatiwe au zipewe kipaumbele basi serikali nzima ya Marekani ni criminal organization kwa sababu hiyo ilikuwa ni sera ya serikali yote ya Biden kwa taasisi zilizo ndani na nje ya Marekani. Hata serikali ya Trump ni criminal organization kwa sababu Trump amemteua waziri wa fedha, Scott Bessent ambaye ni shoga. Rais wako jana ametoka kupokea tuzo ya Gates Foundation ambao wanasapoti haki za LGBQT.
 
Kwa hiyo unaona kupromote ushoga duniani kama wanavyofanya USAID ni sawa na waendelee kupewa fedha ili wazidi kufanya hiyo kazi?
 
Na mradi gani wa ushoga uliokuwa unafadhiliwa na USAID Tanzania? Ulikuwa unapewa shillingi ngapi? Uliruhusiwaje na serikali ya Tanzania ambayo inapinga ushoga?
Wewe IQ yako ndogo sana, huna uwezo wa ku analyse mambo unaendeshwa na mihemuko.
 
Kwa hiyo unaona kupromote ushoga duniani kama wanavyofanya USAID ni sawa na waendelee kupewa fedha ili wazidi kufanya hiyo kazi?
Trump aanze kuonyesha mfano kwa kumfukuza waziri wake wa fedha, Scott Bessent ambaye ni shoga na akatae harusi za mashoga katika Hotel yake ya Mar-a-Lago.
 
Trump aanze kuonyesha mfano kwa kumfukuza waziri wake wa fedha, Scott Bessent ambaye ni shoga na akatae harusi za mashoga katika Hotel yake ya Mar-a-Lago.
We ni nani umpangie Trump kuwa aanze na kitu gani?. Ameanza kwa kuipiga pin hiyo USAID na anaenda kuifutilia mbali
 
China hana roho hiyo
 
Russia iliwahi kumsaidia nani wakati hapa suala sio kutoa msaada wa AK 47 bali ni msaada wa kimaendeleo.

China naye hana cha msaada bali yeye ni kutoa mikopo umiza na ndio maana mataifa kama Kenya, Zambia, Sri Lanka ni vilio tu.
Yes! Wewe kweli umeongea uhalisia ulivyo
 
Watu ni wajinga Wana kwenda kwenda tu Yaani Hao ni LGBTQ agenda 💯% na Trump aliapa kupinga Sera za LGBTQ so anaona kabisa hawezi kuzuia Hiyo Sera mean while USAID ikiwa kama ndio chombo kikuu kinacho Tumika kupush hizo agenda kikiwa bado Kipo active, So kama Fanya Jambo la maana Sana kwaajili ya kukopa dunia kuweza kutawaliwa na ushetani zaidi , siwezi kusema kwamba Trump ni Mtu mwema Sana lakini Kwa hili atleast nampa pongezi
 
Na kilichomkasirisha zaidi Trump kuwa USAID walisaidia wana siasa wa mlengo wa kushoto millions of dollar kwenye uchaguzi ambao walikuwa wana support hawa jamaa.
 
Hivi Ofisi za Shirika la Misaada la Serikali ya Urusi ziko wapi hasa kwa hapa Tanzania?
 
Huo ulioandika ndiyo ukweli wenyewe. Wanaweza kuibadilisha jina tu. Ika hakuna USA bila shughuli za shirika hilo la USAID
 
Na mradi gani wa ushoga uliokuwa unafadhiliwa na USAID Tanzania? Ulikuwa unapewa shillingi ngapi? Uliruhusiwaje na serikali ya Tanzania ambayo inapinga ushoga?
Uliza wafanyakazi wa MDH pale Mikocheni, walikuwa wanasambaza mafuta ya kulainisha mikundu ya mashoga kabla hawajaingiliwa
 
Kwamba wanatupenda sana ama kuna kitu wanafaidika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…