USAID haiwezi kufutwa kwa Executive Orders; watetezi kwenda Mahakamani kuzuia uamuzi wa Donald Trump

Lugumi hana uwezo wa kuuza silaha nje!! Usidanganyike. Huyo ni fisadi tu aliyekuwa katikati ya fedha haramu mwaka 2015. Alitumika tu kupitusha hela za CCM za uchaguzi naye akapewa mgawo. Ila dikteta Magufuli alizuia hizo hela, kisha alipokufa wajanja wamefungua na akalipwa.

Usije ukaumiza ubongo wako kumu admire fisadi
 
Wamarekani wanafanya vitu kwa maslahi ya nchi yao, dawa ni kujitegemea na kuacha matumizi ya anasa.
Ni kweli kabisa, Watawala karibia wote kabisa wa nchi za Afrika hawana kabisa nidhamu nzuri ya hali ya juu katika Matumizi ya Fedha za Kodi za Wananchi waliopo katika nchi zao. Watawala wengi sana ni Wezi, Mafisadi, Wafujaji Sana wa Fedha za Kodi, n.k.
Tazama msafara huu wa Kiongozi huyu wa nchi fulani hapa Afrika kisha jiulize:- Je, ni gharama kubwa kiasi gani ilitumika kwenye msafara huu wa anasa? Je, kuna ULAZIMA wowote ule wa kuwa na misafafara kama hii?Je, Wananchi wa kawaida wa nchi hiyo wanaweza kupata faida gani hasa kutokana na misafafara yenye misururu mirefu ya magari kama huu?
 

Attachments

  • 5771391-6b7300c48c43013b94b420cc6e416c60.mp4
    8.3 MB
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…