Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lugumi hana uwezo wa kuuza silaha nje!! Usidanganyike. Huyo ni fisadi tu aliyekuwa katikati ya fedha haramu mwaka 2015. Alitumika tu kupitusha hela za CCM za uchaguzi naye akapewa mgawo. Ila dikteta Magufuli alizuia hizo hela, kisha alipokufa wajanja wamefungua na akalipwa.Niliposema hakikisha familia yako unaiongoza sikumaanisha familia tu ya nyumbani.
Kama wewe una mtazamo huo na una uwezo basi fungua kampuni yako fanya kazi na hao.
Nawajua watanzania kibao tu ambao wakikaa chini na wazungu au wachina kuongea biashara wachina/wazungu wananywea.
Mfano easy tu, huyu billionea anaetrend na godlove yeye ana kampuni ya silaha inauza silaha hadi ulaya ila ni mtanzania.
Hivyo anza na vilivyo vyako na vilivyo karibu na ww kwanza(your family) Ukisubiri eti uwafanyie liberation hao watanzania wenzako waliopo migodini utachelewa sana, na actually hawahitaji msaada wako, haujaona leo wamejimwagia matope na kupita mbele ya raisi na raisi anafurahi tu. Hao ni wa matopeni mzee, ukiwatoa unawaonea ukidhan unawasaidia
Ni kweli kabisa, Watawala karibia wote kabisa wa nchi za Afrika hawana kabisa nidhamu nzuri ya hali ya juu katika Matumizi ya Fedha za Kodi za Wananchi waliopo katika nchi zao. Watawala wengi sana ni Wezi, Mafisadi, Wafujaji Sana wa Fedha za Kodi, n.k.Wamarekani wanafanya vitu kwa maslahi ya nchi yao, dawa ni kujitegemea na kuacha matumizi ya anasa.