Traveller TM
Member
- May 6, 2024
- 45
- 77
Wakuu tuelewe kuwa Usaid haipo hapa Kwa ajili ya interest ya Africa tu ni kwa ajili ya Interest za hao wamarekani pia leo tumekuwa Tunapewa misaada ya Vitu petty sana kama Vyandarua ila In return mnalipa kwa Maelewano na Vitu ambayo Ni resources kama madini, Ivo ichi anachofanya Marekani ni Kujiondolea ushawishi africa na Wenzie Ma giant wata take lead na Kuwa na influence kubwa na Africa na watachukua Vitu vya africa