FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Figo na Ini zinashangilia tu muda huu, niulize kwanini..Hakutakuwa na ArVs za bure tena huko mbele ya safari
Kuna hatari maambukizi mapya ya HIV kushamiri miongoni mwa Watanzania
Hii itapelekea Serikali kutumia gharama kubwa kuyanunua hayo madawa, otherwise tutarajie ule Ukimwi aliouimba Ferouz kwenye nyimbo ya "Starehe" kurudi tena Mtaani