Usaili Jeshi la Magereza na Uhamiaji

Ivi wadau wote kimya mumekatwa ama? Chenjon, Joel,innoxvii,victor,NHM360 ,tony kujeni apa
 
Huu Uzi ulikuwa wa moto kabla PDF la kuitwa kwenye Usaili halijatoka,limetoka waliokuwa na mhaho wa kuuliza kila siku Usaili lini wote wamelala mbele[emoji28]
 
Huu Uzi ulikuwa wa moto kabla PDF la kuitwa kwenye Usaili halijatoka,limetoka waliokuwa na mhaho wa kuuliza kila siku Usaili lini wote wamelala mbele[emoji28]
🀣🀣🀣 Dah mpka maswali waliomba kabila ya usahili
 
Hii PSRS ndio nini mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…