Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pia Bugala ,Mapso,Nany wote kimya duuIvi wadau wote kimya mumekatwa ama? Chenjon, Joel,innoxvii,victor,NHM360 ,tony kujeni apa
Pitia pdf utaona jinaPia Bugala ,Mapso,Nany wote kimya duu
Vipi maswali ya usahili uhamiaji unayoPitia pdf utaona jina
Nope sina aseeVipi maswali ya usahili uhamiaji unayo
BakoraHv kwa wale ambao hua wanazamia usahili nn hua kinawakuta?
Sjapata mkuuUhamiaji ujapata
We jamaa 😂😂😂Hv kwa wale ambao hua wanazamia usahili nn hua kinawakuta?
Mie sijaitwa wakuu...pdf la uhamiaji limenitemaPia Bugala ,Mapso,Nany wote kimya duu
pole sana mwanetu, ipo siku utapata kaziHv kwa wale ambao hua wanazamia usahili nn hua kinawakuta?
🤣🤣🤣 Dah mpka maswali waliomba kabila ya usahiliHuu Uzi ulikuwa wa moto kabla PDF la kuitwa kwenye Usaili halijatoka,limetoka waliokuwa na mhaho wa kuuliza kila siku Usaili lini wote wamelala mbele[emoji28]
Watuu wameitwaa kakaa...wamekausha Tuu😀Na jamii forum wameama walikuja kwa ajira ya uhamiaji
Hii PSRS ndio nini mkuuDaaaaah kk mm nilipata ajira kupitia utumishi mwaka jana mwishoni so,Inakuwa ngumu kufuatilia lonja za majeshi tena.Kikubwa msi base kwenye majeshi tu yatawavunja moyo,Jaribuni bahati kupitia mlango wa PSRS honestly wako fair sanaaaaa.Majeshi kma huna mtu wa kukushika mkono ni kutwanga maji kwenye kinu.
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app