MW/MUNGU AwatangulieeWapambanaji kuna simu zitaita hasa madereva na ma civil engineering wanahitajika. More details to come
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MW/MUNGU AwatangulieeWapambanaji kuna simu zitaita hasa madereva na ma civil engineering wanahitajika. More details to come
Dua kkaMW/MUNGU Awatanguliee
Mule mule wale wamemaliza waliandika in take kwanza 2023/2024Sio kwamba wanaweza ndo kundi moja hiloo wanapiga kozi pamoja walioenda mwez wa 10 walisubiri hawa waloenda Dec ndo kozi ilianza hapo ndo kozi moja hio hadi sasa.
Kwhyo wale wa Oct na Dec watamalza liniMule mule wale wamemaliza waliandika in take kwanza 2023/2024
Kwenye Dec kitu ka hkoKwhyo wale wa Oct na Dec watamalza lini
So Mwaka huu PT hawaji kubeba majobles?Kwenye Dec kitu ka hko
Waliomaliza ni intake 22/23 hao walobaki ni intake 23/24.intake ilobaki inamaliza December mwaka huuMule mule wale wamemaliza waliandika in take kwanza 2023/2024
WAnakuja ila sijajua itakua ni mwezi ganii nikipata lonja ntawatonyaa wakuuSo Mwaka huu PT hawaji kubeba majobles?
Sawa broW
WAnakuja ila sijajua itakua ni mwezi ganii nikipata lonja ntawatonyaa wakuu
Naelewa mkuu na dogo Yuko hii intake sema Dec kipande aseeWaliomaliza ni intake 22/23 hao walobaki ni intake 23/24.intake ilobaki inamaliza December mwaka huu
Miezi inaenda kakaa ni kukaza Moyoo Tuu uvumilivu mwingi.....ukitoka hapo mambo ni fresh umeuaga ujobless😀Naelewa mkuu na dogo Yuko hii intake sema Dec kipande asee
Kabisa Dec 1 juz wame report ...kesho tuko mwez wa nneMiezi inaenda kakaa ni kukaza Moyoo Tuu uvumilivu mwingi.....ukitoka hapo mambo ni fresh umeuaga ujobless[emoji3]
Ndo hivoo mkuu ni kukaza Tu💪siku hazigandiiKabisa Dec 1 juz wame report ...kesho tuko mwez wa nne
Huu mkeka hausomekagi ndg, Hauna formula maalumWakuu hamna mwenye ronja ya mkeka wa usaili wa magereza wenye fani unatoka lini!
UT kunani Mwaka huu? Watu walipaswa kuripoti kesho, wameahirisha mpk trh 15uzi upowa sana ufutwe
huk kesho watu wanaamsha saa kumi na 11 alfajirUT kunani Mwaka huu? Watu walipaswa kuripoti kesho, wameahirisha mpk trh 15
Sijaelewa kka! Wapi wanaamsha saa 11 alfajirihuk kesho watu wanaamsha saa kumi na 11 alfajir
Yan waliochaguliwa Zanzibar walipanga kuanza safar kesho saa 11?zanzibari ila kwakuwa washatoa tangazo uwahailisha View attachment 2951407