Usaili Jeshi la Magereza na Uhamiaji

Usaili Jeshi la Magereza na Uhamiaji

Wakuu mm n mgeni hapa JF na nimejisajili kwa jina la kubuni lkn email niliyotia ni yngu nnayoitumia, Nataka kueleza changamoto na madudu niliyoyashuhudia kwenye usaili wa uhamiaji Upande wa Zanzibar hasa kwa “Wasio Wazanzibar” Na wasio na mbanga! Hvyo naomba kujua km taarifa yangu haitoniletea matatzo ama watu hawatonijua mana bado naishi huku kwny ubagu**
Tupe uzi mkuuu
 
Kwnn ufutwe? Uzi Bado mbichi huu hasa ukizngatia watu hawajaripoti bado, hawajapimwa afya bdo! Kfup kila aliefanya usaili bado Ana nafasi ya Kuitwa Kichaka Miba! Kwhyo huu uzi bdo, Pia usisahau Magereza “huenda” wakatoa mkeka leo jioni ama uck mnene
Akuna uhamiaji atakayeludi nyumban
 
Akuna uhamiaji atakayeludi nyumban
Kwnn wasiwepo mkuu, kuna vpmo vya afya unaamini wote wako salama? Kuna ambao hawatoripoti kabisa hata km n wawl ama mmoja lkn hawakosekani! Unajua mwaka Jana walirudshwa wangap?
 
Alafu magereza washaripoti mda
Sio kweli! Hawawez kuita mafunzoni watu kmya kmya ili hali tangazo walilitoa kweupe! Wangetaka kuita kmya kmya basi kla ktu kingefanyika kimya kmya kwny makambi ya Jkt huko na kwa walioko mtaa wakuu wangemalza kmya kmya! Ilianza wazi itamaliza wazi! Ni JW tu kutokana na unyeti wake ndio humalza kmya kmya
 
Watu wanakuwa na sabb mbalimbal mkuu, Mfano mtu anaweza kuwa wakat anasubiri majina kapata mchongo mwngne wa maana, ama mtu anaugua kpnd hiki, wengne wanabadl mawazo nk
Jamaa angu Mwaka jana wakat anasubiri majina akapata mchongo Taasisi moja inafanya kazi na hospital ya Mnazi Mmoja salary 2.2M na wakimalza project hapa Unguja wanahamia nchi jirani, Akatema bungo UT
 
Mbona kimya
MT sio km UT mkuu, wkt UT wao wanatoa majina usaili unafanyika pamoja kw wte km ww ulvyofanya lkn mkatengwa f4,6,Deploma na Degree lkn cku ya usaili mlifanya moja! Magereza wao wanaanza chini huko kw wilayani thn mikoani kw vjana wa f4 na wasio na fani Kisha mzgo utahamia kw f6,deploma na degree na wenye fani mbali2 hawa wataitwa na mwshowe majina yatatoka! Kw kurahisishia ni km walivyofanya ZT Mwaka huu. Pia MT ni kawaida yao kukaa kmya muda mrefu hv tofauti na UT, Unajumbuka klchotokea Mwaka Jana ama hufuatilii haya mambo mkuu?
 
MT sio km UT mkuu, wkt UT wao wanatoa majina usaili unafanyika pamoja kw wte km ww ulvyofanya lkn mkatengwa f4,6,Deploma na Degree lkn cku ya usaili mlifanya moja! Magereza wao wanaanza chini huko kw wilayani thn mikoani kw vjana wa f4 na wasio na fani Kisha mzgo utahamia kw f6,deploma na degree na wenye fani mbali2 hawa wataitwa na mwshowe majina yatatoka! Kw kurahisishia ni km walivyofanya ZT Mwaka huu. Pia MT ni kawaida yao kukaa kmya muda mrefu hv tofauti na UT, Unajumbuka klchotokea Mwaka Jana ama hufuatilii haya mambo mkuu?
Upo vizuri nitumie cv pm
 
Back
Top Bottom