MT sio km UT mkuu, wkt UT wao wanatoa majina usaili unafanyika pamoja kw wte km ww ulvyofanya lkn mkatengwa f4,6,Deploma na Degree lkn cku ya usaili mlifanya moja! Magereza wao wanaanza chini huko kw wilayani thn mikoani kw vjana wa f4 na wasio na fani Kisha mzgo utahamia kw f6,deploma na degree na wenye fani mbali2 hawa wataitwa na mwshowe majina yatatoka! Kw kurahisishia ni km walivyofanya ZT Mwaka huu. Pia MT ni kawaida yao kukaa kmya muda mrefu hv tofauti na UT, Unajumbuka klchotokea Mwaka Jana ama hufuatilii haya mambo mkuu?