Usaili Jeshi la Magereza na Uhamiaji

Usaili Jeshi la Magereza na Uhamiaji

Wadau wa sasa wanaroho mbaya tofauti na ma brother waliopita sasa wanakunja sana, Uzi huu tulianzisha kwa LENGO la kufalijiana watoto wa maskini lakini umu imekuwa tofauti, mibanga inatofautiana, tusaidiane mbinu mbali MBALI .
Ngoja nikimbie TU akuna ishu yeyote
 
Kitu unakijua unakaa nacho rohoni Haifai , angaliene ma brother waliopita kama mfwende, ndege tai , tywn walikua wanasapotiana mpka siku ya mwisho, kuna vijitu kazi yao kuangalia na kukatisha tamaa
 
Back
Top Bottom