Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lonja za uhamiaji ngumu sana kuzipata zilizonyooka,ndio maana humu ndani papo kimya sana,wengi waliokuwa wanaleta lonja zilizonyooka saivi wapo depo wanakula kozi hasa CCPronja bado tu siku zote izo
Kozi mpk Ramadhan imalizike😀Lonja za uhamiaji ngumu sana kuzipata zilizonyooka,ndio maana humu ndani papo kimya sana,wengi waliokuwa wanaleta lonja zilizonyooka saivi wapo depo wanakula kozi hasa CCP
Haina shida mkuu,wao ndio wapangajiKozi mpk Ramadhan imalizike😀
hataree mbon mbali ivo hadi mwezi wa 4 [emoji846]Kozi mpk Ramadhan imalizike[emoji3]
Mbona ni hapo tu,kuanzia tar 11 mwezi ujaohataree mbon mbali ivo hadi mwezi wa 4 [emoji846]
Si tumeshakubaliana kozi hadi ramadhani iishe,hahahahaMbon mpo kimya jamn
Hhhhh mafunzo ni gharama San kwaiy tuweni watulivu serikl inatuandalia mazingir mazuur ya kwenda kuishi Tanga Kwa ajili ya mafunzSi tumeshakubaliana kozi hadi ramadhani iishe,hahahaha
Sahihi kabisaHhhhh mafunzo ni gharama San kwaiy tuweni watulivu serikl inatuandalia mazingir mazuur ya kwenda kuishi Tanga Kwa ajili ya mafunz
Kazi kwelikweli,ukipigwa NDOIGE usije kulalamika humuHhhhh mafunzo ni gharama San kwaiy tuweni watulivu serikl inatuandalia mazingir mazuur ya kwenda kuishi Tanga Kwa ajili ya mafunz
Watu wanapenda kuwa na matarajio makubwa sana,ndio maana vilio vinakuwa vingi,mbanga sio wa kuwaamini sanaKazi kwelikweli,ukipigwa NDOIGE usije kulalamika humu
ni kwel wanakutoa tamaa mpk unajaa mazima mwish wa siku simazi na huzuniWatu wanapenda kuwa na matarajio makubwa sana,ndio maana vilio vinakuwa vingi,mbanga sio wa kuwaamini sana
Subra huvuta kheri Kam hatutopat bs muda sahihi itakua haujafk muda ukifk bs Allah na ss atatupa tunayoyatakni kwel wanakutoa tamaa mpk unajaa mazima mwish wa siku simazi na huzuni
Mungu Asante nimepata
Jamani mi ni chenjon