Chebe23kid
Member
- Jan 13, 2020
- 52
- 29
Hatari sana iyo,ngoja mkeka utokeKwa walio ingia kwa degree kuna kimbembe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatari sana iyo,ngoja mkeka utokeKwa walio ingia kwa degree kuna kimbembe
Depo hujaenda unauliza Mshahara,vijana wa siku hizi tabu sanaHivi mtu akiingia na degree mshahara unacheza kwenye ngapi
Daaah,muulize mbanga wako aliyekuhakikishia,maana unaonekana unaonekana unajiamini sana hadi kuulizia mshaharaHivi mtu akiingia na degree mshahara unacheza kwenye ngapi
Hapo kuna mazoezi matatu,kuitwa depo,kudumu depo na kuapa,ila daaah jamaa kafikia kwenye mshaharaDepo hujaenda unauliza Mshahara,vijana wa siku hizi tabu sana
Sio poa kaka depo kuna figisuHapo kuna mazoezi matatu,kuitwa depo,kudumu depo na kuapa,ila daaah jamaa kafikia kwenye mshahara
Mwanauvinza nakukubali brother 🫶 lete madiniDepo hujaenda unauliza Mshahara,vijana wa siku hizi tabu sana
1.5MHivi mtu akiingia na degree mshahara unacheza kwenye ngapi
Hahaha 🤣🤣🤣 Watu washanunua vifaaDaaah,muulize mbanga wako aliyekuhakikishia,maana unaonekana unaonekana unajiamini sana hadi kuulizia mshahara
hawa hawatabiriki wala hawaelewek kila siku kesho mara next weekJamaa wa uhamiaji KANAMBIA BARA wamechukua Watu 300 na nzanzibar 200 na majina yanatoka Leo saa 6
Tuombe Munguhawa hawatabiriki wala hawaelewek kila siku kesho mara next wee
Utuombee sasa mzeeVijana mna MHAHO halafu Mkeka ukitoka mmepigwa NDOIGE,kisha mnaanza kumwaga malalamiko
Aisee 😭😭😭Saa sita hii inapita bila pdf kuachiwa,sio kila lonja ni za kuchukua
Relax,wataachia pdf katika wakati sahihi kwaoAisee 😭😭😭
🙏🙏🙏Relax,wataachia pdf katika wakati sahihi kwao
Sina mbanga ni kumuomba mungu tu hakuna kinachoshindikana mbele ya munguDaaah,muulize mbanga wako aliyekuhakikishia,maana unaonekana unaonekana unajiamini sana hadi kuulizia mshahara
Asante1.5M