- Thread starter
- #361
KumekuchaNamshukuru sana Brother mfwende,zafran sag, kwa kutupa maelezo mazuri pokea pongozi ma brother
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KumekuchaNamshukuru sana Brother mfwende,zafran sag, kwa kutupa maelezo mazuri pokea pongozi ma brother
UmepataKumekucha
Hongera sana dgo, ila nakushauri endelea kumuomba MUNGU mpaka siku unakula kiapo depo.Namshukuru sana Brother mfwende,zafran sag, kwa kutupa maelezo mazuri pokea pongozi ma brother
Asante BrotherHongera sana dgo, ila nakushauri endelea kumuomba MUNGU mpaka siku unakula kiapo depo.
mliokosa poleni, next time
Hongera sanaaa mkuu,Kakaze sio lelemama hukoh.Namshukuru sana Brother mfwende,zafran sag, kwa kutupa maelezo mazuri pokea pongozi ma brother
Shukran mkuu tupo pamoja
Hongera sana … Kakazee .. Kajiandae kujenga lakin pia sali sana mpaka kiapo..Shukran mkuu tupo pamoja
Sawa mkuuHongera sana … Kakazee .. Kajiandae kujenga lakin pia sali sana mpaka kiapo..
Utakuwa na Binti yangu huko Depo,ole wako umtongoze kijanaShukran mkuu tupo pamoja
😀😀😀 NitamlindaUtakuwa na Binti yangu huko Depo,ole wako umtongoze kijana
Kati ya hao kuna ambao hawatareport… kuna wengine watatoroka wengine unfit wengine kufukuzwa…. So lazma watakuwa na majina reserve cha msingi kuendelea kuomba Mungu kama umefanya Interview naamini lolote linaweza tokea… Hakikisha tu simu yako ipo hewan mda wowote .. Hv vitu u never knowHivi kuna kuwa mambo ya majina ya reserve au nafasi za reserve incase??
Hongera sana mkuu wewe umeingia kwa level ya elimu gani?Mungu Asante nimepata
Hongera sana mkuu wewe umeingia kwa level ya elimu gani?
Tupe madiniii mkuuNakuja na uzi wa nilichojifunza kuhusu usaili wa uhamiaji mpk mchakato wa kupatikana kwa majina hasa upande wa waliofanya usaili Zanzibar
Tupe madinii
Wakuu mm n mgeni hapa JF na nimejisajili kwa jina la kubuni lkn email niliyotia ni yngu nnayoitumia, Nataka kueleza changamoto na madudu niliyoyashuhudia kwenye usaili wa uhamiaji Upande wa Zanzibar hasa kwa “Wasio Wazanzibar” Na wasio na mbanga! Hvyo naomba kujua km taarifa yangu haitoniletea matatzo ama watu hawatonijua mana bado naishi huku kwny ubagu**Tupe madiniii mkuu
Funguka mkuuWakuu mm n mgeni hapa JF na nimejisajili kwa jina la kubuni lkn email niliyotia ni yngu nnayoitumia, Nataka kueleza changamoto na madudu niliyoyashuhudia kwenye usaili wa uhamiaji Upande wa Zanzibar hasa kwa “Wasio Wazanzibar” Na wasio na mbanga! Hvyo naomba kujua km taarifa yangu haitoniletea matatzo ama watu hawatonijua mana bado naishi huku kwny ubagu**
Funguk mkuu hakun MTU anawez kuona email yako. Maybe JF wenyewWakuu mm n mgeni hapa JF na nimejisajili kwa jina la kubuni lkn email niliyotia ni yngu nnayoitumia, Nataka kueleza changamoto na madudu niliyoyashuhudia kwenye usaili wa uhamiaji Upande wa Zanzibar hasa kwa “Wasio Wazanzibar” Na wasio na mbanga! Hvyo naomba kujua km taarifa yangu haitoniletea matatzo ama watu hawatonijua mana bado naishi huku kwny ubagu**