Abdalladullah
Member
- Feb 27, 2024
- 12
- 6
wakuu naomba kujua ivi kwa walio omba nafasi ya uhamiaji kwa ngazi ya degree mafunzo yao yanakua ni tofauti na ya fm4? na miezi ya mafunzo inatofautiana au woote ni sw kweny mafunzo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna taarifa rasmi inayoelezea idadi ya wanaohitajikambon mm taarifa nilizonazo ni watu 400 only ndio wanaohitajika
sw kaka tuombe kher tuHamna taarifa rasmi inayoelezea idadi ya wanaohitajika
wakuu naomba kujua ivi kwa walio omba nafasi ya uhamiaji kwa ngazi ya degree mafunzo yao yanakua ni tofauti na ya fm4? na miezi ya mafunzo inatofautiana au woote ni sw kweny mafunzo?
Ameen inshaallahsw kaka tuombe kher tu
Apan mkuu 800mbon mm taarifa nilizonazo ni watu 400 only ndio wanaohitajika
Uliona wapi iyo idadi unayoisema?Apan mkuu 800
Mkuu lonja kutoka kwa watuUliona wapi iyo idadi unayoisema?
Sawa chief ngoja tusubiri,japo siku ya usahili kiongozi wao alisema idadi inayohitajika ni chini ya 500,waliokuwepo pale CIVE wanaweza thibitisha hiliMkuu lonja kutoka kwa watu
Kweli mkuuSawa chief ngoja tusubiri,japo siku ya usahili kiongozi wao alisema idadi inayohitajika ni chini ya 500,waliokuwepo pale CIVE wanaweza thibitisha hili
Muhimu ni kuwa na subra tu,pdf lipo tayari linasubiri wakati tuKweli mkuu
Mungu ajilie tupate wote wakuuMuhimu ni kuwa na subra tu,pdf lipo tayari linasubiri wakati tu
ImwageWakuu kuna lonja apa nemeipata
Jamaa wa uhamiaji KANAMBIA BARA wamechukua Watu 300 na nzanzibar 200 na majina yanatoka Leo saa 6Imwage
Inawezekana,ngoja tusubiri tuoneJamaa wa uhamiaji KANAMBIA BARA wamechukua Watu 300 na nzanzibar 200 na majina yanatoka Leo saa 6
Nafikiri ndio ratio yao kila mwaka,japo upande wa zanzibar kwa mwaka jana walichukua 150 hiviInawezekana,ngoja tusubiri tuone
Mbanga muhimuNafikiri ndio ratio yao kila mwaka,japo upande wa zanzibar kwa mwaka jana walichukua 150 hivi
Kwenye mafunzo wote mnapata kwa pamoja ikifika kwenye fani husika hapo ndo Kuna degree na form fourwakuu naomba kujua ivi kwa walio omba nafasi ya uhamiaji kwa ngazi ya degree mafunzo yao yanakua ni tofauti na ya fm4? na miezi ya mafunzo inatofautiana au woote ni sw kweny mafunzo?
Yeah na mbanga apambane kweli kweliMbanga muhimu
Kwa walio ingia kwa degree kuna kimbembeYeah na mbanga apambane kweli kweli