Nasikia 800Mwaka huu wanaajiri watu wengi sana
Nasikia kama
Una Mibangaa MkuuJamaa ajanipa idadi ila kasema wengi
Uhamiaji utaratibu wao wanatoa TANZANIA nzima na usahili unafanyika Dodoma
Uhakikaa MkuuAfande nimepigana sana
Ngoja toune hiyo kesho maana kila siku naambiwa kesho mpaka nimechokaJamaa ajanipa idadi ila kasema wengn
Ngojaa tuskiliziee Pdf litoke kama tutakuemooApo mkuu SINA tarifa kamili
Mungu atusaidieπNgojaa tuskiliziee Pdf litoke kama tutakuemoo
Wengiii washaenda Ccp kwenye ule uzii....depo la mwaka jana mwez wa 3 ,9 na ile ya mwshoniiKuna Uzi flani wa ajira za polisi humu jamii forum wengi WAPO police wachache wamebaki ndo wanatukatisha tamaa
Kabisaa Mkuu....MUNGU AWEKE BARAKAπMungu atusaidieπ
Tuskatee tamaa Mkuu me washkaj zang wengi wameenda Ccp hii ya mwishoni hapa yote ni bila kukata tamaaYaa wamebaki wachache umri umekwenda wanatukatisha tamaa vijana
Kukata tamaa ni umaskini na Mungu hapendi, tutatusua tu.Tuskatee tamaa Mkuu me washkaj zang wengi wameenda Ccp hii ya mwishoni hapa yote ni bila kukata tamaa
Semaa tutatusuaa Tu MUNGU atajaaliaaKukata tamaa ni umaskini na Mungu hapendi, tutatusua tu.
Amiiin Mungu atasaidiaaAisee Mungu abariki tuwe Anga Moja afande
Amina πAisee Mungu abariki tuwe Anga Moja afande
πππmajina bado chenjon ?
Yeye ndo master plan kwani!!!?majina bado chenjon ?
Duh uhamiaji mwaka huu Kuna nini mbona sio kawaida Yao.Ngoja bado ila leo
Maana mwaka Jana mwezi huu tarehe 16 ndo walitoa watu kuripoti mafunzoni lakini mwaka huu mwezi wa pili huu kimya na ata kuita usaili badoMkuu vip
ππmajina bado chenjon ?