Usaili Jeshi la Magereza na Uhamiaji

Usaili Jeshi la Magereza na Uhamiaji

Kwa ngazi ya degree washafanya kwa engineer,IT, doctor,wahasibu na washaripoti
Hayo mambo yapo JW ila kwa mambo ya ndani sijajua aisee hawawezi itana kimya kimya kiasi hicho japo hizo nafasi sikuomba
 
Nilichogundua ni kwamba chenjon hana lonja yoyote yupo kuchangamsha watu kwa kuwapa mtero😂😂😂😂
 
Kwa ngazi ya degree washafanya kwa engineer,IT, doctor,wahasibu na washaripoti
Hili jamaa ongo san nilikuwa nakufatilia mda san juzi alhamis alitumbia majina yatoka Alhamis kujamaa yake yupo kitengo cha IT kimya
Juzi tena akatwambia analonja la uhamiji kapewa na jamaa yake ya uhamiaji yatatoka jana jumatatu, pia jana ikawa kimya leo
leo analeta stori watu washareport tanga [emoji38]
Acha uwongo mwamba
 
Hili jamaa ongo san nilikuwa nakufatilia mda san juzi alhamis alitumbia majina yatoka Alhamis kujamaa yake yupo kitengo cha IT kimya
Juzi tena akatwambia analonja la uhamiji kapewa na jamaa yake ya uhamiaji yatatoka jana jumatatu, pia jana ikawa kimya leo
leo analeta stori watu washareport tanga [emoji38]
Acha uwongo mwamba
Ni noma 😂😂😂😂
 
Alafu akiyatimba anakimbia kwanza anaenda kujipanga kuja na mtero mwingine😂😂😂
 
Back
Top Bottom